Mugabe one
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 2,327
- 1,681
Wanajf, kile kinachodhaniwa huenda kikatimia kuwa kweli.
Marekani imetangaza kutuma wanajeshi wengine zaidi ya 1000 huko mashariki ya kati ili kujilinda dhidi ya vitisho vya Iran huko miezi kadha iliyopita US ilituma wanajeshi wengi kwa ajiri ya kujilinda.
Je kuna uwezekano wa kutokea vita?
je tunajiandaaje sisi watanzania kuhusu uchumi wetu?
Je US ataiweza Iran kijeshi?
Marekani imetangaza kutuma wanajeshi wengine zaidi ya 1000 huko mashariki ya kati ili kujilinda dhidi ya vitisho vya Iran huko miezi kadha iliyopita US ilituma wanajeshi wengi kwa ajiri ya kujilinda.
Je kuna uwezekano wa kutokea vita?
je tunajiandaaje sisi watanzania kuhusu uchumi wetu?
Je US ataiweza Iran kijeshi?