wiseboy.
JF-Expert Member
- Aug 11, 2014
- 2,932
- 4,534
Mods nawaomba sana pls huu Uzi muuache ujitegemee wenyewe kwa Sababu una maudhui tofauti.
Waziri Lugola ameita media na kuonya mtu yeyote asije kujaribu kuwaonyesha wawekezaji wala kuwatisha kuwa "eti Tanzania hakuna amani".
Kauli ya Lugola imejaa kichekesho kweli,amani ya Taifa lolote hujiuza yenyewe Duniani.
Leo hii huwezi kumwambia mtu eti Syria kuna amani akawekeze,Dunia nzima inajua kuwa Syria haikaliki.
Tukio la kutekwa MO Dunia nzima inajua,sasa hakuna mtu wa kuwashawishi au kuwatisha wawekezaji kuhusu kuwekeza Tanzania ama la,wao ndo wanaamua kulingana na taswira ya nchi .
Ni vyema Lugola angetuambia serikali imefikia hatua gani ktk kumtafuta MO na siyo kuongea mambo yasiyofanana na uhalisia.
Waziri Lugola ameita media na kuonya mtu yeyote asije kujaribu kuwaonyesha wawekezaji wala kuwatisha kuwa "eti Tanzania hakuna amani".
Kauli ya Lugola imejaa kichekesho kweli,amani ya Taifa lolote hujiuza yenyewe Duniani.
Leo hii huwezi kumwambia mtu eti Syria kuna amani akawekeze,Dunia nzima inajua kuwa Syria haikaliki.
Tukio la kutekwa MO Dunia nzima inajua,sasa hakuna mtu wa kuwashawishi au kuwatisha wawekezaji kuhusu kuwekeza Tanzania ama la,wao ndo wanaamua kulingana na taswira ya nchi .
Ni vyema Lugola angetuambia serikali imefikia hatua gani ktk kumtafuta MO na siyo kuongea mambo yasiyofanana na uhalisia.