US wameiteka meli ya mafuta ya Urusi

US wameiteka meli ya mafuta ya Urusi

Bado haina tofauti kubwa, nchi ikibeba bendera ya nchi fulani, hiyo nchi (country of registration) ndio inayohusika na suala lolote la kiusalama la hio meli.
Kwa hiyo kila mara meli hiyo ikiwa baharini iwe na escort ya nchi iliposajiliwa?
 
Kwa hiyo sio lazima wawe wamiliki wa hiyo meli
Sio lazima. Zanzibar wamesajili meli nyingi hapo zinapeperusha bendera ya Tz baharini huko wala hazikuwahi kufika Tz. Ila zikitenda kosa lolote huko, Tz ndio inajulishwa nini kifanyike.
 
Hazihitaji escort kihivyo, ila kukiwa na ishu serious, flag state lazima ihusike pakubwa.
Walichofanya Marekani ni kama wao meli zao zinavyopigwa ambush na Houthis pale Middle East kwenye Red Sea.

Hawana tofauti na maharamia wa Somalia au walichokuwa wanafanya Uingereza kipindi cha Mercantalism

Sioni chochote special Marekani walichofanya.

Kweli kuiteka meli ya biashara nalo ni la kusifiwa?

Wazame ndichi wazichape na meli vita za mataifa mingine tuone
 
Putini kamwambia mkuu wa kitengo Cha nyukilia akae MKAO wa kula.ngoja tuone mbabe ni nani
hawezi tumia izo, zina ripple effect kwan upande wote wameset kukitokea shambulio basi na wao wanajibu auto but kama ni nuclear
 
Marekani ni baby wako?
IMG_6718.jpeg
 
Makobaz mkae mkao wa kutulia, huwa mnamtegemea Mrusi
 
RUSSIA alikuwa anategwa tu na kusubiriwa achoshwe na vita ya UKRAINE kijeshi na kiuchumi kisha US na EU amuingie kidizain
 
Walichofanya Marekani ni kama wao meli zao zinavyopigwa ambush na Houthis pale Middle East kwenye Red Sea.

Hawana tofauti na maharamia wa Somalia au walichokuwa wanafanya Uingereza kipindi cha Mercantalism

Sioni chochote special Marekani walichofanya.

Kweli kuiteka meli ya biashara nalo ni la kusifiwa?

Wazame ndichi wazichape na meli vita za mataifa mingine tuone
We kichwani Kuna hewa
 
Back
Top Bottom