Hahahahahahahah nimecheka hatariKuna siku nilipita kijiweni vijana wakachangamka nikaona hawa wanaochangamka sio, nikachagua dereva aliekuwa kakaa kimya hana neno, nashukuru ilikua ni safari fupi....nishakaa kwa chuma yule dereva akageuka kunisemesha aseeeeeee ndio maana alikua kimya yani nilihisi nimemwagiwa ji-konyagi usoni yule atakua ni mlevi mbwa!!!
Pole. Mimi kuna siku watoto waliachwa na school bus, sasa boda ninaemtumia mimi binafsi akawa hapatikani ila kuna mwingine mtu mzima kiasi nikawa namfwata ili awapeleke watoto kumbe amelewa hataru alikua ameegemea nguzo ile kupiga tu hatua chini amelewa hajiwezi kumbe kugemea ile nguzo ni balance alikua anatafuta nikasema asante Mungu maana nadhani leo ningekua naongea mengine kuhusu watotoKuna siku nilipita kijiweni vijana wakachangamka nikaona hawa wanaochangamka sio, nikachagua dereva aliekuwa kakaa kimya hana neno, nashukuru ilikua ni safari fupi....nishakaa kwa chuma yule dereva akageuka kunisemesha aseeeeeee ndio maana alikua kimya yani nilihisi nimemwagiwa ji-konyagi usoni yule atakua ni mlevi mbwa!!!
Yule itakua alitoka kilabuni direct kijiweni.....pambaff sana
Madereva wa boda ni wehu, sasa kama mtu yupo chakali tilalila si akapumzikePole. Mimi kuna siku watoto waliachwa na school bus, sasa boda ninaemtumia mimi binafsi akawa hapatikani ila kuna mwingine mtu mzima kiasi nikawa namfwata ili awapeleke watoto kumbe amelewa hataru alikua ameegemea nguzo ile kupiga tu hatua chini amelewa hajiwezi kumbe kugemea ile nguzo ni balance alikua anatafuta nikasema asante Mungu maana nadhani leo ningekua naongea mengine kuhusu watoto
Yana acha tu, mi nikaona yule kdg mtu mzima ataenda na watoto kwa mwendo mzuri kumbe nlikua najiandalia sanda, namshukuru Mungu kwa kwelMadereva wa boda ni wehu, sasa kama mtu yupo chakali tilalila si akapumzike
Huwa inatokeaga Sana kwenye kuchagua unaanguko kwa Alie mbovu.Yule itakua alitoka kilabuni direct kijiweni.....pambaff sana
Hakika, yani saa tatu asubuhi jamaa ananuka pombe balaaa sijui alikua kanywa chimpumu sijui banana
Hivi yale matambara kwenye exhaust maana yake nini?
ajali hazitawaacha salamaWenywe wanakwambia kazi na vibe huo ndio mfumo kumoka Kula mtungi ndio vibe ya kazi
pole mkuuYana acha tu, mi nikaona yule kdg mtu mzima ataenda na watoto kwa mwendo mzuri kumbe nlikua najiandalia sanda, namshukuru Mungu kwa kwel
nahisi wanaweka urembo tuHivi yale matambara kwenye exhaust maana yake nini?
Aisee pole sana hao wanaokaa kimya mara nyingi huwa na frustrations, njia pekee akishakunywa ni kuikimbiza kama anafukuzwa na matatizo yakeKuna siku nilipita kijiweni vijana wakachangamka nikaona hawa wanaochangamka sio, nikachagua dereva aliekuwa kakaa kimya hana neno, nashukuru ilikua ni safari fupi....nishakaa kwa chuma yule dereva akageuka kunisemesha aseeeeeee ndio maana alikua kimya yani nilihisi nimemwagiwa ji-konyagi usoni yule atakua ni mlevi mbwa!!!
Acha kabisa mkuu kipnd kile viloba vimeshamili ndio walikuwa wanapukutika kilasikuajali hazitawaacha salama
Hahahaha 😂😂😆😂
ndio hawa kabisa