Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 10,656
- 21,079
We jamaa hujui wala huelewi, nchi kuwa CW ni uamuzi wa nchi unaweza kujitoa au kuingia muda wowote Australia wamewahi kudebate kuhusu kujitoa. USA Kuna states ni wanachama hai wa cw Virginia na Massachusetts. Gambia nchi ya Africa walijitoa. Hakuna obligation ya nchi kuwa au kutokuwepo Commonwealth.Sasa ndiyo umeandika nini? Mbona unarudi pale pale ninapoongelea? Kwa nini huyo Queen wako siyo Mkuu wa USA lkn ni Mkuu wa Kanada?