Usafi ukeni - Sharing is caring

Usafi ukeni - Sharing is caring

My dia ukipitia maelezo Yang cijasema watu watie vidole kwa maana cha kuingia kwenye papuchi ni gegedo
Huwezi kuosha huko ndani wala kukausha ndani ya papuchi kwa taulo

Ila kwenye shavu zake ndo pa kuoshwa kwa maana uchafu wake unabaki pande hizo unajua jinsi ilivyo na ndo sehemu za kukausha.

Mkuu mbona unajichanganya....hata mtoa mada hajazuia kusafisha nje, amekataa kutia madole
 
Ya road licence nimeisikia na nimeipenda. unalipia kadiri unavyotumia barabara. hapa hata wenye vijenereta vyao watachangia ushuru wa barabara.

Hadi vijijini mashine za kusaga ni watalipia!!!!
 
Dada zetu wa kibongo jamani endeleeni tu na ustaarabu wenu wa asili kama mlivyofundishwa na mama zenu wa kusafisha *ma-ku* kwa kidole na kujitoa mautoko.

Msiingie huo mkenge wa ushauri wa kizungu (read west) ulio ambatanishwa hapo. Unakuta msichana mrembo wa ki west lakini saa ya sex huwa ni shughuli...maana akikufungulia mguu huo mvuke / shombo inayotoka hapo ni balaa (yaweza hata kuzalisha umeme🙂 na ukimwelekeza jinsi ya kujisafisha anakubishia katakata.... anakwambia *ma-ku* haioshwi kwa kidole. Mwisho wa siku wee mwenyewe utaboreka tuu.

Wengine yametukuta na tunazungumza haya kwa ushuhuda🙂
 
My dia ukipitia maelezo Yang cijasema watu watie vidole kwa maana cha kuingia kwenye papuchi ni gegedo
Huwezi kuosha huko ndani wala kukausha ndani ya papuchi kwa taulo

Ila kwenye shavu zake ndo pa kuoshwa kwa maana uchafu wake unabaki pande hizo unajua jinsi ilivyo na ndo sehemu za kukausha.
sasa nimekuelewa. mara ya kwanza nilidhani unamaanisha kuingiza vidole huko ndani, maana kuna watu huwa wanatoa hayo mafunzo kwa wenzao na ndio maana ya douching nafikiri.
Kwa maelezo haya nakubaliana na wewe 100%, papuchi haiwezi kukaa bila kuoshwa
 
Duh kweli tunatofautiana mimi mwenzenu siwezii kila siku wakati wa kuosha lazma niingize kidole tena kama nachokonoa dafuu ila nakuwa nishaosha mikono kwa maji safi pia
 
Ndo hivyo.

Ila kama mtu hajatumika siku nyingi, lava imejaa sana na highly viscous, na mhusika anataka kutumia, basi anakokotoa kwa maji safi na salama.

Mtumiaji akishakuwepo deile, ni mswaki tosha. Akchwale kitoacho shombo ni mkojo tu, na huu hautokeo ndani vinginevyo mtu ana maambukizi.

Kwa hiyo ni kweli ukizama ukitoka na cream maana yake hiyo njia ni reserved!!!!?????????
 
Kama inawatumiaji wengi, lazima ioshwe deile vinginevyo ina ugonjwa.

kudadadadeki. ila kiukweli ni heri harufu ya choo cha stendi kuliko harufu ya papuchi inayonuka. ukiishika mikono harufu haiishi labda ukanawie petroli. Ziosheni tu, baasi.
 
kudadadadeki. ila kiukweli ni heri harufu ya choo cha stendi kuliko harufu ya papuchi inayonuka. ukiishika mikono harufu haiishi labda ukanawie petroli. Ziosheni tu, baasi.
Babu shika moooo!akchuale babu mm papuchi nitaosha na vidole nitaingiza kutoa utoko,hili chaka sitoingia kamwe!
 
Ndo hivyo.

Ila kama mtu hajatumika siku nyingi, lava imejaa sana na highly viscous, na mhusika anataka kutumia, basi anakokotoa kwa maji safi na salama.

Mtumiaji akishakuwepo deile, ni mswaki tosha. Akchwale kitoacho shombo ni mkojo tu, na huu hautokeo ndani vinginevyo mtu ana maambukizi.

Daaaanh haya ...............kweli kufuga nyoka sio kazi ila kumlisha na kuhakikisha hadhuru wengine!!!!!!!!!
 
Naona diversity kubwa juu ya hii kitu sasa sijui ni culture na primary socialization au popular culture na tertiary socialization!!!!!!!!!

Hapa kuna publication kabisa!!!!!!!

Vagina cleansing; definition of cleanness and cleaning methods!!!!!!
Asprin utakuwa second author.......proposal inaendelea kupata background na domain assumptions

Wakina dada please enrich........ snowhite jiandae for editing... Kongosho na King'asti mtakuwa kwenye research team na mta intavyuu wanawake wasio tayari kuwa intavyuud na wanaume!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Naona diversity kubwa juu ya hii kitu sasa sijui ni culture na primary socialization au popular culture na tertiary socialization!!!!!!!!!

Hapa kuna publication kabisa!!!!!!!

Vagina cleansing; definition of cleanness and cleaning methods!!!!!!
Asprin utakuwa second author.......proposal inaendelea kupata background na domain assumptions

Wakina dada please enrich........ snowhite jiandae for editing... Kongosho na King'asti mtakuwa kwenye research team na mta intavyuu wanawake wasio tayari kuwa intavyuud na wanaume!!!!!

Na pratical interview iwepo.
 
Last edited by a moderator:
Kwenye research assistants hapo muweke lara 1 please.

Ngoja niweke title sawasawa:

Traditional methods of vaginal cleansing: The experience and prevalence of odor and opportunistic infections

Kiranga njoo ubrush title hapa (achana na content, haikuhusu).
OLESAIDIMU, nataka tuangalie traditional methods kwa sababu scientifically it has been proved kwamba kujiswafi ndani kunasababisha maambukizi ya magonjwa. na mie nakuhakikishia, anebisha ajaribu ama amuambie mwenza wake ajaribu for a month tuuuu, safisha kwa kitaulo (sio madodoki ya kichina) katikati ya mapaja, na mashavuni kote kwa maji na sabuni. kisha kausha tu. halafu uone scent yake :smile-big::smile-big::smile-big:

ondoka kwenye comfort zone yako ujaribu maisha kwenye angle mpya

Naona diversity kubwa juu ya hii kitu sasa sijui ni culture na primary socialization au popular culture na tertiary socialization!!!!!!!!!

Hapa kuna publication kabisa!!!!!!!

Vagina cleansing; definition of cleanness and cleaning methods!!!!!!
Asprin utakuwa second author.......proposal inaendelea kupata background na domain assumptions

Wakina dada please enrich........ snowhite jiandae for editing... Kongosho na King'asti mtakuwa kwenye research team na mta intavyuu wanawake wasio tayari kuwa intavyuud na wanaume!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Hebu tuvumiliane kidogo!!!!!!!

Nisiulizwe maswali please: uzoefu wangu bila ya kukusudia kushambulia hisia au jinsia wasioosha kwa kweli wana harufu kabisa wala haijifichi yaani akivua tu pichu.........just go licking around the navel.......kama uko wizara ya elimu kupitia chuo cha utumishi wa umma unaelekea feri!!!!!!!!

No offense intended!!!!!!

NiMecheka sana jamani.ni hataree
 
Hilo nalo neno wapimaji mikono iwe safi...ivi niulize wale wadada walio na mikucha mirefu na rangi juu wanaosheje kwa bibi

naona hao ndo wanaosubiri ijioshe yenyewe
hivi ule utoko unaweza kutoka wote kabisa bila kidole kuhusika??
kwa kweli hapa kuna watu wanataka wenzao tuachike ndoani mmmh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom