These things happen everyday.If that is true!! i compily my thought that Snowden was Republican plan to what it happened!! i never trust USA and thier missions , but i respect them
Cheza na Mrusi wewe! Kama kweli wamemdukua noma sana na kesho anafanya news conference for the first time in six months sijui kama ataruhusu maswali maana maswali mengi yatahusu kudukuliwa kwake. I hope wamedukua tax filings zake za miaka chungu nzima alizogoma kuziweka hadharani kwa kudai IRS wanamfanyia Audit. Na IRS wakasema wao kufanya ukaguzi hakumzuii taxpayer kuweka tax records zake hadharani lakini bado jamaa akaingia mitini.
report nadhani inasema russia hawaja hack voting system lakini waliachia emails za hillary( personal server) na DNC....kitu ambacho Russia wao wamefanya ni ku publish vitu vitu walivyo hack...interfering ni kuingilia uchaguzi...ku influence ni kusaidia one part lakini kama kweli walijua Hillary alikuwa na makosa why Government ilikuwa inamsafisha huoni kuwa wao pia walikuwa wanaficha mabaya ya Hillary?....Mkuu figisu zozote si nzuri na pia sidhani ni sawa ku justify figisu zilizofanywa ndani ya DNC na zilizofanywa na Putin. The formal was within the party, the latter is between countries. Kama Putin amefanikiwa ku interfear na ku influence uchaguzi sasa, who knows what he's capable of doing next time?!
I don't think there's any good reason to this mkuu.
Watu wanakusanya habari au taarifa zako kisha wanaamua wazitumie zipi, lini kwa aina gani ilimradi lengo lao litimie.
aaahah ahaaaaJamani jamani hii ya Golden Shower tusiombe ifike huku
See. Na hii ikiwa confirmed wakute Warusi wanazo hizo Info zake watatafutana, ukizingatia na beef lililopo kati ya Putin na USA. If they decide to sabotage this, he's such a big risk, kwake mwenyewe na biashara zake, na kwa Nchi as Prez.
Hahahahhaaaaaaa!, kakubali bwana, sasa next news conference (sijui lini tena) atakubali mengine labda...lol!
Naona mpaka July tena maana kama news conference zenyewe mshike mshike kiasi hiki kama hii ya leo basi mbili kwa mwaka tu zitatosha au yatakuwa ni majanga. I can't wait to watch Alec Badwin on SNL lol!
Eti nyingine mpaka July!, mbavu zangu mie...😀😀😀😀😀
Mbili kwa mwaka, nane kwa miaka 4, kamaliza mchezo...lol!
Naona mpaka July tena maana kama news conference zenyewe mshike mshike kiasi hiki kama hii ya leo basi mbili kwa mwaka tu zitatosha au yatakuwa ni majanga. I can't wait to watch Alec Badwin on SNL lol!
Mbona wana kazi, sasa hizi fake News naona tumesahau zile conspiracy theories na Fake News za birther claims mpaka tukatuma watu Hawaii Ku investigate birth cerfificate ya Obama. Halafu tuliziamini mpaka juzi kati hapo, wakati wa campaign, na baada ya kuona watu wanatukubali ikabidi tuwe serious na tuachane na Fake News za birther claims na kukubali kuwa Obama was born in the US of A.
Si umeona watu wa media walivyomnuia leo na yeye kishawasagia sana. Atakuwa anafanya news conference zake Utube kule hakuna maswali lol! au atatweet kamaliza kazi hahahahaha ngoja tuone lini tena atafanya News Conference nyingine labda January 21 after his inauguration or after State of the Union speech.
U tube hakunaga maswali eti. [emoji2] [emoji124]
Media watalala naye mbele nadhani ataiona WH chungu kama asipoamua kubadilika na kubehave kama Rais wa nchi na kuendelea kuongea hovyo hovyo dhidi ya media basi kazi kubwa anayo katika miaka minne ya utawala wake. Na yule Tillerson leo katofautiana naye kwa kusema Urusi ni nchi hatari kwa Marekani. Boss na subordinate wake wameshaanza kutofautiana hata kabla ya kuingia madarakani. Na sijui kama watampitisha kama Sec of State.