US wameiteka meli ya mafuta ya Urusi

US wameiteka meli ya mafuta ya Urusi

Hiyo meli ni ya kukodi na imesajiliwa Uturuki na mfanyabiashara wa mafuta hayo ni mturuki.

Kilokuwa kikifanyika ni Russia kukodi hizi meli ambazo huitwa "Shadow Fleet or tankers" ambazo zimekuwa zikibeba mafuta ya kupeleka Russia na zipo nyingi tu kutoka sehemu mbalimbali Duniani.

Mwenye meli tiyari alikuwa amewekewa vikwazo hivyo kufanya zoezi zima la Marekani kuikamata meli hiyo kuwa ni halali kwake. Meli hiyo imetumiwa na Iran kubeba mzigo wa jeshi la RGC hivyo Marekani wamemalizana na Russia kwenye hilo.

Russia isingeweza kufanya lolote kuzuia kitendo hicho cha Marekani na UK kuikamata meli hiyo ambayo ilikuwa kwenye "international waters" mbali na pwani ya Scotland kwa sababu kiufundi si meli yake.

Pili, Russia yafahamu kuwa ingejaribu kuzuia zoezi hilo la kukamata hiyo meli basi hoyo ingekuwa ni vita kuu ya tatu ya Dunia hivyo wameangalia "avenue" zote na kufikia hitimisho kwamba Marekani na NATO hio ni sehemu ya mipango yao ya kutaka kutawanya rasilimali za Russia ambazo zote zimeelekezwa kule Donbass.

Hiyo ni michezo ya kidiplomasia na Marekani sasa hivi achanua makucha yake kujimwambafwai kwa Dunia kuwa yeye bado ndie kiranja wa Dunia na pia raisi Trump amefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuondosha mawazo kutoka kwenye mjadala wa bwana Jeffrey Epstein kwa kuanisha suala la Maduro na haya mengine.

Sasa hivi cha kuelewa ni kuwa hawa wakubwa (Marekani na Russia) ndo wamekwishagawana maeneo ya Dunia, Marekani (Western Hesmisphere) na Russia (Eastern Hemisphere) na Greenland ilokuwa katikati ya Marekani na Russia ikienda Marekani , basi wanobaki hawana kitu ni nchi za NATO.
 
Hapa sasa umesema vyema, kwa hiyo mleta uzi anaposema meli ya Urusi imetekwa yuko sahihi?
Siyo 100% sahihi. Ila kama meli inapeperusha bendera yako ni kama eneo lako. Na wewe ndiye unailinda na sheria zako ndiyo zinatumika ndani yake. Na nchi zingine zikiona meli ina bendera yako zinakuwa kama zimeona nchi yako. Kuiteka ni kama kuteka eneo lako.
 
Je, meli yoyote inayoelekea kwenye bandari za Urusi au yenye bendera ya Urusi inamilikiwa na Urusi?
Siyo lazima, nchi kama Liberia inapiga biashara kwa kusajili meli.

Huo nimekupa ni ushahidi wa kimazingira tu. Ila meli inayopeperusha bendera ya Urusi ni kama eneo la Urusi. Sheria zinazotumika ni za Urusi na inalindwa na Urusi.
 
Siyo 100% sahihi. Ila kama meli inapeperusha bendera yako ni kama eneo lako. Na wewe ndiye unailinda na sheria zako ndiyo zinatumika ndani yake. Na nchi zingine zikiona meli ina bendera yako zinakuwa kama zimeona nchi yako. Kuiteka ni kama kuteka eneo lako.
Hiyo tunaita country of registration sio lazima mmiliki awe wa hiyo nchi ijapokuwa itafuata sheria za nchi iliposajiliwa

Wamiliki wa meli huchagua nchi ya usajili kulingana na sababu mbalimbali
 
Siyo lazima, nchi kama Liberia inapiga biashara kwa kusajili meli.

Huo nimekupa ni ushahidi wa kimazingira tu. Ila meli inayopeperusha bendera ya Urusi ni kama eneo la Urusi. Sheria zinazotumika ni za Urusi na inalindwa na Urusi.
Uko sawa.

Hiyo meli mwanzoni ilipokuwa ina mzigo (mafuta) ilikuwa ikipeperusha bendera ya Guyana.

Baada ya kutambua kuwa Marekani yaifuatilia (na imegundua kuwa meli na mwenye meli wapo kwenye orodha ya vikwazo) mwenye meli akaomba Russia isaidie kuhakikisha meli hiyo yarudi ilikotoka salama. Baadae wiki mbili zimepita Marekani walijaribu kuikamata lakini wakashindwa. Meli hiyo ikapoteza mwelekeo na kuomba msaada (stress calls) lakini yasemwa ilizimwa ile (transmission signal).

Russia wakatuma nyambizi ili kuisaidia meli hiyo iweze kuondokana na majaribio na wakabadilisha bendera kuwa ya Russia kwa maana kwamba meli ikiwa na bendera ya nchi husika inakuwa kwa sheria za kimataifa haiguswi.

Hivyo vyambizi ya Russia ikawa yaisindikiza meli hiyo lakini wakati huohuo Kremlin wakataka facts mezani kuhusu meli hiyo na kwanini Marekani waitaka. Marekani ikatoa facts hizo 1. meli imetumiwa na Iran hapo mwanzo kubaba mafuta kutoka Venezuela na 2. meli hiyo imetumika sana na jeshi la Iran la RGC.

Na kwa kuwa meli hiyo imeenda na kuingia eneo la karibu na UK, Russia haijaona sababu ya kujaribu kuzuia Marekani kuikamata meli hiyo ikishirikiana na UK kwani jambo hilo linesababisha vita ya tatu ya Dunia.

Hivyo baada ya Russia kupata facts hizo imeona iachie meli hiyo na iendelee na shughuli zake za SMO kule Donbass.

Ni michezo tu ya kidiplomasia au mind games ndo yachezwa sasa hivi.
 
Sawa, thanks I stand to be corrected

Kasome habari Sky News inasemwa kuwa ni stateless ship

Wapi imesemwa kuwa hiyo meli ni ya Warusi? Twende kwa fact
Bado haina tofauti kubwa, nchi ikibeba bendera ya nchi fulani, hiyo nchi (country of registration) ndio inayohusika na suala lolote la kiusalama la hio meli.
 
Uko sawa.

Hiyo meli mwanzoni ilipokuwa ina mzigo (mafuta) ilikuwa ikipeperusha bendera ya Guyana.

Baada ya kutambua kuwa Marekani yaifuatilia (na imegundua kuwa meli na mwenye meli wapo kwenye orodha ya vikwazo) mwenye meli akaomba Russia isaidie kuhakikisha meli hiyo yarudi ilikotoka salama. Baadae wiki mbili zimepita Marekani walijaribu kuikamata lakini wakashindwa. Meli hiyo ikapoteza mwelekeo na kuomba msaada (stress calls) lakini yasemwa ilizimwa ile (transmission signal).

Russia wakatuma nyambizi ili kuisaidia meli hiyo iweze kuondokana na majaribio na wakabadilisha bendera kuwa ya Russia kwa maana kwamba meli ikiwa na bendera ya nchi husika inakuwa kwa sheria za kimataifa haiguswi.

Hivyo vyambizi ya Russia ikawa yaisindikiza meli hiyo lakini wakati huohuo Kremlin wakataka facts mezani kuhusu meli hiyo na kwanini Marekani waitaka. Marekani ikatoa facts hizo 1. meli imetumiwa na Iran hapo mwanzo kubaba mafuta kutoka Venezuela na pili meli hiyo imetumika sana na jeshi la Iran la RGC.

Hivyo baada ya Russia kupata facts hizo imeona iachie meli hiyo na iendelee na shughuli zake za SMO kule Donbass.
Ili meli ibebe bendera ya nchi lazima ijiliwe na usajili unaweza kuwa open registry au closed registry. Kwa ufafanuzi uliotoa, baada ya Urusi kujua ishu za hiyo na uhusika wa Iran, je waliifutia usajili? If so, basi Urusi hana cha kulalamika kwa kuwa meli haijasajiliwa kwake.
 
Bado haina tofauti kubwa, nchi ikibeba bendera ya nchi fulani, hiyo nchi (country of registration) ndio inayohusika na suala lolote la kiusalama la hio meli.
Meli mwanzo iliitwa Bela One na ilionyesha imesajiliwa Guyana.

Baadae ikaibuka ikiwa na jina la Marinera na ikipeperusha bendera ya Russia.

Hivyo hapo kabla ya kuanza kutupiana makombora pahitajika kwanza facts mezani.
 
Habari kubwa ya leo duniani imekuwa ni jeshi la US kuiteka Meli ya mafuta iliyotoka Venezuela na kudhaniwa ikielekea Russia. Meli hiyo ilikuwa na bendera ya Russia imedakwa huko Bahari ya Kaskazini. Russia walijaribu kutuma Nyambizi na manowari kwenda kuilinda lakini hawakufanikiwa.

US wanadai meli hiyo inahusika na kubeba mafuta yaliyowekewa vikwazo, japo inadaiwa kuwa wakati wa kukamatwa kwake haikuwa na mafuta. Russia atakubali bila kulipa kisasi?
View attachment 3526720
Anguko la America lipo karibu....labda kama silaha zake anashushiwa na Mungu,ila kama ni za kuunda tu kama za wenzie
 
Ili meli ibebe bendera ya nchi lazima ijiliwe na usajili unaweza kuwa open registry au closed registry. Kwa ufafanuzi uliotoa, baada ya Urusi kujua ishu za hiyo na uhusika wa Iran, je waliifutia usajili? If so, basi Urusi hana cha kulalamika kwa kuwa meli haijasajiliwa kwake.
Mkuu, kwa yanoendelea sasa hivi Duniani hatuwezi kuhitimisha jambo lolote maana kuna ujasusi wa hali ya juu na mambo mengi yasoeleweka.

Hiyo meli mwanzoni ilijulikana kuwa imesajiliwa Guyana na ikiitwa Bela One, lakini baadae ikaibuka kwenye Radar (baada ya kuzima Transponder)ikionyesha imesajiliwa Uturuki na yaitwa Marinera.

Hivyo yaweza kuwa ni meli ya kutoka Russia na yamilikiwa na mmoja wa Matajiri wa Russia au kweli ni ya mturuki na imesajiliwa Uturuki.

Who knows.
 
Back
Top Bottom