We ngabu acha story hapo,kuhusu Michael steel hakushindwa kwa sababu ni mweusi kumbuka Maryland ni heavily Democratic states na jamaa ni Republican na vile vile almost 40% ya voters wote ni weusi na wengi walimpigia yule mzungu kwa sababu anasimamia mambo yao sio steel mpambe wa Bush tunamjua yule hapo Maryland sasa rangi imetokea wapi hapo?
Tatizo lako wee Koba Kimanga umekurupuka tu bila hata kusoma na kuelewa nimesema nini. Mi nakuacha kama ulivyo
...nimekubali maana baada ya kurudia kusoma ndio nimeona,lakini uache siasa zako za rangi rangi na kuogopa wazungu
YNIM,NN,FMES,Susuviri,Koba,
..JOHN EDWARDS, BILL RICHARDSON na AL GORE watamu-endorse nani?
..Nafikiri endorsements za hao wawili zitakuwa na uzito sana ktk primary hii.
..vilevile ni kina nani wanaonekana watapewa nafasi ya u-VP ktk kambi za Obama na Hillary?
YN sasa mkuu wangu naanza kukushtukia. The article/media is good when its bashing Clinton but its bad and biased when it touches BO, Any endorsement is good if it is for BO but is nothing and carries no weight if its for HRC!if BO snubs mama as yesterday..it was unintended and overblown by the media, but if Bill or HRC says fairly tale..it was an intended racist comment..... Kaka siasa ni civility na kuappreciate mapungufu ya mwenzio... msumeno ukate pande zote bwana! Maana Sasa tutashindwa kujua what kind of change and politics of hope you are preaching mkuu! BO and his campaign should not only be agent of change, you should be SEEN to be so.
Aisee Mama is always on point...
Barack sio debater mzuri..yeye nadhani anafanya vizuri na crowds...he's just a motivational speaker