US Election Coverage 2008

US Election Coverage 2008

Nimetoka kuangalia CCN Live na Joe the Plumber alikuwepo na kaongea na kasema anampigia kura McCain. Unasemaje hapo?
Naona Joe "The Phony" Plumber aka "The Tax Evader" aliamua kutokea kwenye rally ya mchana baada ya publicist wake kutaarifiwa in advance. His 15mins of fame is coming to an end pretty soon

Leanback umenikumbusha sana tanzatl na jina hilo ngoja na mimi nirudi na langu hahaaha.
 
Naona Joe "The Phony" Plumber aka "The Tax Evader" aliamua kutokea kwenye rally ya mchana baada ya publicist wake kutaarifiwa in advance. His 15mins of fame is coming to an end pretty soon

Leanback umenikumbusha sana tanzatl na jina hilo ngoja na mimi nirudi na langu hahaaha.

Hahahahaha Mazee....naimiss sana tanzatl...hivi machizi kina Grandhustle, Kaimba, Bingwa....wako wapi? Damn...gone are the days man.....
 
kesho Mac ata campaign Columbus, Ohio na the biggest gun in Hollywood....yes...the Governor of California....Huyu jamaa ana ma investments kibao Columbus na ana influence sana. Ana own mall na biashara zingine na pia kila mwaka huwa ana host The Arnold Classic...fitness buffs kama mimi watajua hii ni nini. This event should put Ohio in the bag for McCain.
 
Duh! Hivi hawa aina Nyani wameji-multiply? Isije ikawa ni kama Gremlins when you throw them in water they multiply!!! Kwikwikwikwiii!
Aisee babu yake Nyani kachemka kwa sababu imebidi atumie mbinu za Sisiem za kuwaamrisha wananfunzi wa shule washiriki katika political rally. Lakini Marekani imesikia kwamba it is illegal kutumia wanajesho na wanafunzi in campaigning! Sasa sijui hii imekaaje.
Alafu nimeshangaa sana maneno ya Economist ya kum-endorse maana wamempinga sana Obama (it is the only reasonable thing left to do), lakini the day I read in the Economist that Kikwete is the Kennedy of Africa nikajua kazi tunalo, kwa hiyo Ukweli ni kheri u-cancel hiyo subscription! Kwkwikwiii!
 
kesho Mac ata campaign Columbus, Ohio na the biggest gun in Hollywood....yes...the Governor of California....Huyu jamaa ana ma investments kibao Columbus na ana influence sana. Ana own mall na biashara zingine na pia kila mwaka huwa ana host The Arnold Classic...fitness buffs kama mimi watajua hii ni nini. This event should put Ohio in the bag for McCain.

It seems umesahau the primary season, go ask Hillary how many of such men were there for her during the primaries and what happened?
 
Nyambala, huyu Ukweli actually ni secretly in love with Obama, kwikwikwiiii! Maana badala ya kumpigia debe Babu yao yuko busy kusema Obama this, Obama that! They are obsessed with Obama!! Hahahahaaaa! Hawajui law of attraction naona!!
Sasa inaidi tuongeze bidii ya canvassing and phonebanking! Tuhaikishe Democrats wanapata mandate kubwa wanyooshe nji na dunia!

Ab-Titchaz, namwona Bill, sasa hivi amemaliza difference yote aliyokuwa nayo na Obama, na kijana amejitahidi kumfagilia Bill, si unajua anavyopenda misifa. lakini uongo mbaya Bill alivyoamua kukubali hali halisi amekuwa more relaxed na sasa ameanza kurudia hali yake ya kawaida maana mwaka huu mwanzoni nilikuwa nimeshaanza kuloose hope naye! but he is the Comeback Kid!

Mkuu Susuviri,

jana nite ilikua an Obama blitz all the way.Kuanzia ile informercial na kisha ile
presentation na Bill...it was awesome to say the least.Bill has gotten over the
issues of the primaries and its time to move on.Ukweli ni kwamba Bill is still beloved by the Dems..regardless of race...na he had to get his image straightened out.Bottom line ni kwamba it was very positive.Mwenzio nimerekodi kila kitu jana na napiga ma-flashback when the news gets boring.

Obama has done what no other presidential candidate has done in the history of presidential elections in America hands down!!!

Kisha notice kwamba Obama ameanza hizi late night rallies akijua wazi kua McCain hawezi ku-keep up na atakua nyumbani anameza vidonge vyake. Kisha pia its like a prime time move maana watu wengi wako home na news media have no otherwise but to show live transmissions hata kama ni kwa dakika chache. A brilliant move to market Obama maana bado kuna manugu humu ndani ambao hawamjui Barack Obama for what he is.

Regards.

P.S.Kwa sasa tukaze mikanda hadi hapo Nov 4th... we are not relenting come what may!
 
Naona leo hadi Joe "The Phony" Plumber is NO SHOW kwenye McShame rally hahahahaha mpaka noma. Joe is here with us today !! Where are you Joe? Is joe here with us? hahahahahahah noma sana yaani kumbe jamaa hayupo wala nini.

This just goes to show you how people in the McCain camp wanajifanyia
mambo bila kum-consult Mzee mwenyewe.Jamaa alikua anaita jina la Joe akijua
yupo kumbe hakupelekewa gari la kumfuata nyumbani kwake.
 
Wazee naona McCain ana adopt strategy ya CCM.

McCain Camp Buses In School Kids To Fill Crowd
The most cringe-worthy political moment of the day, so far, came when Sen. John McCain called out for his new buddy Joe the Plumber to stand up at a rally in Ohio, only to be greeted with confused silence. Joe the Plumber wasn't there.

But that rally featured another embarrassing moment, one that illustrates a far more troubling dynamic for the Republican ticket. The McCain campaign actually had to bus in school kids from the surrounding area in order to fill the event. As reported by MSNBC:
A local school district official confirmed after the event that of the 6,000 people estimated by the fire marshal to be in attendance this morning, more than 4,000 were bused in from schools in the area. The entire 2,500-student Defiance School District was in attendance, the official said, in addition to at least three other schools from neighboring districts, one of which sent 14 buses.

This happened -- as if a reminder were needed -- less than a week out from the election, when the heat of the campaign should be drawing record crowds.

Michezo ya Moi na Kibaki wa Kenya hio....
 
Mkuu Susuviri,

jana nite ilikua an Obama blitz all the way.Kuanzia ile informercial na kisha ile
presentation na Bill...it was awesome to say the least.Bill has gotten over the
issues of the primaries and its time to move on.Ukweli ni kwamba Bill is still beloved by the Dems..regardless of race...na he had to get his image straightened out.Bottom line ni kwamba it was very positive.Mwenzio nimerekodi kila kitu jana na napiga ma-flashback when the news gets boring.

Obama has done what no other presidential candidate has done in the history of presidential elections in America hands down!!!

Kisha notice kwamba Obama ameanza hizi late night rallies akijua wazi kua McCain hawezi ku-keep up na atakua nyumbani anameza vidonge vyake. Kisha pia its like a prime time move maana watu wengi wako home na news media have no otherwise but to show live transmissions hata kama ni kwa dakika chache. A brilliant move to market Obama maana bado kuna manugu humu ndani ambao hawamjui Barack Obama for what he is.

Regards.

P.S.Kwa sasa tukaze mikanda hadi hapo Nov 4th... we are not relenting come what may!

Mkuu ili ujue brand ya GOP iko so eroded...Obama anapiga campaign na Fmr. President William Jefferson Clinton, na Mrs. Clinton (Hillary) yuko kwenye trail somewhere else. Hawa ni watu ambao wakisimama mahali ma elfu wanakuja kuwasikiliza. Who does McCain have? Rumsfeld? Chenney? Gonzales? Bush Jr.? I think the answer is "Joe the Plumber". Hebu fanya contrast ya hao super stars wawili.
 
Michezo ya Moi na Kibaki wa Kenya hio....

Its sad..uko kwenye state kama Ohio ambayo ni swing state...mmoja wa mashabiki au IDOL wa kampeni yako "Joe the Plumber" ni mkazi wa hiyo state...halafu unakosa audience kwenye rally yako..mpaka inabidi ulete watoto wadogo wa shule ambao hawatashiriki katika huu uchaguzi ujao.. To me this is a symptom of a trouble..no matter how Foc News, and townhall.com spins it.
 
Its sad..uko kwenye state kama Ohio ambayo ni swing state...mmoja wa mashabiki au IDOL wa kampeni yako "Joe the Plumber" ni mkazi wa hiyo state...halafu unakosa audience kwenye rally yako..mpaka inabidi ulete watoto wadogo wa shule ambao hawatashiriki katika huu uchaguzi ujao.. To me this is a symptom of a trouble..no matter how Foc News, and townhall.com spins it.

Mkuu Capitol Hill,

Ohio nilihama kitambo na sasa niko Michigan ambako McCain ali-wrap up
his campaign maana we are sooooo bluuuuu!!!!!

Wala hujakosea na hio Obama brand maana jana ma-pundits kwenye TV
walikua wanauliza watamuorodhesha vipi Obama.His commercials have a big
financila input utadhani ana-uza "Air Jordans"...we acha tu!

McCaina ameishiwa hoja na katika mikutano yake kama hamtaji Obama basi
he has nothing to say.Wamejaribu kumbandika kila aina ya lebo huku
wakisahau kwamba politics of fear ziliisha na Dubya.Kwa sasa all we want to
hear ni economy na hio ni corner ambayo McCain ameogopa kabisa kuitaja.
When he talks about the economy he talks about Obama being a socialist.
Wamekubali kua kumita muislamu hailipi and if anything inampotezea McCain
kura za waislamu na madhehebu mengine kibao.

Obama in turn has flipped that socialist label around kwa kuhadithia ile story
ya alipokua mtoto alikua ana-share toys zake na rafikize...kwa hivyo Rethuglicans
watamuita mkomunisti sio?....Hizi kura kiboko aisee.Tusubiri hio Nov 4th na jamani
....bado mapambano yapo.

Lets keep on working in every little way that we can.

Regards.
 
Obama JF Team,

acheni niwahadithie...leo kazini nimekaa na mshkaji wangu mzungu
ambaye kwa sana hatu-discuss politics.Kwa bahati nzuri au mbaya
Obama akatokea kwenye runinga akifanya makeke na we had no choice
but to listen.

Basi alipomaliza kuongea, mshkaji akaniuliza "Do you think Obama is going
to win?".Nami sikusita nikampa zile za "of course yesi!'....jamaa akaniuliza
why I think so nami nikaamua kufungua bomba.I let the man have it....from
the evils of the republican party in the last 8yrs mpaka maswala ya the
American Society being racist and Obama being their best chance to show
that they have moved on.Sitaki kuwa-bore na details lakini when I got done
I felt good about playing my part.

Tulipomaliza jamaa alikua keshakubali they is no other choice but to
vote for Obama.Mfano mzuri niliompa ni kwamba nilimwambie mimi na yeye
we have been very good buddies lakini siasa za republicans zinafanya
watu waanze kutengana kwa sababu ya 'negative racism flavor' being injected
therein.....when the conversation ended the man had crossed over from
undecided to voting Obama!....Mungu mkubwa!

P.S. Mshasikia 'The Bandwagon Effect'...?
 
Meanwhile on the other side of the American dream tunamkuta Zeituni Onyango.Je mnamjua?
...Hizi kura za mwaka huu zinakazi jamani. Hebu someni hapa nd'o mumjue Zeituni Onyango.... BONYEZA!
 
slide_536_11602_large.jpg


Obama addresses supporters under the beating sun

slide_536_11608_large.jpg


A woman watches.
 
Haya picha ya mwisho kwa leo hii hapa tukiwa ndani ya Missouri...bab-kubwa!

slide_536_11613_large.jpg
 
Wewe endelea tu na trash talk yako......lakini sitaki kusikia neno ubaguzi Novemba 5
 
Wewe endelea tu na trash talk yako......lakini sitaki kusikia neno ubaguzi Novemba 5

...naona Nyani McCain umerudi na jina jipya lakini mdomo wako mchafu ni ule ule,lakini glad umerudi maana nataka nione jinsi utakavyo suffer on tuesday!
 
Back
Top Bottom