Mwamba028
JF-Expert Member
- Nov 15, 2013
- 4,649
- 3,817
Habari zenu Wadau.
Nimekuwa nikijiuliza kuhusu usalama wa fedha za mtu binafsi au kampuni zinazoekwa kwenye akaunti ktk mabenki tofauti hapa nchini.
Endapo labda benki itafilisika au ikaamua kuhamisha matawi yake yote nchini itakuaje na wakati hakuna mkataba wowote unaoingia na benki wakati wa kufungua akaunti kuhusu hali kama hiyo itakapotokea, tena kwenye mabenki wao ndo wanachukua taarifa zako nyiingi wakati wkt wewe huandikiwi hata mkataba wa kuwa utakua unahifadhi pesa zako pale.
Pia kwenye mabenki unapofungua akaunti huambiwi kuhusu makato ya kila mwezi wala ya atm,we unashangaa tu hela zako zinakatwa kidogo kidogo kwa mwezi na pale unapotoa pesa.
Hili nalo vp halihitaji makubaliano au kupewa taarifa kweli?
Nauliza tuu, kama kuna mwenye majibu afunguke
Nimekuwa nikijiuliza kuhusu usalama wa fedha za mtu binafsi au kampuni zinazoekwa kwenye akaunti ktk mabenki tofauti hapa nchini.
Endapo labda benki itafilisika au ikaamua kuhamisha matawi yake yote nchini itakuaje na wakati hakuna mkataba wowote unaoingia na benki wakati wa kufungua akaunti kuhusu hali kama hiyo itakapotokea, tena kwenye mabenki wao ndo wanachukua taarifa zako nyiingi wakati wkt wewe huandikiwi hata mkataba wa kuwa utakua unahifadhi pesa zako pale.
Pia kwenye mabenki unapofungua akaunti huambiwi kuhusu makato ya kila mwezi wala ya atm,we unashangaa tu hela zako zinakatwa kidogo kidogo kwa mwezi na pale unapotoa pesa.
Hili nalo vp halihitaji makubaliano au kupewa taarifa kweli?
Nauliza tuu, kama kuna mwenye majibu afunguke