Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Napenda niwapongeze maafisa wa Usalama wa Taifa kwa namna ambavyo huwa wanabehave na kuwa watu wenye maadili yaliyotukuka sana.
Watunza siri , siyo waropokaji, hawajulikani kirahisi na wanafanana sana.
Mchujo wao huwa mkali sana. Wako smart mno na wakichora rada wanaichora vizuri mno bila kuvuja.
Nawapa pongezi nyingi sana.
Nampenda sana yule mlinzi mrefu mweusi ambaye ni wa Mh. Rais ,hasa akiaaga ile miwani yake. Smart and serious.
Waalimu wa Idara hii wameiva kweli.
Watunza siri , siyo waropokaji, hawajulikani kirahisi na wanafanana sana.
Mchujo wao huwa mkali sana. Wako smart mno na wakichora rada wanaichora vizuri mno bila kuvuja.
Nawapa pongezi nyingi sana.
Nampenda sana yule mlinzi mrefu mweusi ambaye ni wa Mh. Rais ,hasa akiaaga ile miwani yake. Smart and serious.
Waalimu wa Idara hii wameiva kweli.