SSH2025_2030
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 9,661
- 9,753
Mbali ya usalama wa Huyu mwanaharakati je usalama wa familia yake (watoto/mke) upoje? Umma usije ukawadhuru. Tuungane kuwatambua walipo na kuwalinda na maadui
AiseePolepole hana mke wala mtoto.
Siasa siyo uaduiPolepole hana mke wala mtoto.
OktobaTUNATIKI pole sana kwa kudhani umma unamchukia Polepole. Kwa ufupi wewe ukitokeza Kariakoo ujinasibu kumtukana Polepole ujue watakuaa watu kwa kipigo. In short Gwajiboy, Polepole etc wanajificha kwa sababu kuna kikundi kiovu cha watu wa usalama na polisi etc wanawawinda kuwaua. In short Dkt Samia ndiyo kaharibu sana. Na KIBAYA kabisa, kuendelea kugombea maana yake nadharia ya yeye kumuua Dkt Magufuli ili awe rais ndiyo iko confirmed! Na uzuri wewe na kundi lako mlivyowajinga mkaruhusu sheria ya TISS ipitishwe kuwalinda na speaker etc mkidhani mnajitengenezea kumbe hiyo ndiyo ya kuja kuwashughulikia wauaji wa Dkt MagufuliMbali ya usalama wa Huyu mwanaharakati uchwara je usalama wa familia yake (watoto/mke) upoje? Umma isije ukawadhuru. Tuungane kuwatambua walipo na kuwalinda na maadui
Hii ni kali, Mkuu uko serios?Polepole hana mke wala mtoto.

usiwe na hofu Polepole bado ni mwana CCM hvo usalama anao.Mbali ya usalama wa Huyu mwanaharakati je usalama wa familia yake (watoto/mke) upoje? Umma usije ukawadhuru. Tuungane kuwatambua walipo na kuwalinda na maadui
Kweli ukombozi unakujaOktobaTUNATIKI pole sana kwa kudhani umma unamchukia Polepole. Kwa ufupi wewe ukitokeza Kariakoo ujinasibu kumtukana Polepole ujue watakuaa watu kwa kipigo. In short Gwajiboy, Polepole etc wanajificha kwa sababu kuna kikundi kiovu cha watu wa usalama na polisi etc wanawawinda kuwaua. In short Dkt Samia ndiyo kaharibu sana. Na KIBAYA kabisa, kuendelea kugombea maana yake nadharia ya yeye kumuua Dkt Magufuli ili awe rais ndiyo iko confirmed! Na uzuri wewe na kundi lako mlivyowajinga mkaruhusu sheria ya TISS ipitishwe kuwalinda na speaker etc mkidhani mnajitengenezea kumbe hiyo ndiyo ya kuja kuwashughulikia wauaji wa Dkt Magufuli
Sio mkwara tu,asingekua na press mbili bila kumkuta jambo.Kwa yanayofanywa na Polepole na jinsi CCM ilivyo kimya ni wazi kuwa yana baraka zote toka maeneo ya Ferry. Kama ingekuwa kinyume ungeshamsikia Muliro anapiga mikwara.
unatafuta mume?Kwa hiyo ni kweli hana Mke?
CC:Siasa siyo uadui
cc: Mwamba wa ChaummaCC:
-Familia ya Ali Kibao
-Familia ya Mdude Nyangali
-Familia ya Ben Saanane
-Majeraha ya Tundu Lissu
and so on and so forth.
DuuhSio mkwara tu,asingekua na press mbili bila kumkuta jambo.
Hata filamu ya mpina ilionekana wazi
MmhIla kumbuka yalikutwa mafuta ya KY chumbani kwake Dodoma na taarifa hiyo hata humu JF ipo