Hawa utumishi naona wanazidiwa kazi.. just imagine Ajira za TRA Toka mwezi April sijui March hawajaita watu interview hadi leo.. hapo bado hiz 2000 zilizotoka mwezi wa 5 bado za Kilimo hadi leo hawajatangaza.. Sasa kwa namna hiz Ajira za mwaka wa fedha kukamilika si itachukuwa hadi mwaka mzima kuajiri.. Leo nimemsikia Waziri wa Ajira anasema kuwa utumishi wafanye chapu Ajira ziaze kufanya kazi July 1 hv kweli Huyu Waziri na utumishi wake wako serious..? Utumishi kwa kweli wanaboa sana, kwann wanachelewesha watu kuwasaili na kuwapangia vituo vyao vya kazi.. kama kazi ni kubwa si waajiri Wafanyakazi wengi huko utumishi halafu kwanza saili zote zinafanywa na taasisi husika, Sasa kwa nn wanachelewesha mambo..
Kwa kweli wanaboa, Waziri angalia hii kitu kama Ajira 1500 za Kilimo na mifugo hadi leo zimewashinda kutangaza toka mama alivyotaza hizi Ajira Sasa wanataka Hadi mwaka upinduke..? Yaan Kuna watu wanapenda kuchelewesha vitu bila sababu za msingi dadeq.