Usafi wa Zitto Kabwe

Usafi wa Zitto Kabwe

Kuna kashfa inaenda na kujirudia kuwa Bwana Zitto Zuberi Kabwe (Mwanasiasa msafi kuliko wanasiasa wote kuwahi kutokea Tanzania) ni moja ya watu walionufaika na mgao wa fedha za escrow, japo sijawahi msikia akitamka kwa ulimi wake kuwa hajapokea, ameishia kusema watu wachunguze, nitaendelea kuamini katika misingi ya mtu ni huru mpaka pale itakapothibitika kua ana makosa.

Lakini kaka yangu huyu amekuwa ni mtaalamu mzuri wa matumizi ya "fallacy" kwa waliosoma falsafa wataelewa. Zinapozuka kashfa dhidi yake, huwa anatumia A kujibu swali B. tundu lissu alipomkashifu kwa kupokea pesa toka kwa Mkono na mpaka sasa ana miliki magari mawili ya Mkono, Bwana Zitto aliishia kuhamishia kashfa kwa Mh Mbowe, na kusema haongei na kifaranga yaani Lissu, hii kwenye falsafa inaitwa appeal to mockery ab absurdo

lakini pia mbinu nyengine mheshimiwa hutumia ni Argumentum ad misericordiam au kwa lugha nyepesi appeal to pity (inatafsiriwa kama kuweza kushinda mjadala kwa kuvuta hisia na huruma ya walio wengi) Ilipozuka kashfa kuwa bwana zitto kabwe kuna ufisadi anafanya kupitia kampuni ya Gombe advisors, Bwana zitto alijibu ameumizwa sana kwa kuwa yupo busy anamuuguza mama ( Mwenyezimungu amlaze mahala pema Peponi aamin) ilipoibuka tena bungeni kashfa ya kupokea hela za escrow alisema tumuache mama apumzike kwa amani.

Lakini kwa kuwa vifaranga vimekuwa, na hana anayemuuguza, tunaomba sasa atujibu kwa ufasaha kwa kuwa maelezo yake ya awali yalijaa na uuguzi, kuhusu mikataba wa leka Dutigite kwa upande mmoja na NSSF na TANAPA kwa upande mwengine

Kampuni ya Leka Dutigite ina wana hisa 16, 15 kati yao ni wasanii wa kizazi kipya wenye hisa asilimia 5 kila mmoja hivyo kuwa idadi ya asilimia 75 na asilimia 25 zilizobakia zinamilikiwa na Gombe advisors. Swali huyu Gombe ni nani?

Ukienda kuangalia makabrasha ya Brela Gombe advisors inamilikiwa na watu wawili, mtu mmoja mwenye jina la kikenya mwenye asilimia 25 na Bwana Zitto kabwe ambae kwenye fomu amejijaza kama mchumi badala ya kiongozi wa Umma

Kwa hiyo kumbe NSSF na TANAPA mashirika ya Umma ambayo yanakaguliwa yasifanye ufisadi na Bwana Zitto kabwe kwa mkono wa kulia, ukija mkono wa kushoto unakuta Bwana Zitto kabwe ndo mwanahisa mkuu kwenye mikataba ya kibiashara baina ya NSSF, TANAPA na leka dutigite, japo yeye anadai hakuna mgongano wa kimaslahi.

Katika tenda moja, NSSF iliilipa Leka Dutigite shilingi milioni 120, milioni 90 kati ya hizo zilitolewa siku moja baada ya kuwekwa, siku moja kabla ya uchaguzi wa kamati ya hesabu za mashirika ya umma PAC uliomfanya Bwana Zitto kuwa mwenyekiti wa kamati na kumng'oa mzee Cheyo aliyekuwa anafanya kazi kwa weledi mkubwa. Coincidence? ipo siku utawala utabadilika na hizi pesa zitamulikwa

Na ni bahati nzuri kuwa hizo pesa zilienda kutolewa na Habib Mchange, (bank statement inaeleza hivyo) aliyefukuzwa Chadema kwa kosa la kuwa kibaraka wa Zitto na kupanga mapinduzi ndani ya Chama, leo ndio katibu mkuu wa LekaDutigite kampuni ambayo Zitto anasema hana maslahi humo, kwa nini aweke watu wake?

Sasa hapa kuna maswali yanajitokeza

1. je NSSF na TANAPA ni mashirika ya Umma au hapana? Na je Zitto ni kiongozi wa Umma au Hapana

2. je Zitto anayakagua haya mashirika au hapana?

3. Je katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 sura ya 6 sehemu ya 2 Na sheria ya utumishi wa Umma inamruhusu kiongozi kama yeye kuingia mkataba na mashirika ya Umma ukiachila mbali mashirika yanayoripoti chini yake?

4. Kama Gombe advisors si kampuni ya faida, kwa nini ijimilikishe hisa asilimia 25% Za Leka Dutigite? Je si ingekuwa sahihi ingebaki kuwa mshauri tu na wasanii wakagawana asilimia 100 ya kampuni ili wanapogawana faida wagawane kwa uwiano sawa kutokana na mgawanyo wa hisa zao

5. Kwa nini aweke watu wake wa karibu kuwa ndio viongozi wa Leka Dutigite kama yeye ni mdhamini tu na mshauri wa wanamuziki?

Mimi naamini hakuna ujanja ujanja unaodumu kwa muda mrefu nchi hii kabla haujagundulika, Chama Chake kimeshamjua, ipo siku hao anaowatumia kwenye ujanja ujanja wake watamgeuke na ukweli utawekwa hadharani. lakini hadi hapo yatakoapotokea hayo, bado nasubiri siku nione Zitto Kabwe akiikosoa NSSF na TANAPA kwa kuwa mpaka sasa kila akiongea mifano mema hutolea mashirika haya mawili. Mimi ndio yule yule niliyemtabiria kufukuzwa kwenye chama siku aliyochaguliwa kuwa kiongozi wa chama.
kinyesi.
 
Zitto ni popo ana hulka ya upopo anatumia formula ya if they don't understand you confuse th,mwanasiasa mwenye ndimi 2 siku zote na mpinga ufisadi pale asipofaidika nao ila pale akimegewa basi yupo tayar kumtangazia mema shetani
 
Mleta mada kama hujanahatika kuolewa fanya hima plz,mambo unayoleta kama ungekua na mume nna uhakika angekushauri kabla ya kupost.


dah wewe mdada unapenda sna kuolewa olewa inaonekana ndoa yako ni changa eh?
 
Kongozi wetu alishatangaza mali na madeni anayomiliki na kuthibitishwa kisheria, na kiapo kipo wazi, hivyo una fursa ya kumpeleka mahakamani endapo amedanganya......

Tunasubiri Mbowe na Lowassa waweke mali na madeni wanayomiliki hadharani......

kubenea alishiriki kumchafua zitto na Lowassa kwa maneno kama mleta mada unavyofanya......hivyo hakuna jipya



Hahhahaqhaahh kiongozi wenu au nabii wenu? Mana kuwa na supreme leader(ayatollah)aka kiongozi mkuu sio jambo la mchezo
 
Zitto ni popo ana hulka ya upopo anatumia formula ya if they don't understand you confuse th,mwanasiasa mwenye ndimi 2 siku zote na mpinga ufisadi pale asipofaidika nao ila pale akimegewa basi yupo tayar kumtangazia mema shetani
Ya zitto mnayaongea kwa kujiamini, mkiulizwa muelezee usafi wa Lowassa mnabaki kusingizia mahakama.
 
This a matter of time of all dirty leaders zzk can't be excluded in that list!he is a shame and disgust
 
Ya zitto mnayaongea kwa kujiamini, mkiulizwa muelezee usafi wa Lowassa mnabaki kusingizia mahakama.



lowasa ni raia wa kawaida mnamuogopa nini?mkamateni basi mwizi.mku yupo msoga mmebaki kupiga umbeab tu,zitto ndio.aliesema kitilya na dau.ni watu safi.na wa kuigwa
 
Zitto ni Mzito,kila mara kivuli chake kinawatesa makuwadi wa ufisadi,

Siwewe uliekuja hapa kutuaminisha kuwa Lowassa ni fisadi ?

Si wewe uliekuwa unamsifia Slaa kuwa ni Jembe na leo unamtukana?

Zitto kwq sasa yupo Havard nchini marekani akiendelea kujinoa kuelekea Bunge la bujeti.

Subiri nyundo zitakazo tolewa na Mzalendo Zitto ndipo utakapo zaa hiyo mimba yako ya Chuki
 
lowasa ni raia wa kawaida mnamuogopa nini?mkamateni basi mwizi.mku yupo msoga mmebaki kupiga umbeab tu,zitto ndio.aliesema kitilya na dau.ni watu safi.na wa kuigwa
Mbowe ndiye aliyesema kuwa Lowassa hafai, ni fisadi......

Basi na nyie msiishie tu kumsema zitto mpelekeni mahakamani.
 
This a matter of time of all dirty leaders zzk can't be excluded in that list!he is a shame and disgust

Kama vipi Zitto aongezwe kwny List of shame ya Mafisadi Papa! na orodha irudishwe kwny Tovuti ya chama
 
Kuna kashfa inaenda na kujirudia kuwa Bwana Zitto Zuberi Kabwe (Mwanasiasa msafi kuliko wanasiasa wote kuwahi kutokea Tanzania) ni moja ya watu walionufaika na mgao wa fedha za escrow, japo sijawahi msikia akitamka kwa ulimi wake kuwa hajapokea, ameishia kusema watu wachunguze, nitaendelea kuamini katika misingi ya mtu ni huru mpaka pale itakapothibitika kua ana makosa.

Lakini kaka yangu huyu amekuwa ni mtaalamu mzuri wa matumizi ya "fallacy" kwa waliosoma falsafa wataelewa. Zinapozuka kashfa dhidi yake, huwa anatumia A kujibu swali B. tundu lissu alipomkashifu kwa kupokea pesa toka kwa Mkono na mpaka sasa ana miliki magari mawili ya Mkono, Bwana Zitto aliishia kuhamishia kashfa kwa Mh Mbowe, na kusema haongei na kifaranga yaani Lissu, hii kwenye falsafa inaitwa appeal to mockery ab absurdo

lakini pia mbinu nyengine mheshimiwa hutumia ni Argumentum ad misericordiam au kwa lugha nyepesi appeal to pity (inatafsiriwa kama kuweza kushinda mjadala kwa kuvuta hisia na huruma ya walio wengi) Ilipozuka kashfa kuwa bwana zitto kabwe kuna ufisadi anafanya kupitia kampuni ya Gombe advisors, Bwana zitto alijibu ameumizwa sana kwa kuwa yupo busy anamuuguza mama ( Mwenyezimungu amlaze mahala pema Peponi aamin) ilipoibuka tena bungeni kashfa ya kupokea hela za escrow alisema tumuache mama apumzike kwa amani.

Lakini kwa kuwa vifaranga vimekuwa, na hana anayemuuguza, tunaomba sasa atujibu kwa ufasaha kwa kuwa maelezo yake ya awali yalijaa na uuguzi, kuhusu mikataba wa leka Dutigite kwa upande mmoja na NSSF na TANAPA kwa upande mwengine

Kampuni ya Leka Dutigite ina wana hisa 16, 15 kati yao ni wasanii wa kizazi kipya wenye hisa asilimia 5 kila mmoja hivyo kuwa idadi ya asilimia 75 na asilimia 25 zilizobakia zinamilikiwa na Gombe advisors. Swali huyu Gombe ni nani?

Ukienda kuangalia makabrasha ya Brela Gombe advisors inamilikiwa na watu wawili, mtu mmoja mwenye jina la kikenya mwenye asilimia 25 na Bwana Zitto kabwe ambae kwenye fomu amejijaza kama mchumi badala ya kiongozi wa Umma

Kwa hiyo kumbe NSSF na TANAPA mashirika ya Umma ambayo yanakaguliwa yasifanye ufisadi na Bwana Zitto kabwe kwa mkono wa kulia, ukija mkono wa kushoto unakuta Bwana Zitto kabwe ndo mwanahisa mkuu kwenye mikataba ya kibiashara baina ya NSSF, TANAPA na leka dutigite, japo yeye anadai hakuna mgongano wa kimaslahi.

Katika tenda moja, NSSF iliilipa Leka Dutigite shilingi milioni 120, milioni 90 kati ya hizo zilitolewa siku moja baada ya kuwekwa, siku moja kabla ya uchaguzi wa kamati ya hesabu za mashirika ya umma PAC uliomfanya Bwana Zitto kuwa mwenyekiti wa kamati na kumng'oa mzee Cheyo aliyekuwa anafanya kazi kwa weledi mkubwa. Coincidence? ipo siku utawala utabadilika na hizi pesa zitamulikwa

Na ni bahati nzuri kuwa hizo pesa zilienda kutolewa na Habib Mchange, (bank statement inaeleza hivyo) aliyefukuzwa Chadema kwa kosa la kuwa kibaraka wa Zitto na kupanga mapinduzi ndani ya Chama, leo ndio katibu mkuu wa LekaDutigite kampuni ambayo Zitto anasema hana maslahi humo, kwa nini aweke watu wake?

Sasa hapa kuna maswali yanajitokeza

1. je NSSF na TANAPA ni mashirika ya Umma au hapana? Na je Zitto ni kiongozi wa Umma au Hapana

2. je Zitto anayakagua haya mashirika au hapana?

3. Je katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 sura ya 6 sehemu ya 2 Na sheria ya utumishi wa Umma inamruhusu kiongozi kama yeye kuingia mkataba na mashirika ya Umma ukiachila mbali mashirika yanayoripoti chini yake?

4. Kama Gombe advisors si kampuni ya faida, kwa nini ijimilikishe hisa asilimia 25% Za Leka Dutigite? Je si ingekuwa sahihi ingebaki kuwa mshauri tu na wasanii wakagawana asilimia 100 ya kampuni ili wanapogawana faida wagawane kwa uwiano sawa kutokana na mgawanyo wa hisa zao

5. Kwa nini aweke watu wake wa karibu kuwa ndio viongozi wa Leka Dutigite kama yeye ni mdhamini tu na mshauri wa wanamuziki?

Mimi naamini hakuna ujanja ujanja unaodumu kwa muda mrefu nchi hii kabla haujagundulika, Chama Chake kimeshamjua, ipo siku hao anaowatumia kwenye ujanja ujanja wake watamgeuke na ukweli utawekwa hadharani. lakini hadi hapo yatakoapotokea hayo, bado nasubiri siku nione Zitto Kabwe akiikosoa NSSF na TANAPA kwa kuwa mpaka sasa kila akiongea mifano mema hutolea mashirika haya mawili. Mimi ndio yule yule niliyemtabiria kufukuzwa kwenye chama siku aliyochaguliwa kuwa kiongozi wa chama.
Safi sna Mie Nina mashaka nae muda mrefu huyu jamaa yupo kwa ajiri maslahi ktk siasa kwa umri wake amepata wapi uwezo wa kumiliki nyumba masaki tna zaidi ya moja mh zito zuberi kabwe yupo ktk siasa kwa ajiri maslahi binafsi sio kuwa tetea wana kigoma time will tell
 
Mbowe ndiye aliyesema kuwa Lowassa hafai, ni fisadi......

Basi na nyie msiishie tu kumsema zitto mpelekeni mahakamani.


Kazi ya serikali hiyo iwe zitto au lowasa wakamatwe wote ijulikane1 mbivu na.mbicho
 
Safi sna Mie Nina mashaka nae muda mrefu huyu jamaa yupo kwa ajiri maslahi ktk siasa kwa umri wake amepata wapi uwezo wa kumiliki nyumba masaki tna zaidi ya moja mh zito zuberi kabwe yupo ktk siasa kwa ajiri maslahi binafsi sio kuwa tetea wana kigoma time will tell







Kama zitto yupo kisiasa na wewe changamkia fulsa ili na wewe umiliki hizo nyumba basi.


Watu wengine ukiona huna point ya kuongea mbele za watu kwa nini usikae kimyaaaaa???

Hivi sasa kila mtanzania ameamka kisiasa na kujua nini maana ya siasa na hasa neno ufisadi naamini mioyo yenu inatamka kwa dhati kuwa ni jasho la mh. Zitto kabwe,, hata wewe mleta maada ymekua kibaraka wa cdm baada ya kuogelea ndani ya damu ya zito iliyotolewa kwa ajiri ya watz kupitia cdm. Leo kwa vile na wewe unajua kuandika baaaasi unaandika tuuu,,,
Halafu epuka kupost vitu usivyovijua bora ukafanya utafiti kwanza kuchwani na kuona nafsi yako inazungumza nini juu ya hilo
 
Katika kizazi cha sasa sijawahi ona mwanasiasa wa ajabu kama zitto! Anapenda umaarufu wa chee wakati huo huo ni mnafiki Mno! Wenye akili zao walishaacha hata kumjadili kwa sababu wanamuona kama ni kumpa umaarufu ambao umrshaanza kuisha wenyewe
Mbowe amaarufu wake ukoje? Zitto ni maarufu kuliko Mbowe.
 
Juzi jamaa aliibukia kwenye mkutano wa ALAT. Katika utawala huu wa JPM wanasiasa walaghai ndio kiama chao, naona mwisho wa Zitto kisiasa huo unakuja, ingawa hela ataendelea kuwa nayo kwa vile alivuta nyingi sana
 
story ndeeeeeeefu hoja punje ya ulezi. Haya nimesoma stori ila ninakazi zenye kunipa faida na story kaa nayo mwenyewe
 
Kama zitto yupo kisiasa na wewe changamkia fulsa ili na wewe umiliki hizo nyumba basi.


Watu wengine ukiona huna point ya kuongea mbele za watu kwa nini usikae kimyaaaaa???

Hivi sasa kila mtanzania ameamka kisiasa na kujua nini maana ya siasa na hasa neno ufisadi naamini mioyo yenu inatamka kwa dhati kuwa ni jasho la mh. Zitto kabwe,, hata wewe mleta maada ymekua kibaraka wa cdm baada ya kuogelea ndani ya damu ya zito iliyotolewa kwa ajiri ya watz kupitia cdm. Leo kwa vile na wewe unajua kuandika baaaasi unaandika tuuu,,,
Halafu epuka kupost vitu usivyovijua bora ukafanya utafiti kwanza kuchwani na kuona nafsi yako inazungumza nini juu ya hilo
Binafsi nataka unieleze huu utajiri amepata wapi mh zitto kabwe ni mpigaji tu km ndugu zetu wa kaskazini hta kushindwana kwa kulikuwa kwa maslahi yao binafsi sio kutuonea huruma wananchi wa TZ jaribu kutuliza kichwa chako fikiria kwa makini
 
Back
Top Bottom