hujui hata historia ya Rush, na kama unamsikiliza na kukubaliana nae basi wewe kweli ni black redneck tena zero kabisa!!!
uchambuzi gani? yes, kama hakumaliza college ni big deal na ndio maana mie namwona comedian/entertainer than a serious political pundit....mashabiki woooooote wa Rush ni loosers ambao wanadhani ku-hate wale ambao wapo tofauti nao itawasaidia!!
Check historia ya jamaa na uone jinsi alivyobahatisha maisha!! Uone kama sio a gay guy from San Fransisco, aliyempa kazi ya u-jock kwa redio, ama sivyo mpaka leo angekuwa bado anauza juisi kwenye game za baseball....
kama yeye ana maadili angeenda kwa hizo divorces tatu sijui ngapi? angekuwa ana-abuse Rx painkillers? angekuwa anaita watu Halfrican? angekuwa ana-distort facts kwa makusudi kama anavyofanya? angalia mapesa anayotengeneza yeye na compare na wasikilizaji wake huko Pascagula, Poplar Bluffs, Wheeling, Erie, Lawrance, Vienna, Lebanon, Odessa etc kwa hizi smalltowns ambao wanapata chini ya 15K/yr....yeye anawadanganya kwamba minimum wage ipo juu na inawatosha!!
Kama upo serious na hii mambo yako, basi lazima utakuwa psycho in denial.