Kwa uzoefu wangu hii system itapunguza ukabila kwa kiasi kikubwa mno.
Mnapofanya kila mkoa usaili wake unatoa room kwa makabila yote kutoa angalau mtu mmoja katika kazi fulani.
Hii ya kujazana Dom ilipelekea hapa ofisini kwetu kujaa WACHAGA afu vilaza tu, kisa kubebana kwa kisingizio cha wamefaulu paper za UTUMISHI kumbe michongo tu.
Kila mkoa ufanye kivyake kama ilivyokuwa kwa majeshi yetu zamani, tulianzia Wilayani kwetu kisha Mkoani then unaingia vikosini direct, hii ilifanya majeshi yetu kuwa na makabila yote na watu wa aina zote.
Haiwezekani nafasi za kazi 100 afu kabila moja litoe watu 60 kati ya 100, lazima tupaze sauti kukemea hizi fix za kijinga. Na ndio maana Zanzibar wakaona mapema wafanye kwao ili kulinda nafasi zao.
Tz kuna taasisi wamejazana Wachanga kisenge hadi wengine unajiuliza huyu alipataje kazi mbona hajielewi?
Nawasilisha na nimejiandaa kwa matusi na nitayajibu with immediate effect na kwa namna mtu atakavyakuja.