Usafi ukeni - Sharing is caring

Usafi ukeni - Sharing is caring

Najikongoja, mambo si marahisi kama nilivyodhani. Ila uzima upo.

Na wewe?

Ahaaa.ngoja napita.mlimani city nakuletea ufito wa choklet.chaap..plus ule nechero kusindikizia maana role yangu nshaikubali
 
hahahaha magunzi ya aina gani babu

Ya mahindi hasa yatokaya İringa. unaliweka kwenye moto kidogo likakamae. Afu unalidumbukizamo kwa ajili ya usafi wa papuchi na kuta zake.
 
mwalimu, wakati unacheka unakumbuka kunigongea like? au hujui mimi na Like ni sawa na Malawi na ziwa Nyasa?
ahahahahahahaha wallahi nakugongea za kimoyomoyo!
kasimu haka hakana like bana
 
Ya mahindi hasa yatokaya İringa. unaliweka kwenye moto kidogo likakamae. Afu unalidumbukizamo kwa ajili ya usafi wa papuchi na kuta zake.

Aiseee....baadae utanisaidia hiyo kazi
 
wanaume wanaboa sana. the more unavyofanya kumfurahisha the more anavyokuona wewe mjinga fulani hivi.
ukiacha kuyafanya anaanza kutafuta visingizio lukuki vya kukukandamiza na hata kutoka nje.

hawana jema hata kidogo. na hawana mapenzi endelevu kama walivyowanawake. wapowapo tu leo anakupenda kesho anakuona hufai keshokutwa anakupenda sana yani hawasomekisomeki.
ningekuwa na uwezo ningeee......................................................
La msingi na la sekondari ni mwanamke kujijali na kujiangalia kwanza kabla ya kutafuta kufurahisha mume!
 
Ya mahindi hasa yatokaya İringa. unaliweka kwenye moto kidogo likakamae. Afu unalidumbukizamo kwa ajili ya usafi wa papuchi na kuta zake.

mhhhhhhhhhh hiyo hapana kwa kweli
 
Hahahah pole mwaego. Naamini njia kuu lami ishakauka mzee anaweza pitishamo Prado lake sasa.

Haswaaaa!! Unafikiri angeweza kuvumilia mpaka leo? Spid sasa si 20 tena angalau hata pozi fulan zinaendeka.
 
naomba majibu unajua kuna tofauti ya bacteria za kulinda uchi na zile za utoko?
pili unajua kuna utoko wa mchana na usiku

my dia uchi lazima uoshwe tna kwa maji safi na salama....osha mikono yako kwa maji vuguvugu tumia sabuni or detto kausha mikono yako..anza zoezi la kuosha papuchi taratibu cos haihitaji fujo wala haraka,osha kwa maji tu USITUME sabni or kitu chochote chenye chemical then futa na taulo safi,
Bacteria wa mchana ni muhimu cos wanalinda uke huruhusiwi kuosha ila wa usiku lazima uoshe cos ni uchafu

fangasi utapata kama unaosha bcteria wa mchana wanaolinda na hutumii maji safi na mikono safi na wale ambao wanatumia sabuni

je ushawahi kusikia malalamiko ya wanaume juu ya wanawake wanaotoa uchafu wenye harufu na vitu vyeupe kama mziwa mgando?je ni vitu gani hivyo?

usafi wa uchi kwa mwanamke ni muhimu hakuna cha kujiswafi automatic hizi ni mannual mama lazima mkono safi utumike

Hapo kwenye bold! sijaelewa maelekezo vizuri. Je tunaingiza mikono ndani ya vagina, kule kunakotokea mtt ili kuosha nyuchi? na unaenda umbali gani kwenda ndani? kama nimeelewa alivyosema hips.com mule ndani ni selfcleaning, kuna jinsi yake ya kutoa uchafu uliomo ndani. Na mule ndani sio kuchafu hata kidogo

Kuhusu kukausha na taulo! kama tunaingiza mikono kuosha huko ndani, je tunaingiza na taulo kukukausha?
 
Last edited by a moderator:
Eeee nyuchi haioshwi ndani huko inajiosha yenyewe zaidi sana ili kuwe poa chukua hiliki chemsha kwenye maji O'Shea papuchi itakuwa na hewa safiiii na kaharufu ka mchele mchele kushney. zingatia papuchi inajiosha yenyewe
Vagina is a self cleaning machine. tunaosha kwa nje tu, lakini si kuingiza makitu ndani ya tundu kwa ajili ya kuosha
 
Hili somo kama linasua vile ...........ila kumbe sasa suala la kumjua partner wako ni la muhimu sana!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom