Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,678
Acha kudanganya wenzio. Usafi wa papuchi muhimu, ikibidi tumieni magunzi.
hahahaaa
Huyo ndiye ODM mwenyewe, na wehu wote kama yeye....waseme ameeeen! lol
Acha kudanganya wenzio. Usafi wa papuchi muhimu, ikibidi tumieni magunzi.
Ooh boy! Flagyl for pitty's sake? Why do women bother so much to please men, and men dont even move an inch to return the fever?!
Hujambo?
hahahaaa
Huyo ndiye ODM mwenyewe, na wehu wote kama yeye....waseme ameeeen! lol
Co mbaya Haya jina lako linasadifu ulivyo alafu gunzi likikukwangua unakunywa aspirin 2*3 au siyo
hakika nimeamini sio wote timamu nahisi kwa akili yako ungeshauri watumie na stilwire ili iwe safi zaid
Acha kudanganya wenzio. Usafi wa papuchi muhimu, ikibidi tumieni magunzi.
Hebu tuvumiliane kidogo!!!!!!!
Nisiulizwe maswali please: uzoefu wangu bila ya kukusudia kushambulia hisia au jinsia wasioosha kwa kweli wana harufu kabisa wala haijifichi yaani akivua tu pichu.........just go licking around the navel.......kama uko wizara ya elimu kupitia chuo cha utumishi wa umma unaelekea feri!!!!!!!!
No offense intended!!!!!!
hata wanaume nao waoshe mapumbu yao vizuri na kupuliziamo deodorant. na wajiepushe na vichupi vya kubana mapumbu.Isioshwe wengine hiyo smell sasa mzoga wa panya nafuu
naomba majibu unajua kuna tofauti ya bacteria za kulinda uchi na zile za utoko?
pili unajua kuna utoko wa mchana na usiku
my dia uchi lazima uoshwe tna kwa maji safi na salama....osha mikono yako kwa maji vuguvugu tumia sabuni or detto kausha mikono yako..anza zoezi la kuosha papuchi taratibu cos haihitaji fujo wala haraka,osha kwa maji tu USITUME sabni or kitu chochote chenye chemical then futa na taulo safi,
Bacteria wa mchana ni muhimu cos wanalinda uke huruhusiwi kuosha ila wa usiku lazima uoshe cos ni uchafu
fangasi utapata kama unaosha bcteria wa mchana wanaolinda na hutumii maji safi na mikono safi na wale ambao wanatumia sabuni
je ushawahi kusikia malalamiko ya wanaume juu ya wanawake wanaotoa uchafu wenye harufu na vitu vyeupe kama mziwa mgando?je ni vitu gani hivyo?
usafi wa uchi kwa mwanamke ni muhimu hakuna cha kujiswafi automatic hizi ni mannual mama lazima mkono safi utumike
naomba majibu unajua kuna tofauti ya bacteria za kulinda uchi na zile za utoko?
pili unajua kuna utoko wa mchanaJimi na usiku
my dia uchi lazima uoshwe tna kwa maji safi na salama....osha mikono yako kwa maji vuguvugu tumia sabuni or detto kausha mikono yako..anza zoezi la kuosha papuchi taratibu cos haihitaji fujo wala haraka,osha kwa maji tu USITUME sabni or kitu chochote chenye chemical then futa na taulo safi,
Bacteria wa mchana ni muhimu cos wanalinda uke huruhusiwi kuosha ila wa usiku lazima uoshe cos ni uchafu
fangasi utapata kama unaosha bcteria wa mchana wanaolinda na hutumii maji safi na mikono safi na wale ambao wanatumia sabuni
je ushawahi kusikia malalamiko ya wanaume juu ya wanawake wanaotoa uchafu wenye harufu na vitu vyeupe kama mziwa mgando?je ni vitu gani hivyo?
usafi wa uchi kwa mwanamke ni muhimu hakuna cha kujiswafi automatic hizi ni mannual mama lazima mkono safi utumike
Naunga mkono hoja hii,la kuzingatia mikono iwe safi Kabla ,usafi ni muhimu aisee huko kwa bibi hili pia linahusika kwa pande zote wanaume kabla ya kupima oil hakikisheni mikono yenu ni misafi osha mikono yako kwa sabuni na maji safi kausha kwa taulo safi kisha nenda kapime oil.
Naunga mkono hoja hii,la kuzingatia mikono iwe safi Kabla ,usafi ni muhimu aisee huko kwa bibi hili pia linahusika kwa pande zote wanaume kabla ya kupima oil hakikisheni mikono yenu ni misafi osha mikono yako kwa sabuni na maji safi kausha kwa taulo safi kisha nenda kapime oil.
Mtoa mada kasema ni medical perspective jamani, mbona mnambishia?