AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,537
- 4,517
~ Yanga wamalizana na Muzungu kutoka Berkane.
~ Yanga wanamaliza na Bobosi.
~ Yanga wanatarajia kuwatumia Yacouba, Sogne na Kambole kwenye mashindano ya Mapinduzi, ili kuwaangalia nani wa kumuacha na nani wa kumbakiza.
~ Yanga wapo mbioni kuachana na Makambo, Ambundo.
Sijapata za uhakika kutoka Simba na sehemu zinginezo.
~ Yanga wanamaliza na Bobosi.
~ Yanga wanatarajia kuwatumia Yacouba, Sogne na Kambole kwenye mashindano ya Mapinduzi, ili kuwaangalia nani wa kumuacha na nani wa kumbakiza.
~ Yanga wapo mbioni kuachana na Makambo, Ambundo.
Sijapata za uhakika kutoka Simba na sehemu zinginezo.