Damaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 6,197
- 10,710
Ebu leo wanandugu njooni tuzungumze kidogo. Mara nyingi sana huwa napishana mitazamo na watu juu ya namna ya usafirishaji wa tv kubwa kuanzia inch 60 na kuendelea. Huwa nawaambia kama umeweza kupata milion 1+ kwaajili yakununua tv ya ndoto yako kwanini ushindwe kutoa elfu 50 ya usafiri tv yako ifike salama bila wasiwasi??
Hivi kweli tv ya milioni 1+ kama hii ubebe kwenye bodaboda Kariakooo hadi Tabata?? Ebu njooni tuzungumze tuweke wazi tatzo huwa lipo wapi? Yaani mnapata ugumu gani kutoa pesa ya usafiri kwa tv kubwa kama hizi?
Hivi kweli tv ya milioni 1+ kama hii ubebe kwenye bodaboda Kariakooo hadi Tabata?? Ebu njooni tuzungumze tuweke wazi tatzo huwa lipo wapi? Yaani mnapata ugumu gani kutoa pesa ya usafiri kwa tv kubwa kama hizi?