Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 9,402
- 19,070
Siandiki ili kupinga uanzishwaji wa makanisa, naandika jambo ambalo kama halitashughulikiwa mapema, kuna siku litaleta matatizo, tena yawezekana yakawa matatizo makubwa sana.
KANISA LA NEEMA la mume wake na grace zoazoa vipodozi, limekuwa kero, linatukana na kupotosha Biblia na amekuwa akigombana na wachungaji wote Tanzania, sema tu kwasababu hawaji hewani kuongea, ila kuna kitu kinafukuta ndani kwa ndani ambacho kinatakiwa kupewa dawa urgently.
Tanzania kuna uhuru wa kuabudu, as long as umefuata sheria na miongozo iliyowekwa. Jambo hili limekuwa limechukuliwa kama uchochoro kwa matapeli wengi kukusanya watu ili aidha kujipatia utajiri kutoka kwao, au kwa malengo yao yoyote wayajuayo kwa kigezo kwamba Serikali haitakiwi kuingilia kati.
Majority ya victims, ni wanawake na watu masikini na wasiosoma...those people who have been stricken with problems na wanaenda kwao kama njia ya kutafuta msaada, badala yake wao wanatake advatage kuwafanya kitega uchumi.
USHAURI WANGU KWA SERIKALI
1. Kanisa la Kibwetele lilianza hivihivi, mwisho wa siku aliua watu zaidi ya 100 Uganda
2. Tuhakikishe Makanisa yanafunguliwa kwa kufuata utaratibu uliowekwa na sheria. asiyefuata huo utaratibu, ashughulikiwe.
3. hata yale makanisa ambayo tayari yameshapewa vibali, yachunguzwe kuona kama wanacomply.
4. Viongozi wengine wa dini kwenye kamati zao wahusishwe katika kila kada. mfn. Wapentecost wanao umoja wao, waprotestant wengine wanao umoja wao, katholic etc, kama mtu hayupo kwenye aina hizo zote za Makanisa, basi aeleze yeye kanisa lake ni la aina gani ili asije kuleta migogoro isiyo ya lazima.
5. Kuna uzembe na rushwa nyingi sana zinafanyika kwenye ofisi ya usajili wa haya makanisa. mfn. haiji kichwani Nabii Suguye, amekuwa na kanisa miaka kadhaa yote hiyo, hadi ameanza kuomba nywele za utosini, kucha kidole kidogo n.k ilikuwa bado kidogo aagize walete nywele za sehemu za siri manake alishaanza kufundisha namna ya kufanya ngono madhabahuni. hapo ndio wakashtuka, muda wote huo kumbe kanisa lake halikuwa na usajili. INAKUWAJE MIAKA YOTE HIYO MTU ANAOPERATE KANISA BILA USAJILI?
6. kuna kanisa moja linaitwa KANISA LA NEEMA, ni la mzee wa Neema. huyu ni mme wake yule grace zoazoa anayetengeneza sabuni na vipodozi bila kuwa na elimu yeyote ya kemikali. Wakristo karibia wote Tanzania wamekuwa wakimlalamikia huyu mtu kwasababu mahubiri yake yote, ni kupindua Biblia hadi haijulikani kama yeye ni Mkristo au wa dini gani. amefungua pia tv, na anayo night club kama kanisa. ni wazi yeye anasema sio mpentecost, sio mkatoliki, sio wa dhehemu lolote, SASA HATUJUI AMEJISAJILI KWENU KAMA NANI. mtu huyu anakwaza ukristo, ana potosha mengi ambayo tunaogopa kuna siku isijetokea watu wasio na Mungu moyoni wakamdhuru, na pia anakosesha sana amani katikati ya watu kwasababu ya mafundisho yake. tunaomba chunguzwe ili kuona kama ana elimu yeyote ya dini, ametumwa na nani manake hadi anamiliki television ya TOP PLUS anagarimia vipi n.k. ni ushauri tu.
7. Tunaomba Serikali pamoja na kuwapa vibali/usajili, iwaangalie kwa jicho la karibu hao mitume na manabii wa kisasa, hao wanaouza mafuta, maji nk. wanafanya biashara kama biashara zingine tu kwa Jina la dini. iangalie usajili wao, hao kina mwamposa, ngurumo ya upako wanaogawa pesa hata hazijulikani zinatoka wapi, mzee wa upako na wengine wengi. HIVI KWELI HAWA WAMESAJILIWA?
8. kama Nabii Suguye, mzee wa ibada za nywele na kucha, amefungiwa kanisa hadi arekebishe usajili wake, ni kwali kwamba hao mitume wengine ambao ni contraversual wamesajili makanisa yao? au kwasababu wana pesa kama kina mwamposa?.
9. kama suguye aliexist miaka yote hiyo, tunajuaje kama hawapo wengine ambao anaamka tu asubuhi anaanzisha kanisa na kukusanya hela kwa maskini? bila hata kupitia serikalini.
Mambo haya nimeandika wengine wanaweza kufikiri nina bifu nao, sina, ila ni alart tu kwa serikali, isijekuja kushtuka shuka kukiwa kumekucha.
Wasalaam!
KANISA LA NEEMA la mume wake na grace zoazoa vipodozi, limekuwa kero, linatukana na kupotosha Biblia na amekuwa akigombana na wachungaji wote Tanzania, sema tu kwasababu hawaji hewani kuongea, ila kuna kitu kinafukuta ndani kwa ndani ambacho kinatakiwa kupewa dawa urgently.
Tanzania kuna uhuru wa kuabudu, as long as umefuata sheria na miongozo iliyowekwa. Jambo hili limekuwa limechukuliwa kama uchochoro kwa matapeli wengi kukusanya watu ili aidha kujipatia utajiri kutoka kwao, au kwa malengo yao yoyote wayajuayo kwa kigezo kwamba Serikali haitakiwi kuingilia kati.
Majority ya victims, ni wanawake na watu masikini na wasiosoma...those people who have been stricken with problems na wanaenda kwao kama njia ya kutafuta msaada, badala yake wao wanatake advatage kuwafanya kitega uchumi.
USHAURI WANGU KWA SERIKALI
1. Kanisa la Kibwetele lilianza hivihivi, mwisho wa siku aliua watu zaidi ya 100 Uganda
2. Tuhakikishe Makanisa yanafunguliwa kwa kufuata utaratibu uliowekwa na sheria. asiyefuata huo utaratibu, ashughulikiwe.
3. hata yale makanisa ambayo tayari yameshapewa vibali, yachunguzwe kuona kama wanacomply.
4. Viongozi wengine wa dini kwenye kamati zao wahusishwe katika kila kada. mfn. Wapentecost wanao umoja wao, waprotestant wengine wanao umoja wao, katholic etc, kama mtu hayupo kwenye aina hizo zote za Makanisa, basi aeleze yeye kanisa lake ni la aina gani ili asije kuleta migogoro isiyo ya lazima.
5. Kuna uzembe na rushwa nyingi sana zinafanyika kwenye ofisi ya usajili wa haya makanisa. mfn. haiji kichwani Nabii Suguye, amekuwa na kanisa miaka kadhaa yote hiyo, hadi ameanza kuomba nywele za utosini, kucha kidole kidogo n.k ilikuwa bado kidogo aagize walete nywele za sehemu za siri manake alishaanza kufundisha namna ya kufanya ngono madhabahuni. hapo ndio wakashtuka, muda wote huo kumbe kanisa lake halikuwa na usajili. INAKUWAJE MIAKA YOTE HIYO MTU ANAOPERATE KANISA BILA USAJILI?
6. kuna kanisa moja linaitwa KANISA LA NEEMA, ni la mzee wa Neema. huyu ni mme wake yule grace zoazoa anayetengeneza sabuni na vipodozi bila kuwa na elimu yeyote ya kemikali. Wakristo karibia wote Tanzania wamekuwa wakimlalamikia huyu mtu kwasababu mahubiri yake yote, ni kupindua Biblia hadi haijulikani kama yeye ni Mkristo au wa dini gani. amefungua pia tv, na anayo night club kama kanisa. ni wazi yeye anasema sio mpentecost, sio mkatoliki, sio wa dhehemu lolote, SASA HATUJUI AMEJISAJILI KWENU KAMA NANI. mtu huyu anakwaza ukristo, ana potosha mengi ambayo tunaogopa kuna siku isijetokea watu wasio na Mungu moyoni wakamdhuru, na pia anakosesha sana amani katikati ya watu kwasababu ya mafundisho yake. tunaomba chunguzwe ili kuona kama ana elimu yeyote ya dini, ametumwa na nani manake hadi anamiliki television ya TOP PLUS anagarimia vipi n.k. ni ushauri tu.
7. Tunaomba Serikali pamoja na kuwapa vibali/usajili, iwaangalie kwa jicho la karibu hao mitume na manabii wa kisasa, hao wanaouza mafuta, maji nk. wanafanya biashara kama biashara zingine tu kwa Jina la dini. iangalie usajili wao, hao kina mwamposa, ngurumo ya upako wanaogawa pesa hata hazijulikani zinatoka wapi, mzee wa upako na wengine wengi. HIVI KWELI HAWA WAMESAJILIWA?
8. kama Nabii Suguye, mzee wa ibada za nywele na kucha, amefungiwa kanisa hadi arekebishe usajili wake, ni kwali kwamba hao mitume wengine ambao ni contraversual wamesajili makanisa yao? au kwasababu wana pesa kama kina mwamposa?.
9. kama suguye aliexist miaka yote hiyo, tunajuaje kama hawapo wengine ambao anaamka tu asubuhi anaanzisha kanisa na kukusanya hela kwa maskini? bila hata kupitia serikalini.
Mambo haya nimeandika wengine wanaweza kufikiri nina bifu nao, sina, ila ni alart tu kwa serikali, isijekuja kushtuka shuka kukiwa kumekucha.
Wasalaam!