Tetesi: Usajili dirisha dogo

AbuuMaryam

JF-Expert Member
Dec 26, 2015
2,537
4,517
~ Yanga wamalizana na Muzungu kutoka Berkane.

~ Yanga wanamaliza na Bobosi.

~ Yanga wanatarajia kuwatumia Yacouba, Sogne na Kambole kwenye mashindano ya Mapinduzi, ili kuwaangalia nani wa kumuacha na nani wa kumbakiza.

~ Yanga wapo mbioni kuachana na Makambo, Ambundo.

Sijapata za uhakika kutoka Simba na sehemu zinginezo.
 
~ Yanga wamalizana na Muzungu kutoka Berkane.

~ Yanga wanamaliza na Bobosi.

~ Yanga wanatarajia kuwatumia Yacouba, Sogne na Kambole kwenye mashindano ya Mapinduzi, ili kuwaangalia nani wa kumuacha na nani wa kumbakiza.

~ Yanga wapo mbioni kuachana na Makambo, Ambundo.

Sijapata za uhakika kutoka Simba na sehemu zinginezo.
Ambundo abaki ni squad player mzuri tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom