mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,699
- 37,299
Kumpandisha mtoto boda boda ni kuingilia uhuru wake sababu hajitambui.Pole. Mimi kuna siku watoto waliachwa na school bus, sasa boda ninaemtumia mimi binafsi akawa hapatikani ila kuna mwingine mtu mzima kiasi nikawa namfwata ili awapeleke watoto kumbe amelewa hataru alikua ameegemea nguzo ile kupiga tu hatua chini amelewa hajiwezi kumbe kugemea ile nguzo ni balance alikua anatafuta nikasema asante Mungu maana nadhani leo ningekua naongea mengine kuhusu watoto
Bora bajaji mara 67