DAR si LAMU
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 2,928
- 560
No, they elect the best qualified candidate. You don't vote just to punish somebody. You vote for what is best for you and the country.
..it's slowing down.
..wangekuwa wajanja zaidi wange-bank kwenye umaarufu wa ghafla wa palin kutoa mashambulizi ya sera na si ads chafu. halafu wasinge-whine kuhusu pigs and lipstick. wangewadharau dems kwa maneno cheap.
..wangehitaji pia kumweka sawa huyo mama yao awe na substance zaidi ya kuamini vita ndiyo inayo-solve kila kitu na ni mapenzi ya mungu.
..unajua, pamoja na kuwa upande wa dems [b'se bush has messed up big time,and this is threatening to bring down the world economy,of which i do mind big time] sijali sana nani anakuwa POTUS. marekani itaendelea kuwa nchi binafsi siku zote,no matter who is in control.
..point is, gop hawa wakishika basi mambo ndio yatakuwa hovyo kabisa. hasa huyo mama, bora hata babu. yani itakuwa balaa tupu.
..i'm watching!
Greenspan: Country Can't Afford McCain's Tax Cuts
Alan Greenspan says the country can't afford tax cuts of the magnitude proposed by Republican presidential contender John McCain - at least not without a corresponding reduction in government spending.
"Unless we cut spending, no," the former Federal Reserve chairman said Friday when asked McCain's proposed tax cuts, pegged in some estimates at $3.3 trillion.
"I'm not in favor of financing tax cuts with borrowed money," Greenspan said during an interview with Bloomberg Television. "I always have tied tax cuts to spending."
McCain has said that he would offset his proposed cuts - including reducing the corporate tax rate and eliminating the Alternative Minimum Tax that has plagued middle-class families - by ending congressional pork-barrel spending, unnecessary government programs and overhauling entitlement programs such as Medicare and Social Security.
Democrats pounced on Greenspan's comments, in part because McCain professed last year that he was weaker on economics than foreign affairs and was reading Greenspan's memoir, "The Age of Turbulence," to educate himself.
"Obviously he needs to go back to that book and study it some more," Sen. Claire McCaskill, D-Mo., said during a conference call arranged by the campaign of Democratic nominee Barack Obama.
I think that from your post, you said you are ON THE DEMOCRATIC SIDE i.e whether it is Obama, Hillary, BIden etc. But if you meant generally you don't care who gets into power, I think you know the answer - Dubya Bush!!A disaster and it has been a nightmare, huwezi kulinganisha na miaka ya Clinton!
More BAD news for McCain - anazidi kuumbuka na kudhibitishiwa kuwa ni ZERO katika economy!!
Dar si Lamu: Hawa Rethugs ni racists hamna mfano! Cheki hii Obama waffles walikuwa wanauza na akina NEwt Gringich walinunua, ndiyo wanavyotuona sisi weusi kama watumwa Yessa masta! Wanakera sana!
..Alan is a genius!
..game theory, have you read his book?
..uzuri ni kwamba wapo wengi pia ambao wanaona sasa ni wakati wa kusonga mbele. marekani iwe mfano mzuri tena kwa dunia.
..i'm watching!
Actually, greenspan was harshly criticized that he caused the mortgage meltdown and the recession. Criticism came from the left AND the right. But I think we can all agree that he probably is one of the most influential voices when it comes to economy!!! Paul Volcker, by the way, has endorsed Obama!!!
..uzuri ni kwamba wapo wengi pia ambao wanaona sasa ni wakati wa kusonga mbele. marekani iwe mfano mzuri tena kwa dunia.
..i'm watching!
I have to take my hat off Mzee Gasolina Makopo kwa kumchagua Palin!
Makopo has manage for the past 2 weeks to divert the attention from him and the association to Bush to Media and Pundits obsession with Palin.
While everyone is focusing on Palin and her demerits, McCain is cruising under the radar and democratgic message on Change, Economy and Anti-Bush is evaporating in thin air!
If Media could get it's s h i t together, McCain surge will slow
By the way Nyani, uliona ile orgy ya the View dhidi ya Makopo na Bibi yako?
..it's slowing down.
..wangekuwa wajanja zaidi wange-bank kwenye umaarufu wa ghafla wa palin kutoa mashambulizi ya sera na si ads chafu. halafu wasinge-whine kuhusu pigs and lipstick. wangewadharau dems kwa maneno cheap.
..wangehitaji pia kumweka sawa huyo mama yao awe na substance zaidi ya kuamini vita ndiyo inayo-solve kila kitu na ni mapenzi ya mungu.
..unajua, pamoja na kuwa upande wa dems [b'se bush has messed up big time,and this is threatening to bring down the world economy,of which i do mind big time] sijali sana nani anakuwa POTUS. marekani itaendelea kuwa nchi binafsi siku zote,no matter who is in control.
..point is, gop hawa wakishika basi mambo ndio yatakuwa hovyo kabisa. hasa huyo mama, bora hata babu. yani itakuwa balaa tupu.
..i'm watching!
DSL,
Problem ni kuwa influence ya Palin kwa hao "blue Collar-Middle Whit America" is gaining a superficial momentum kama vile Joji Mjinga alivyompiku Al Gore na John Kerry!
It is scary how this group of voters think, similar to people who vote for CCM for better or Worse!
They do not think outside the box, to them it is not about economy or even security as Bush tried to plant fear of Devil on Americans, it is about "values" Anti Gay, Anti Abortion, Anti-Affirmative Action, Guns, Jesus and if they could do it openly Anti-Semitism!
Wao they are never fazed by poverty or inequallity, they do not care about balance of wealth or equal opportunity.
Sad enough ni big section ya voters wa America hasa kwenye Swing states!
Ndio maana nasema McCain, kacheza turufu hapa maana yeye si muumini wa hizo politiki, kamleta Kisura, wale wasiompenda na U-Maverick wake, watampigia kura.
For the first time in a long period of time in US , we may have a President elected not for his merits but because of his vice president choice!
..kuna argument nyingine zinatolewa hapa, yaani zinatia kichefuchefu kweli......!! haya waTZ, endeleeni kukata issues! LOL.
Hivi umeona toka jana Conservative Shows wanavyoonyesha The View siku alipoenda Michelle Obama na jana ya Makeni, inaonyesha wazi kuwa kuna bias maana Michelle hakuulizwa maswali kabisa, kama jana Mkakeni vitu kama hivi vinasiadia sana kuwapa moyo na kuwaunganisha The Base ya Republicans, lakini havisadii sana kwenye kuwasiadia Democrats.
Bado niko stressed out!
More than 70% of Americans are not happy with the direction of their country. More than 75% no longer support Iraq's invasion and they would like to see the end of that unnecessary war asap. Americans' economy is underperfoming in many areas. Usually in many western countries when citizens are unhappy with the performance of the party in power, they always take necessary action on the ballot box to punish that party, but it seems this year many are not ready to see a black person in the WH. IMO, that is a big shame and it shows America has a long way to go before it can elect a president from another race, but I am still hopeful that voters will do the right thing to punish and remove Republicans from WH