Usafi ukeni - Sharing is caring

Usafi ukeni - Sharing is caring

nakupa like mkuu. hata wale wanaotokwa na cream siku nzima, kila siku ni kwamba hawasuguliwi ya kutosha tu. chezea brushi ya dushe wewe, kidole hakisafishi kitu!

Kwa hiyo ni kweli ukizama ukitoka na cream maana yake hiyo njia ni reserved!!!!?????????
 
Haswaaaa!! Unafikiri angeweza kuvumilia mpaka leo? Spid sasa si 20 tena angalau hata pozi fulan zinaendeka.

God is Great. nawe kwa makusudi mpe kwa fujo kulipizia zile siku ulizokaa idle.
 
Kwa hiyo ni kweli ukizama ukitoka na cream maana yake hiyo njia ni reserved!!!!?????????

Ngoja niongee na Paw akunyime access ya kuingia kwenye hii thread. Umeweka kambi hapa hata hujui kama Rais wako yuko busy anampigia promo Diamond kwa 50cent.

Nimeamini unapenda papuchi kuliko wali.
 
Ngoja niongee na Paw akunyime access ya kuingia kwenye hii thread. Umeweka kambi hapa hata hujui kama Rais wako yuko busy anampigia promo Diamond kwa 50cent.

Nimeamini unapenda papuchi kuliko wali.

Babu hata wewe umeipata hii???? Wewe si babu,hili jina halikufai.
 
Hapo kwenye bold! sijaelewa maelekezo vizuri. Je tunaingiza mikono ndani ya vagina, kule kunakotokea mtt ili kuosha nyuchi? na unaenda umbali gani kwenda ndani? kama nimeelewa alivyosema hips.com mule ndani ni selfcleaning, kuna jinsi yake ya kutoa uchafu uliomo ndani. Na mule ndani sio kuchafu hata kidogo

Kuhusu kukausha na taulo! kama tunaingiza mikono kuosha huko ndani, je tunaingiza na taulo kukukausha?

My dia ukipitia maelezo Yang cijasema watu watie vidole kwa maana cha kuingia kwenye papuchi ni gegedo
Huwezi kuosha huko ndani wala kukausha ndani ya papuchi kwa taulo

Ila kwenye shavu zake ndo pa kuoshwa kwa maana uchafu wake unabaki pande hizo unajua jinsi ilivyo na ndo sehemu za kukausha.
 
Last edited by a moderator:
Ngoja niongee na Paw akunyime access ya kuingia kwenye hii thread. Umeweka kambi hapa hata hujui kama Rais wako yuko busy anampigia promo Diamond kwa 50cent.

Nimeamini unapenda papuchi kuliko wali.


Ha ha ha hapa nagema data tu kiongozi.......siasani nimo tu au hujasikia nabari ya Road Licence .........we unamshauri Matola aweke mburula wapi!!!!!!??????

Ha ha haaaa wali huu hata kwa jirani unapewa ......ila sikufikii asee jiniaz ........au ndio maana hukupewa Umasia maana ungechuma matunda kwa kisingizio cha maandiko!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha hapa nagema data tu kiongozi.......siasani nimo tu au hujasikia nabari ya Road Licence .........we unamshauri Matola aweke mburula wapi!!!!!!??????

Ha ha haaaa wali huu hata kwa jirani unapewa ......ila sikufikii asee jiniaz ........au ndio maana hukupewa Umasia maana ungechuma matunda kwa kisingizio cha maandiko!!!!!

Nipe link ya road licence chap.chap

Apa waziri Saada anakubali kabisa wafanyabiashara wakubwa ndo wakwepaji wakuu wa kodi il hali watu wanaumia na PAYE..why hawawakamati??
 
Last edited by a moderator:
papuchi. isipooshwa cku moja tu ni shida,isipooshwa kabisa Itakuaje,ngumu
 
Nipe link ya road licence chap.chap

Apa waziri Saada anakubali kabisa wafanyabiashara wakubwa ndo wakwepaji wakuu wa kodi il hali watu wanaumia na PAYE..why hawawakamati??

Hommie wanataka sasa tulipie road licence unaponunua wese. Kabajaji kangu kalikuwa kanakaribia kuisha sikalipii mpaka hiyo July.
 
Ha ha ha hapa nagema data tu kiongozi.......siasani nimo tu au hujasikia nabari ya Road Licence .........we unamshauri Matola aweke mburula wapi!!!!!!??????

Ha ha haaaa wali huu hata kwa jirani unapewa ......ila sikufikii asee jiniaz ........au ndio maana hukupewa Umasia maana ungechuma matunda kwa kisingizio cha maandiko!!!!!

Ya road licence nimeisikia na nimeipenda. unalipia kadiri unavyotumia barabara. hapa hata wenye vijenereta vyao watachangia ushuru wa barabara.
 
Last edited by a moderator:
Kikongwe!! Wewe ni kijana kabisa tena mbichi! Kikongwe hajui puchi wala mambo ya kina diamond.

Hahahah ngoja nisepe, wajukuu wanataka kumvua babu yao boxer. Huchelewi kusema nimevaa boxer yenye chata la TMK WANAUME FAMİLY
 
Hahahah ngoja nisepe, wajukuu wanataka kumvua babu yao boxer. Huchelewi kusema nimevaa boxer yenye chata la TMK WANAUME FAMİLY

Hahahahha! Usijali siwezi kabisa mie sina madhara. Ikiandikwa hivyo si mbaya si mtu anasifia kwao,au wanataka iandikwe 50 cent??
 
Kama mtu anapenda kujikokotoa, walau afanye once in a while, lakini hii ya kila siku majanga, inakauka utadhani ilianikwa juani.

Harufu ni aina ya mtu tu, ila kuna sabuni unaweza oshea juu tu na harufu yote kwishney.

Ila Nasikia hata detal ni nzuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom