Kama zitto yupo kisiasa na wewe changamkia fulsa ili na wewe umiliki hizo nyumba basi.
Watu wengine ukiona huna point ya kuongea mbele za watu kwa nini usikae kimyaaaaa???
Hivi sasa kila mtanzania ameamka kisiasa na kujua nini maana ya siasa na hasa neno ufisadi naamini mioyo yenu inatamka kwa dhati kuwa ni jasho la mh. Zitto kabwe,, hata wewe mleta maada ymekua kibaraka wa cdm baada ya kuogelea ndani ya damu ya zito iliyotolewa kwa ajiri ya watz kupitia cdm. Leo kwa vile na wewe unajua kuandika baaaasi unaandika tuuu,,,
Halafu epuka kupost vitu usivyovijua bora ukafanya utafiti kwanza kuchwani na kuona nafsi yako inazungumza nini juu ya hilo