Hii ni kwa usalama wako!
Kuna ajali na vifo vingine vinapangwa na wanadamu wenyewe kwa kutokujali na kuangalia usalama wa barabarani
Kiukweli dereva bodaboda wengi ndani ya jiji la Dar es salaam hawajali usalma wao kabisa, hii imepelekea vifo na ulemavu wa kudumu kwa kundi hili na abiria wengi wanaotumia usafiri huu wa haraka ndani ya jiji
Napenda kutoa angalizo kwa wale wanaotumia usafiri wa bodaboda kuwa makini pindi wachaguapo dereva wa kuwasafirisha
Hakika usimchague bodaboda ambaye amevaa sendo zile wanaendesha pikipiki huku wameining'iniza yaani haijafit mguu vizuri
Pia wale boda boda waliofunga vitambaa kwenye exsozi(kitolea moshi) tuwaepuke
Dereva boda wa aina hiyo wako rafu sana hawajiangalii wala kuthamini uhai, wanatembea mwendo hatari
usije kusema hatukukuambia
Kuna ajali na vifo vingine vinapangwa na wanadamu wenyewe kwa kutokujali na kuangalia usalama wa barabarani
Kiukweli dereva bodaboda wengi ndani ya jiji la Dar es salaam hawajali usalma wao kabisa, hii imepelekea vifo na ulemavu wa kudumu kwa kundi hili na abiria wengi wanaotumia usafiri huu wa haraka ndani ya jiji
Napenda kutoa angalizo kwa wale wanaotumia usafiri wa bodaboda kuwa makini pindi wachaguapo dereva wa kuwasafirisha
Hakika usimchague bodaboda ambaye amevaa sendo zile wanaendesha pikipiki huku wameining'iniza yaani haijafit mguu vizuri
Pia wale boda boda waliofunga vitambaa kwenye exsozi(kitolea moshi) tuwaepuke
Dereva boda wa aina hiyo wako rafu sana hawajiangalii wala kuthamini uhai, wanatembea mwendo hatari
usije kusema hatukukuambia