Usafi ukeni - Sharing is caring

Usafi ukeni - Sharing is caring

Labda niwasaidie kidoge akinadada, wanawake wote.
Kwa muda nimekuwa natoa tiba mbadala yaani tiba ya miti shamba. Wanawake wanalalamika kuwa na maambukizi ya fangasi ukeni wale ambao huosha uke zao mara kwa mara.
K
Iko hivi;
Uke kiasili hujisafisha yenyewe, haihitaji kuingizwa kitu chochote ndani ya uke. Unapojisafisha uke kwa ndani kwa kuingiza kidole kun mambo mawili hutokea, kuingia kwa bakteria na kuondoa bakteria wanalinda uke. Hivyo kwa mwanamke ambaye hajawahi kujiingiza kidole kwa kujisafisha au kupiga punyeto hawezi kutokwa na uchafu wowote wenye harufu mbaya.
 
ukiduu kavu zile mbegu utazisafishaje bila kuingiza kidole?

Zile zinatoka zenyewe, kikubwa ni kujisafi tu kwa nje, maana hata ukisema upeleke kidole naamini hakifikii urefu wa dushee ambalo ndo linazitema...kwa hiyo kidole hakifiki popote. Mbegu zitakazokuwa zimebaki njiani zitatoka zenyewe...huo ndo uelewa wangu, ila wataalamu wa afya pia waweza kutujuza hapa
 
Sawa. Enzi za bibi zetu mabinti wadogo hawaruhusiwi kusafisha/kushika uke wake. Jiulize walikuwa wanaishi vp? wanapata fangasi? je UTI?
Leo binti mdogo miaka12 ameshajua uke wake ukoje. EBOO!!
 
Zile zinatoka zenyewe, kikubwa ni kujisafi tu kwa nje, maana hata ukisema upeleke kidole naamini hakifikii urefu wa dushee ambalo ndo linazitema...kwa hiyo kidole hakifiki popote. Mbegu zitakazokuwa zimebaki njiani zitatoka zenyewe...huo ndo uelewa wangu, ila wataalamu wa afya pia waweza kutujuza hapa



Ni kweli mkuu. Mbegu/ shahawa zilizo ndani ya uke baada ya kujamiiana hutoka zenyewe, haihitaji kuingiza kidole, unaosha kwa nje tu. Lkn wanawake siku hizi wanajiharibu wanahangaika kuingiza kidole na wengine wanatumia sabuni na kujipuliza pafyum nje ya chupi sehemu ya uke.
 
Ni kweli mkuu. Mbegu/ shahawa zilizo ndani ya uke baada ya kujamiiana hutoka zenyewe, haihitaji kuingiza kidole, unaosha kwa nje tu. Lkn wanawake siku hizi wanajiharibu wanahangaika kuingiza kidole na wengine wanatumia sabuni na kujipuliza pafyum nje ya chupi sehemu ya uke.

Teh! Hiyo ya kupuliza na pafyumu naona ndo kuharibu kabisa, uke ukiwa safi, hakuna fangasi wala maambuki yoyote. ..harufi yake ya asili inaraha yake....kitu asilia...sijui kwa anayezama chumvini akakutana na harufu ya pafyumu inakuwaje mie naona ni kujichanganya na kusaka maradhi mengine
 
Huyu jamaa kataja UTH nimesoma huu ujumbe nikagundua kumbe ndo maana wanawake wa nchi hiyo wananuka K.

Hawana tabia ya kuosha k na maji.. nchi ambayo chooni watu wanatumia makaratasi tu eti tissue paper.. K harufu kila mwanamke
 
eee kaazi kweli, yani hapa kama ndio kuna mabinti wanataka wajifunze humu hawaambulii kitu maana kila mtu anasema yake hata wasiojua hasa wanaume.

mi niwashauri tu ambao bado hawajui namna ya kusafisha huko, hebu msione kuuliza kwa watu,kinamama wazima, au nenda hospitali upate maelekezo ya kitaalamu zaidi, unaweza ukaiga tu njia za mtu fulani lakini kwako zikagoma, ogopa sana kutoa harufu huko ni kero na inakudhalilisha...
 
Kwakweli..mabikira nao wanaingiza?..if not zao zinajisafishaje
 
my dia kuosha uke sio kuingiza midole ndani osha shavu za uke wako.kama umenisoma vizri nimesema uchi huruhusiwi ktumia lolote na bactria wa mchana wpo kwa ajili ya kulnda uchi usitumie chemical hasa sabun ,shabu ,magagan,detto hiyo ndo inasababish fangus na maji meupe yeye hrfu kutka.waweza kutumia udi kujifukiza ila sio zaid kwa papuchi

mgonjwa ya kuambukizwa yapo na pia sisi wenywe kwa kuwa na usafi duni na kuvaa chupi ambzo hazijafuliwa na kuanikwa vzuri

Uchafu mweupe na harufu ni uambukizo wa fangasi, ukiua bacteria walinzi kwa kujifanya mjuaji kusafisha ndo unawapata pia unaweza kuambukizwa na mwanaume kutoka kwa mwanamke mwingine mwenye nazo(zinaa) wataalamu wa afya hawashauri uoshaji wa ndani ya uke unadisturb normal flora sijui. Na hizi elimu za makungwi wa mitandaoni n.k za kuweka mist, shabu n.k zitatuua na maradhi. Balance ya ukeni ikibadilika unapata uambukizo fasta
 
Mi naona hii ni fursa ya ujasiriamali. Naomba mdada aanzishe taasisi inayojihusisha na kutoa elimu ya usafi kwa kina dada hasa usafi wa papuchi.

Katika wadada 10 ni 3 ambao hawatoi ule uchafu mweupe. And some men akishaona ivo ham yote kwisha.

Nina project inaendelea ila isingekuwa hivyo hii ilikuwa fursa kwangu. Zunguka mashuleni, Vyuoni na Matamasha ya Mitaani kuelimisha. Itakulipa sana ukizingatia wadada sio wadadis kama wakaka yaani wao wanafuata mkumbo tu. Chochote utakachoanzisha kuhusu hawa watu kitaprosper
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom