US Election Coverage 2008


I think that from I get you said ON THE DEMOCRATIC SIDE ie whether it is Obama, Hillary, BIden etc. BUt if you meantin general you don't care who gets into power I think you know the answer - Dubya Bush!!A disaster and it has been a nightmare, huwezi kulinganisha na miaka ya Clinton!
 
More BAD news for McCain - anazidi kuumbuka na kudhibitishiwa kuwa ni ZERO katika economy!!
 

..Reagan was o.k!, and i generally side with dems. but i don't care that much [it's like not been a die hard fan of simba or yanga]. ila hawa jamaa wa gop hawaipeleki mahali pazuri USA.
 
Dar si Lamu: Hawa Rethugs ni racists hamna mfano! Cheki hii Obama waffles walikuwa wanauza na akina NEwt Gringich walinunua, ndiyo wanavyotuona sisi weusi kama watumwa Yessa masta! Wanakera sana!
 
Dar si Lamu: Hawa Rethugs ni racists hamna mfano! Cheki hii Obama waffles walikuwa wanauza na akina NEwt Gringich walinunua, ndiyo wanavyotuona sisi weusi kama watumwa Yessa masta! Wanakera sana!

..uzuri ni kwamba wapo wengi pia ambao wanaona sasa ni wakati wa kusonga mbele. marekani iwe mfano mzuri tena kwa dunia.

..i'm watching!
 
..Alan is a genius!

..game theory, have you read his book?

Actually, greenspan was harshly criticized that he caused the mortgage meltdown and the recession. Criticism came from the left AND the right. But I think we can all agere that he probably is one of the most influential voices when it comes to economy!!! Paul Volcker, by the way, has endorsed Obama!!!
 
..uzuri ni kwamba wapo wengi pia ambao wanaona sasa ni wakati wa kusonga mbele. marekani iwe mfano mzuri tena kwa dunia.

..i'm watching!

DSL: Obama akiwa sworn in in January kuna mabadiliko makubwa yatatokea everywhere else especially Africa. Mi naamini he has already inspired anumbero f European poltiicans to try and redefine the way poltiics is played. Lakini Afrika bado tumelala. But his victory itaondoa kidogo kale ka inferiority complex that we share as Africans. Maana kama mwenzetu Jaluo kaingia Jumba Jeupe, kwa nini na sisi tushindwe nyumbani? Also it will inspire minorities in many countries to demand a place at the table. I agree Marekani itabidi wawe mfano mzuri, and I think despite all the gloom and doom, Americans will not disappoint us.
 

..that's where his genius lies!

..hayo mambo ya recession si yametokea kutokana na gop ku-run [kwa sera zao] vibaya uchumi.
 
..uzuri ni kwamba wapo wengi pia ambao wanaona sasa ni wakati wa kusonga mbele. marekani iwe mfano mzuri tena kwa dunia.

..i'm watching!

Yaanu siamini ujinga wa watu humu ndani. Unataka kuniambia ni GOP waliokuwa wanauza hizo waffles? Zilikuwa zinauzwa kwenye grocery store(s) gani? Kama unaamini hili kuwa ni kweli basi utakuwa mjinga na mpumbavu kabisa kutostahili hata majadiliano kuhusu huu uchaguzi. Umefikia hatua ya kuamini propaganda za kijinga na hilo linaeelezea mengi kuhusu wewe. Zaidi ya kuita watu wengine wenye maoni tofauti na nyinyi "racists", hoja hamna!!!
 

yeah...I saw it and it left no doubt as to who they are supporting.......
 

DSL,

Problem ni kuwa influence ya Palin kwa hao "blue Collar-Middle Whit America" is gaining a superficial momentum kama vile Joji Mjinga alivyompiku Al Gore na John Kerry!

It is scary how this group of voters think, similar to people who vote for CCM for better or Worse!

They do not think outside the box, to them it is not about economy or even security as Bush tried to plant fear of Devil on Americans, it is about "values" Anti Gay, Anti Abortion, Anti-Affirmative Action, Guns, Jesus and if they could do it openly Anti-Semitism!

Wao they are never fazed by poverty or inequallity, they do not care about balance of wealth or equal opportunity.

Sad enough ni big section ya voters wa America hasa kwenye Swing states!

Ndio maana nasema McCain, kacheza turufu hapa maana yeye si muumini wa hizo politiki, kamleta Kisura, wale wasiompenda na U-Maverick wake, watampigia kura.

For the first time in a long period of time in US , we may have a President elected not for his merits but because of his vice president choice!
 
Hivi ndege kutua mahali kujaza mafuta na kupunguza mavi ndiyo ziara yakuzuru nchi?

Naona Paulina kajifunza kutoka kwa Hillary kutoa khabri za uongo!

When you state you visited a place, it means you have actually visited the place and not a stop over on route to somewhere else! It would have been better if she would have stated she has been in Ireland on her way to Kuwait or that she visited US troops in Kuwait near the border with Iraq!

For a minute I thought she was different, now we are finding out that she is McSame like the Washington she belittles!
 
..kuna argument nyingine zinatolewa hapa, yaani zinatia kichefuchefu kweli......!! haya waTZ, endeleeni kukata issues! LOL.
 

This is the problem you liberals have: you look down on people who see things differently. They have different opinions on issues. For example, most of them oppose affirmative action and view it as reverse racism. Now, that is not necessarily a value issue. To them it could very well be an economic issue. If you are a white guy and got bypaased for job position and a black guy was given the job simply because of his race, are you gonna be happy? I know I wouldn't.

Bottom is line is this: I think many people vote based on emotions rather than issues. Very few have the time and desire to sit down, compare and contrast the pros and cons of each candidate. If people see that you relate to them in their values, beliefs, and etc. then you are more likely to get their vote. Did it surprise anybody when black folks overwhelmingly backed Obama over the wife of the so called first black president? It sure didn't surprise me. Just go the hood and see how black folks are excited. A majority of them don't even care about the issues. It's about the first black president, end of story.
 
We nenda kajibu shutuma za Nyama Hatari!! sina muda na sipo kwenye mood ya kujibishana........

jumapili njema.
 

...wewe DuNyani,

unaionaje hiyo hapo juu!? inachefua...
 

Don't start playing the race card it won't work. In fact playing the race card only hurts Barack Obantu. He will be seen as another race bait politician and that is the last thing he needs right now. It's amazing to me that you couldn't come up with any other logical explanation of why Obantu is struggling in the polls right now when he clearly should be way ahead other than Americans are not ready for a black president. Americans gave Obantu a chance, they voted for him in the Iowa caucases but remember that was before his dubious associations came out in the open. So Americans aren't as racist as you are painting them to be. I believe Americans would vote for someone like Colin Powell very easily so it is not Obantu's race that he is struggling in the polls. Go back and look at the reasons I listed on this thread.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…