trump should speak something on this allegations! silence means something
Si kweli, ukiona nipo jukwaaa la kimataifa nso ujue pia nafuatilia habari za kimataifa, sergei lavlov ndo aliyesema kuwa watalipiza kusasi kwa hatua alizofanya marekani, PUTIN akawa anategemewa na kusubiriwa kwa hamu waone watajibuje, baadaye putin ndo akasema hatachukua hatua mpaka raisi mpya ashike madaraka na waone mwenendo wake ndipo wao wataamua cha kufanyaUwe unafuatilia habari za Kimataifa! Baada ya Obama kuwapa 72hrs wanadiplomasia wa Urusi, Putin nae akasema angewarudisha wanadiplomasia wa Marekani katika namba ileile, 35. Usiwe unabisha na kuita watu waongo bila kufanya utafiti! Putin alibadilisha mawazo ndio akawaalika wanadiplomasia wa Marekani na familia zao kwenye Christmas party!
Upuuzi mtupu, wanazidi kujidhalilisha tu. Kwanza ieleweke kwamba wanachodaiwa kudukua ni email za Democratic na sio kucheza na mfumo wa matokeo uliopelekea kumpa ushindi Trump. Tuhuma za Clinton kutumia personal email zilitosha kumfanya asiwe credible za kuwa mgombea urais, mbona hill hawalisemi?
Ikumbukwe Trump alipoulizwa kama atakubali matokeo alijibu itategemea....tulishuhudia Obama na Clinton walivyomshambulia Trump kwamba anafedhehesha na kuvunjia heshima mfumo imara wa uchaguzi was US na democrasia ya nchi hiyo kwa ujumla.
Sasa hizi sarakasi na ngonjera zinatoka wapi?
Uwe unafuatilia habari za Kimataifa! Baada ya Obama kuwapa 72hrs wanadiplomasia wa Urusi, Putin nae akasema angewarudisha wanadiplomasia wa Marekani katika namba ileile, 35. Usiwe unabisha na kuita watu waongo bila kufanya utafiti! Putin alibadilisha mawazo ndio akawaalika wanadiplomasia wa Marekani na familia zao kwenye Christmas party!
Mkuu Yegomasika watu huibuka tu hapa na kuandika vitu ambavyo havina ukweli wowote. Ni kweli kabisa Putin alitangaza kwamba naye angefukuza wanadiplomasia 35 kama ilivyofanya US. Nashangazwa sana na hawa watu ambao hawafuatilii international affairs halafu ghafla tu huibuka na kuandika vitu ambavyo havina ukweli wowote.
Watu wengine wanadhani kwa vile wao ni waongo, basi kila mtu humu ni muongo! Hawajui wengine sisi humu ni watoto wa Ma Paroko, uongo ni marufuku![emoji3]
If this is true, it means it has been proved that Russia is smarter than USA when it comes to intelligence techniques.
Huelewi kitu, hujui ni kiasi gani vikwazo vya kiuchumi vya US na nchi nyingine za magharibi zilivyoathiri kwa kiasi kikubwa uchumi wa Urusi. Mapato ya pesa za kigeni yameanguka sana, thamani ya pesa yao imeanguka sana soko lao la hisa na gharama za maisha zimepanda zaidi. Hivyo vikwazo zaidi ndiyo vitazidi kuongeza hali kuwa mbaya zaidi. Kaula wa chuya YES Putin he'll regret for the rest of his life.
Habari za punde zime hakikisha kuwa Rais wa Urusi Putin, aliamrisha Russian Military Intelligence kutumia vyombo mbalimbali kama WiKiLeaks, CDLacks.com na Gucifer kuingilia email za chama cha democratic party, na kutoa emails kwa ajili ya kumsaidia bwana Trump kushinda uchaguzi mkuu wa Marekani uliofanyika Nov.8 last year.
Report hiyo imetolewa na CIA, FBI na NSA.
Russia wamekataa allegations of hacking wakati wa campaign za uchaguzi huo.
WASHINGTON - Russian President Vladimir Putin ordered an effort to help Republican Donald Trump's electoral chances by discrediting Democrat Hillary Clinton in the 2016 presidential campaign, U.S. intelligence agencies said in an assessment on Friday.
Russia's objectives were to undermine public faith in the U.S. democratic process, denigrate former secretary of state Clinton, make it harder for her to win and harm her presidency if she did, an unclassified report released by the top U.S. intelligence agency said.
"We assess Russian President Vladimir Putin ordered an influence campaign in 2016 aimed at the US presidential election," the report said. "We further assess Putin and the Russian Government developed a clear preference for President-elect Trump. We have high confidence in these judgments."
The agencies believe Russian military intelligence used intermediaries such as WikiLeaks, DCLeaks.com and the Guccifer 2.0 personal to release emails that it had acquired from the Democratic National Committee (DNC) and top Democrats as part of the effort. It said the operation went for "targets associated with both major US political parties."
he report assessed with "high confidence" that the GRU, Russia's military intelligence agency, had used those intermediaries to release "US victim data obtained in cyber operations publicly and in exclusives to media outlets and relayed material to WikiLeaks."
WikiLeaks founder Julian Assange has said he did not receive emails stolen from the DNC and top Hillary Clinton aide John Podesta from "a state party." Assange did not rule out the possibility that he got the material from a third party.
Russian actors were not found to have targeted U.S. systems that are involved in tallying votes, the report said. The report was produced by the Central Intelligence Agency, the Federal Bureau of Investigation and the National Security Agency.
Russia denies the U.S. government's allegations of hacking during the election campaign..
U.S. intel report: Putin directed cyber campaign to help Trump
Then what will be the next action by Obama's US towards Vladmir ?
Wataishia kulalamika tu ?
Kama walikuwa wanatafuta Sababu ya Kumvamia kivita Putin naona wamekuta kiberiti kimejaa.
Kama wanakiri Mifumo yao imekuwa Hacked na Russian Military Inteligence then Obama's US inakiri kuwa Russian Millitary Inteligence ina akili kubwa kuzidi CIA,FBI na NSA.
This is what Trump is tweeting;
Having a good relationship with Russia is a good thing, not a bad thing. Only "stupid" people, or fools, would think that it is bad! We have enough problems around the world without yet another one. When I am President, Russia will respect us far more than they do now and both countries will, perhaps, work together to solve some of the many great and pressing problems and issues of the WORLD!
Yeah, thanks, nilikosea kuandika.
trump should speak something on this allegations! silence means something
A one term POTUS.The game is over, what remains is black propaganda that is used by Obama authorities to clear the bad atmosphere in Democratic Camp. Nothing will change, Trump gonna be sworn in as USA president !
Habari zilizotufikia hivi punde zinasema kuwa FBI imethibitisha kuwa raisi wa Urusi Vladmir Putin aliamuru kuingiliwa kwa uchaguzi wa Marekani kwa vyombo vyake kufanya udukuzi wa matokeo yaliyompa ushindi Donald Trumph kwa madai kwamba alikuwa na chuki na Bi. Hilary Clinton.
What next?
Je uchaguzi wa Marekani utafutwa na kurudiwa?
Tunajifunza nini kuhusu Mataifa ya nje kuingilia chaguzi za nchi zingine kama Tanzania?