Mwanajingili
Member
- Oct 15, 2018
- 60
- 31
wale baka baka ndio walinzi aswa, ila kaunda suti sidhani km wapo kwajili Ya ulinzi, labda ni kuziba nafasi ya mtu kumfikia rais kumgusa, maana wengine wana vitambi Kbisa jamani
Sent using Jamii Forums mobile app