Usafiri wa Ungo !


Usafiri huu ni mzuri kweli, hawa wachawi wangekua atleast wanasaidia dunia katika usafiri, coz ingekuwa very cheap kwenda majuu :-D
 
Kiukweli, hawa jamaa hawana kosa lolote kisheria, japo tunayo sheria ya uchawi ya mwaka 1922, 1928 na marekebisho yake ya mwaka 2002.
 

Attachments

hizi ni story tu, na hazipo Africa tu, hata ulaya zamani kutokana na hadithi kulikuwa na myth kwamba wanasafiri kwa kutumia ufagio, kama vile wasukuma na fisi na wakerewe na mamba..., its just a load of BS

Labda ufafanue. Hao walioonyeshwa kwenye TV wamelipwa?
 
Labda ufafanue. Hao walioonyeshwa kwenye TV wamelipwa?

Mkuu kuna kitu kinaitwa hallucinations.., (na kuna dawa kemikali) ukitumia unahallucinate mfano aina fulani ya uyoga.., sasa basi ukitumia haya madawa hata wewe unaweza kujiona unapaa au unelea au upo mbinguni.., kwahio inawezekana hawa watu wanaodhani wanapaa huwa wanatumia haya madawa wanadhani wanapaa kumbe wanatembea uchi sijawahi kuona mtu anasema kawaona wanapaa wote huwa wanaona wameanguka
 
Inaonesha huyu Zombie hakuona hiyo taarifa ya habari bali amewasikia majirani walioiona hiyo habari ndo akakimbilia ki-mchina kupost ----- hapa. Eti TV fulani, eti watu kadhaa wa familia moja, mara oh sehemu fulani ya Tz! Nyamb...f kwa nini usiulize walioiona hiyo taarifa? Watu wengine bwana mnatia hasira sana!
 
duh,kumbe wavumbuzi tunao humu humu nchini!!!hureeeeeee!!!naja kuwawekea dhamana.
 


mwanga mkubwa we'............. naona umeguswa!😕
 
Watu mnashangaza kweli! Yaani mnashangaa kana kwamba hamjawahi kuisikia hii makitu. Awamu ya kwanza ya Che Nkapa Mh. Dr. Pius Ng'wandu, alikaribishwa na Dr. Matunge kwenda kuzindua usafiri wa Ungo kutoka Dar hadi Mbeya (sijui kwa nini Mbeya? Maana hata hawa wa Sngd walikuwa wanaenda huko). Hii ilishindikana kutokana na masharti yake. Hawa wa Sngd mwenzao aligeuka nyuma ndo wakaanguka, nilicheka sana yule mzoefu alivokuwa anaelezea, eti mwenzetu asiye na uzofu ndiye aliyetu-cost tukadondoka!
 
Sasa kama mambo ni hayo mbona pesa za walipa kodi zinaishia kwenye piga la dhaifu kila siku? Si wamtafutie huko kaungo kake kagodo hizo pesa ziwalipie watoto wetu shule na kuwatibu wazee wetu wanaofia huko mahospitalini kwa kukosa dawa?
 

hapo kwenye red,bonge la pointi.......kwanini tusiwatafuta hawa tuwafanyie utafiti....nashauri iitwe TaSuWiRi(Tanzania Supernatural Witchcraft Research Institute)....makao makuu yawe hukohuko tabora,au nyanda za juu kusini...tunaweza tukawa mabilionea eti.
 
Wakihalalishwa gharama zake zitakuwa nafuu nusu ya 32000 vat inclussive
 
ninavideo ya jamaa wa kigoma walikamatwa mwanza, sijui namna y kuapload
 
wapi huko??
Tukio hili lilitokea huko Manyoni. Wahusika walikuwa wanatoka sehemu moja iitwayo Mkwese. Jamaa hao 3 walikuwa wanakwenda Mbeya, kuhudhuria mazishi ya mama yao mzazi. Sabubu kubwa iliyowafanya waanguke hapo Manyoni ni mmoja wao ambaye ilikuwa ni mara yake ya kwanza kupaa na ungo kugeuka nyuma wakati chombo kikiwa angani. Ajali hiyo ilitokea majira ya saa 9 ya usiku wa kuamkia jana.
Habari hii ilirushwa kupitia kituo cha ITV.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…