asante mkuu, ila kwenye Facebook wall ya Rwakatale leo amefunguka mwenyewe kuwa atazungumza, labda kama ipo hacked na akina Mwigulu.
Hilo halina tatizo mkuu kuzungumza lazima atazungumuza ila juu ya wakati gani ndo hilo Makene amesema muda utaelelezwa ni lini