Usaliti ni mbaya sana

Kwenda zako huko
Eti mwisho mwaka huu
Uchaguz utafanyika na hakuna utakacho fanya
 
Hasa huku Kanda ya Ziwa ambako ndiyo kuna kura nyingi hata wanaccm wameapa kuwa hawatampa kura na ndiyo maana hawataki kabisa reform ili waibe kura. Huku hatakiwi kabisa.
 
Hasa huku Kanda ya Ziwa ambako ndiyo kuna kura nyingi hata wanaccm wameapa kuwa hawatampa kura na ndiyo maana hawataki kabisa reform ili waibe kura. Huku hatakiwi kabisa.
Nilienda vijijini huko Kanda ya Ziwa .
Watu wanajua yeye na Kikwete ndo walimuua JPM kwa hiyo kura hampi
 
Mbowe muhuni tu uyo ata sura yake inaonyesha ni fisadi la kutupa
 

..msimlaumu Mbowe.

..aliyekataa Reforms ni Samia Suluhu.
 
Wee kwa utetezi wako unazidi kuthibitisha usaliti wake
 
Mbogo akikushawishi kwenye fursa ujue wewe mwenyewe ndio fursa .take care
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…