Usafi wa Vyoo IFM

advocate91

New Member
Jan 14, 2021
4
4
Hali ya vyoo vya IFM inahatarisha kwanza kumekuwa hakuna maji na usafi sio wa mara kwa mara vyoo ni vichafu sana. Uongozi wa chuo tunaomba mliangalie hili ili kuepuka mlipuko wa magonjwa chuoni.
 
Unajua Usafi wa vyoo kwa kiasi kikubwa unategemea watumia vyoo
Kuna watu wachafu sana kwenye matumizi ya vyoo kwani huvitumia na kuviacha Vichafu bila kujali atakayeingia baada yake. Baadhi ya watu wakisha jua kuna mtu ameajiriwa kusafisha choo wanafikiri maana yake ni uache choo kichafu ili asafishe....
Na hivi vya kukaa ndio majanga (havifai kabisa) kwa mazingira ya jumuia ambapo watu wengi bado hawawezi kujisimamia
 
Leo ni siku ya vyoo Jamiiforums

Kwakweli Watanzani tunasikitisha Sana, sijui Sisi ni kitu gani ambacho tunaweza kufanya kwa umahiri?

Leo alfajiri nimepita na bus stand ya Msavu Morogoro nikitokea masafa ya mbali, basi ikatangazwa kuchimba dawa nikasema ngoja niende nikatowe maji yaliyobaki kwenye blada.

Basi kufika mlangoni... Vyoo vya abiria Stendi ya Msavu Morogogoro vinasikitisha, mamlaka husika zitembelee Msavu kujionea



Mbunge wa Jimbo la Kigamboni, Faustine Ndugulile ameona hoja ya Mdau wa Jamii Forums aliyedai Vyoo vya Hospitali ya Vijibweni iliyopo Kigamboni, Dar es Salaam ni vichafu kwa ndani, vinatoa harufu kali na pia miundombinu yake ni chakavu, anadai kwa miezi mitatu aliyofika eneo hilo hakuna taa na... Mbunge wa Kigamboni aahidi kulifanyia kazi suala la uchafu na uchakavu wa vyoo vya Hospitali ya Vijibweni

Nimehitimu chuo kikuu cha Dodoma hivi punde, lakini mazingira tuliyokuwa tunaishi pale chuoni hakika yanasikitisha.

Colleges nyingi za pale UDOM kuna changamoto kubwa ya usafi chooni na ukiachilia mbali suala la usafi ila maintenance kwenye vyoo vya UDOM ni hovyo kabisa. Wanafunzi wanalipa ada... DOKEZO - Achana na kunguni, UDOM ina vyoo vichafu sijawahi kuona

Salaamu Wakuu: Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Sote tuitikie: Kazi Iendelee!

Moja kwa moja kwenye mada.

Mbali na utaratibu mzuri walionao uongozi wa stendi wa kuwaelekeza utaratibu wa hapo stendi wasafiri wanaotumia eneo hilo wakati wa alfajiri; bado Bwana Afya... Stendi Kuu za Mabasi Kigoma na Kaliua- Mabwana Afya wajipime
 
Back
Top Bottom