Usalama barabarani, ukiona bodaboda kaning'iniza sendo na kitambaa kwenye exhaust usipande

IMG-20210724-WA0024.jpg
 
Kuna siku nilipita kijiweni vijana wakachangamka nikaona hawa wanaochangamka sio, nikachagua dereva aliekuwa kakaa kimya hana neno, nashukuru ilikua ni safari fupi....nishakaa kwa chuma yule dereva akageuka kunisemesha aseeeeeee ndio maana alikua kimya yani nilihisi nimemwagiwa ji-konyagi usoni yule atakua ni mlevi mbwa!!!
Hahahahahahahah nimecheka hatari

Ulipatikana

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Kuna siku nilipita kijiweni vijana wakachangamka nikaona hawa wanaochangamka sio, nikachagua dereva aliekuwa kakaa kimya hana neno, nashukuru ilikua ni safari fupi....nishakaa kwa chuma yule dereva akageuka kunisemesha aseeeeeee ndio maana alikua kimya yani nilihisi nimemwagiwa ji-konyagi usoni yule atakua ni mlevi mbwa!!!
Pole. Mimi kuna siku watoto waliachwa na school bus, sasa boda ninaemtumia mimi binafsi akawa hapatikani ila kuna mwingine mtu mzima kiasi nikawa namfwata ili awapeleke watoto kumbe amelewa hataru alikua ameegemea nguzo ile kupiga tu hatua chini amelewa hajiwezi kumbe kugemea ile nguzo ni balance alikua anatafuta nikasema asante Mungu maana nadhani leo ningekua naongea mengine kuhusu watoto
 
Pole. Mimi kuna siku watoto waliachwa na school bus, sasa boda ninaemtumia mimi binafsi akawa hapatikani ila kuna mwingine mtu mzima kiasi nikawa namfwata ili awapeleke watoto kumbe amelewa hataru alikua ameegemea nguzo ile kupiga tu hatua chini amelewa hajiwezi kumbe kugemea ile nguzo ni balance alikua anatafuta nikasema asante Mungu maana nadhani leo ningekua naongea mengine kuhusu watoto
Madereva wa boda ni wehu, sasa kama mtu yupo chakali tilalila si akapumzike
 
Yana acha tu, mi nikaona yule kdg mtu mzima ataenda na watoto kwa mwendo mzuri kumbe nlikua najiandalia sanda, namshukuru Mungu kwa kwel
pole mkuu
umakini unahitajika kama hatuna uharaka sana
 
Kuna siku nilipita kijiweni vijana wakachangamka nikaona hawa wanaochangamka sio, nikachagua dereva aliekuwa kakaa kimya hana neno, nashukuru ilikua ni safari fupi....nishakaa kwa chuma yule dereva akageuka kunisemesha aseeeeeee ndio maana alikua kimya yani nilihisi nimemwagiwa ji-konyagi usoni yule atakua ni mlevi mbwa!!!
Aisee pole sana hao wanaokaa kimya mara nyingi huwa na frustrations, njia pekee akishakunywa ni kuikimbiza kama anafukuzwa na matatizo yake
 
Back
Top Bottom