Kwenda zako hukoMbowe aliagizwa na Samia kumpa ahadi za kulegeza kamba chadema ipewe majimbo kadhaa
Halafu reform ziwekwe mfukoni mpaka baada ya uchaguzi
Lissu akagoma watu wema wameshutuka na kupush aamishwe gereza kwa sababu za kiusalama na wanaotakiwa kumuona Sana Sana ni ndugu 3 wa karibu tu wanaompelekea chakula
Inaonekana mbowe alianza michezo michafu na wenzie
Lakini hawajui kwamba wanapambana na system kubwa Sana ambayo imekataa ujinga mwisho mwaka huu!!
Hii michezo umeanza lini ya kufir..anaAlikuacha ukiwa leba
π₯΅JPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Sana mkuu.JPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Hasa huku Kanda ya Ziwa ambako ndiyo kuna kura nyingi hata wanaccm wameapa kuwa hawatampa kura na ndiyo maana hawataki kabisa reform ili waibe kura. Huku hatakiwi kabisa.Samia anajua huku Bara hakuna anayeweza kumpa kura yake hata wana CCM wenyewe hawawezi kukabidhi nchi kwa Samia hata siku moja
Kwanza ni udhaifu wake wa kuongoza hana uwezo .
Hii ilitokea kwenye Bandari DGIS na Katibu Mkuu Kiongozi waligoma, Samia akawala kichwa , baadhi ya wazalendo pale kwake wakavujisha mktaba akaanza kuwapangua pangua akamchukia Mzanzibar tena wa kwao kuwa DGIS.
Samia anajua kabisa wanaume huku bara wamemkalia kooni ndo maana leo Majaliwa anagombea tena ubunge amtege kama atampa tena Uwaziri Mkuu au atamnyima aanze harakati za Urais 2030 aje amnyooshe ni kazi kweli kweli.
Ko
Lissu ana watu kwenye system ndo maana alikua anapata taarifa za mwendazake hadi kifo chake kabla ya Samia. WAZALENDO PALE TISS HAWAJAFA WAPO.
Nilienda vijijini huko Kanda ya Ziwa .Hasa huku Kanda ya Ziwa ambako ndiyo kuna kura nyingi hata wanaccm wameapa kuwa hawatampa kura na ndiyo maana hawataki kabisa reform ili waibe kura. Huku hatakiwi kabisa.
Sijapata ajira, nasubiri uniajiri wwHii michezo umeanza lini ya kufir..ana
Producer/ sijui editor wa habari
Kwanza umepata ajira mzee??
Ni kweli huku Kanda ya ziwa wengi sana wanaamini hivyo.Nilienda vijijini huko Kanda ya Ziwa .
Watu wanajua yeye na Kikwete ndo walimuua JPM kwa hiyo kura hampi
Endelea kuamini unachokiamini na siwezi kukuingilia, kama ambavyo na mm naamini ninachokiamini mana hakina lolote la kufanya kwenye maisha yako.π₯΅
Upo tayar kufanya kazi kwenye redio station ipo sumbawanga?Sijapata ajira, nasubiri uniajiri ww
Ninasema kila aliyesaliti Tanzania atapata majibu yake kabla ya kifo atateseka Sana!!
Kila msaliti wa mageuzi Tanzania atalipwa usaliti wake
Leo mbowe ni wa kusaliti mageuzi kuwa kiungo wa mafisadi na wanyonyaji ?
Mbowe ameenda kumtembelea Lissu keko wameshindwa kuelewana mpaka Lissu imebidi aamishwe gereza ili kulinda maisha yake dhidi ya wasaliti!!
Enyi watu wabaya enyi wasaliti Lissu ni mpango wa Mungu hamtakaa mpange mpango wowote gizani mfanikiwe!!
Wasaliti ni watu wabaya Sana
Dah huko mtihani aiseeUpo tayar kufanya kazi kwenye redio station ipo sumbawanga?
Wee kwa utetezi wako unazidi kuthibitisha usaliti wakeGentleman,
Ni Freeman Aikaeli Mbowe ndie alie mashauri Lisu aombe kuhamishiwa gereza la ukonga kulingana na hali yake ukilinganisha na mazingira finyu na yaliyobana zaidi ya pale keko.
In fact, Mbowe ndie alie chukua hatua za mwanzo kuomba hivyo,kabla ya lisu kukamilisha utaratibu,
Mbowe anaifahamu sana ukonga,
ina mazingira mazuri zaidi na nafasi kubwa zaidi kwa mtu kama Lisu kukaa, lakini pia ukonga ina nafasi na mazingira mazuri zaidi hata kwa wageni wengi zaidi kuonana na mahabusu wao ukilinganisha na keko
So,
Gentleman,
ni muhimu kujiepusha na upotoshaji wa hila kwa mtu mwema kama Mbowe, itakusaiadia sana π
Ni mbali?Dah huko mtihani aisee
Hapana, ila hatahvy mm nataka TV mana hata nilichosomea kipo zaidi kwenye tv kuliko radio.Ni mbali?
Okay sawaHapana, ila hatahvy mm nataka TV mana hata nilichosomea kipo zaidi kwenye tv kuliko radio.
Ingekuwa n Dar nngejaribu ila huko mkoani tena afu mwisho wa siku ionekane siendani na kazi bc itakuwa nomaOkay sawa
Huku nlipo ni radio station zipo
Ni kweliIngekuwa n Dar nngejaribu ila huko mkoani tena afu mwisho wa siku ionekane siendani na kazi bc itakuwa noma
Mbogo akikushawishi kwenye fursa ujue wewe mwenyewe ndio fursa .take careKwanini uwe msaliti wakati fursa zipo.
Jiunge na Group la WhatsApp kwa Ajili ya kupata pesa bila kuvuja jasho...
Hii ni fursa yako kijana mwenzangu so
π Kinachohitajika:
1. Chagua group unalotaka ni VIP (YAKUZ) au NORMAL (YAVUZ): Tembelea mojawapo ya nyuzi zangu hapo utajua hayo, chagua jina lako hapo.
2. Piga Screenshoot πΈ: Piga picha ya neno ulilochagua.
3. Tuma Inbox π²: Tuma screenshot hiyo kwenye inbox yetu kupitia WhatsApp.
4. Lipia πΈ: Utalipia jina lako, na nitaithibitisha namba yako ya WhatsApp.
5. Pata Pesa zako: Pesa zako zitaingia kutokana na jina ulilochagua kama ni YAKUZ au YAVUZ yako.
Jiunge sasa na ufurahie maisha rahisi na ya uhakika β .
Usikose kipindi kila siku saa tatu mpaka saa saba mchana π―
π Bonyeza hapa kujiunga na group letu la WhatsApp:
Karibu sana! π