Tatizo nyie mnazungumzia vita ya kupigana na nchi kama LIBYA, Urusi kajiandaa kwa vita kubwa, siraha zake nyingi ni kwa ajili ya vita kubwa, Zile Bomber Zake zipo ambazo tiyari ziko packed makombola ya Nuclear, kuna Nyambizi, meli na kadhalika. Hapa USA mnazunguzmia vita mdogo, kwenye vita kubwa mnazani hizo kambi zake zitakuwa na kazi ya kufanya? Vita kubwa inamanisha silaha kubwa, hata hizi ndege fighter almost nyingi ni lwa ajilk ya vita ndigo. Vita kubwa inazungumzia ndege za kuweza kurusha makombola ya Nuclear.