US Election Coverage 2008

Obama speech zake nyingi anatoa kutumia teleprompter. Bila prompter Obama is a gaffe machine. Ndio maana Mama alikuwa anamla kifungua kinywa, lunch, na dinner kila walipo-debate. Anakakigugumizi flani hivi. Anachukua muda mwingi kufikiri na kuchagua maneno anayotaka kusema. Kama uchaguzi utakuwa ni mashindano ya nani anatoa hotuba nzuri kuliko mwenzake kwa kutumia teleprompter basi Obama ni raisi. Lakini kama watu wakiangalia resume na nani wanahisi amekomaa na ataiweza kazi ya uraisi basi nadhani jibu ni wazi. Uzuri wa Wamarekani huwa hawaangalii eti ni mgombea gani ana akili nyingi sana au ni yupi ni msomaji hotuba mzuri. Ingelikuwa ni hivyo George Bush leo hii labda angekuwa bado ni gavana wa Texas.
 
Naomba kuuliza tena kwa mara nyingine, jee sisi Watanzania na Tanzania tumejifunza nini kutokana na primaries za Marekani na hasa sisi hapa JF?

Nadhani fundisho ni kubwa sana lakini mimi naona kikubwa ni Washauri.
Ukiangalia mfano wa Obama vs Clinton na McCain, utaona ya kuwa the other two wana washauri ambao they come from the Coroprate America, they work as lobbyists for Iran, for Columbia etc. Na hii ni kazi nyingine ya lobbying. Lakini Obama alichagua timu ndogo anayoiamini na aliwapa masharti that were simple: no drama, no lobbyists. Akina Axelrod na Plouffe are dedicated political advisors within the Democratic party. Wanaelewa mechanism ya chama, the rules and regulations, they know what mistakes were made in the past etc.
Na of course kitu muhimu ni kwamba kuna democracy withi the party. ukiangalia utaona ushindani ndani ya Democtaric party ulikuwa mkubwa kuliko nje ya chama. Hii ni muhimu hata Bongo, so that when someone wins te nomination iwe based on meritocracy siyo ubabe na hongo.
Kwa haraka nadhani ni baadhi ya points naona kama fundisho ya US elections for Bongo.
 

Can our political leaders be willing to transition from being Omnipotent (fikra za mwenyekiti) and acknowledge input from people like you and I who are ready to work behind the scenes to sell our candidates and political party message?

Maana hata hapa ndani tunapojaribu kuwa "washauri" kwa ndugu zetu wa Chadema, ni wachache sana ambao ni wasikivu. Wengine wameshafunga mawazo yao kwa kuamini wanaloamini kuwa ni sahihi(rejea Chadema must reform, Focus 2010)!

Huu ni uchaguzi wangu wa nne (uraisi), hapa Marekani na nilichojifunza ni jinsi wagombea wanavyokwenda kujiuza kwa wanachama wao na wananchi katika primaries ili wawe wagombea wa chama.

Mfumo wa kuchagua mgombea wa chama unatokana na kauli na kura za wanachama (even though delegates are allocated using percentage of votes) na si kikao cha mabwanyenye wa kamati kuu, kamati kuu na mkutano mkuu.

Tanzania has a long way to go, but we could learn alot from US election primaries if we really need to have change on our political structure.
 

You are right. Bado kuna tatizo kwetu la kutambua nafasi ya political strategists. Sisi bado tunaamini kwamba ukishakuwa kiongozi wa kisiasa basi wewe unajua kila kitu kuliko mtu mwingine. Ndio maana kule kwetu viongozi wanaenda kutoa hotuba bila kujiandaa na wala hawaandika. Akifika kwenye jukwaa anaongea kila linalokuja mdomoni (sio akilini) madamu anajua watu watacheka. Hii ni changamoto kubwa.

Jambo lingine ambalo naliona ni kwamba kwetu vyama vimekuwa vikifunika uimara na udhaifu wa mgombea. Mara nyingi chama ndicho kinawekwa mbele kiasi kwamba watu wapo tayari kumkataa mgombea kwa sababu ya chama chake hata kama yeye ni mzuri namna gani. Utasikia mtu anakwambia wewe bwana kwa nini usiwe chama fulani; wewe ni mzuri sana bwana lakini chama ulicho sicho! Mfano mzuri kabisa ni wa Prof Lipumba. Kwa kiasi kikubwa watanzania wamekuwa wakikataa kumchagua Lipumba kwa sababu tu ni mwanachama wa chama cha CUF, pamoja na kwamba wengi wanakiri kuwa ana uwezo mkubwa wa kuongoza nchi yetu kuliko viongozi wengi tulio nao.


Vilevile bado tuna katabia kachafu kakuangalia muda wa uanachama wa mgombea kama sifa. Kwa mfano, mara utasikia mgombea akijisifu kwamba yeye amekuwa mwanachama wa chama fulani tangu kilipoanzishwa na anatoa kadi yake jinsi ilivyochakaa kuthibitisha kwamba yeye ni wa muda mrefu kwenye chama (insider). Kwa hiyo kuna watu wanakataliwa kwa sababu tu hawajawa siku nyingi kwenye vyama vyao hata kama wana uwezo na kuna watu wanaonekana wa maana kwa sababu tu wamekaa miaka mingi hata kama uwezo hawana. Hii pia ni changamoto.

Kwa hiyo tunajifunza pia kwamba wenzetu wanatoa nafasi kwa kila raia ku-realise potential yake bila kujali rangi, chama, jinsia, n.k. Sisi bado tuna tatizo la kufikiri kwamba huwezi kufanya la maana mpaka uwe kwenye chama fulani.
 
Lets look at the bigger picture,it seems Barack obama, will do anything to get to the white house,first he has cut off,all ties with his church,secondly he is now appeasing israel,contrary to what he stood for when he bust on the scene.what we are witnessing with our very own eyes is a big turnaround.the battle for the white house will be intense,but come the results and barack is the president,the world better be prepared for the dissilussion that is sure to follow.The powers that be,will never allow obama,to even think of bringing soldiers home from iraq,too much is at risk here,surely,surely at most he is just gonna be a figurehead. I stand to be corrected
 

..and so you will be.
 

intelligence is power and the vice versa is not true! naungana kabisa na wewe, maana kuna watu wakipewa madaraka hata kau-raisi ka daruso tu, wanaanza kudhani kuwa ka-power hako kadogo walikopewa kanawa-guarantee kuwa na akili zaidi ya wengine! I guess we need to change our mindset kwa wale ambao tuna mawazo ya aina hii.
 
Make no mistake western politics is relatively advanced because of the serious sufferings people in those countries have gone through (perhaps.. Africans we havent suffered enough!). Mwanamke kwa mara ya kwanza aliruhusiwa kupiga kura USA baada ya miaka zaidi ya 120 ya uhuru! Europe, Switzerland ndo imeondokana na hiyo kitu less than a decade ago. Mtu mweusi mpaka leo anapiga kura marekani kwa uamuzi wa exucutive kufanya ammendment ya sheria and on and on...My point is, Tanzania or Africa we cant walk faster than the music, lets determine what is good for us and start building.

Liberal democracy/or any other democracy as propagated by the west can hardly help us in our present state of economies, just why you find China et al..have tried to mould their own model and, well, imperfect as it may be, they are succeeding in their own terms. You cant copy and paste....thats why after the declaration of independence in USA..they didnt copy the monarchy system of Britain or their whole system... they formed what was good for them. Today in Africa ALL our systems are informed of our colonial masters. This is wrong and unless we change this we can hardly move ahead...kwa sababu tume-copy yasiyotufaa kimantiki na kimazingira. Jiulize hawa wazungu wanaaadika mikataba ya human rights...(hata haki za mashoga, watoto etcs...) na wanataka muanze kuzitekeleza hapo hapo..wakati wao..wamezitambua hizo haki after centuries of their independence..and we just sign up...for the "will of international community"..Africans we are kidding with our future! Hatujitambui...

Back to Obama, I am one of those who believe that the man will be a good "politician" given a chance. In politics its all about interests, lets manage our optimism..and stop any illusions here, to believe that with BO, then USA will transform into another world. USA is where it is because of its critical aggression on the toes of others. So it will continue....So in foreign policy I dont expect much...labda absence of Condy..kwenye CNN kila mara...Ila Palestinians, Darfuris, Burmese..will continue suffering...the wretched of the earth will continue to be wretched...na sera hizo hizo za wa-USA!

Iran, surely will continue with its ambition to build its neuclear so is Korea et al. and this is a recipe for a conflict between Israel and Iran backed by USA..kifupi Middle East bado shughuli ni pevu mno! What will BO or Maccain... do with the four million refugees in Gaza? Did you know any presidential candidate in USA..must promise Jews their right to chuse their foreign policy on Israel? Folks I thought mnaoishi huko ughaibuni you know better than us...but you seem to be driven by sentiments more than facts....

What I can probably guess...though is that...Europeans..will engage more in giving "assistance" to the down trodden in Afghanistan and Iraq..basi,..hiyo ya kurudisha majeshi from Iraq..forget it.....As Maccain said it...you might be there even for twenty years....Maana mnataka mafuta, period!
 
Masanja,

..Obama amesema ana-support one Jerusalem which will be the capital of Israel. kama mwanzo wenyewe ndiyo huo sidhani kama patapatikana ahueni yoyote katika mgogoro wa Palestina.

..kama sikosei Mzee Clinton alijaribu mpaka ku-propose Jerusalem itakayokuwa ama jointly administered, au itakayokuwa chini ya mamlaka ya kimataifa. wachambuzi wanamlaumu Yasser Arafat[rip] kwa kukataa deal aliyo-propose Mzee Clinton. wachambuzi wanasema it was the best deal that Palestinian had ever been offered.

..mpaka sasa hivi sijasikia, Obama, wala McCain, kuzungumza na Arab Community. pia sifahamu wakizungumza nao watawaeleza nini Wapalestina kuhusu their "RIGHT TO RETURN" to their original land. suala hilo hakuna Raisi anayetaka kuligusa.

..kwa upande mwingine sijui Obama atabadilisha vipi hali ya maisha ya Black Americans. hapa nazungumzia masuala kama ya high school dropouts, teenage pregnancies, black on black violence, poverty, un-employment,drugs,crimes, etc etc.

..najua Obama amesema it is not about race, but I am always tempted with this question: Black Americans have overwhelmingly voted for Obama, now what will he do for them?
 
Masanja,


..mpaka sasa hivi sijasikia Obama wala McCain kuzungumza na Arab Community. pia sifahamu wakizungumza nao watawaeleza nini Wapalestina kuhusu RIGHT TO RETURN to their original land.

...wewe sijui unaongea politics za wapi? naona unataka Obama political self suicide ,mambo ya Israel/Palestine/Jerusalem ni too deep and afterall issue sio Israel tuu tuna matatizo chungu nzima hapa na hawa Neocons...pls let us focus to save our country/world kwa kutuondolea hawa stupid republicans,Iraqis wanakufa in thousands every month bila sababu,hii ni sababu tosha kabisa ya kuwa against republicans kama unapenda amani!
 

.....dont worry na acha kuwasikiliza hao neocons maana hizo ndio theory zao za vitisho tunazisikia hapa kila siku,this time watu wamechoka na hakuna facts zozote to support presence of american forces in Iraq zaidi ya utemi tuu na unnecessary self interest,no doubt under BO all American military forces zitakuwa out in 16 months and believe me he ll do that labda kama anataka kuwa stupid one term President,BO is a politician lakini kama unafuatilia vizuri issue zake anazosimamia utaamini jamaa kweli anataka change...Democrats wako very unpopular na Cuban American lakini BO alienda kuongea nao na kuwapa ukweli wasiotaka kuusikia lakini sasa wamebaki kusuka au kunyoa na wamegawanyika na wengi sasa wana support BO,hata AIPAC aliwapa ukweli na kuwaambia diplomacy ni lazima sio utemi tuu,tusubiri lakini BO is the best alternative kwa sasa..sijui kama ata deliver or not lakini namchukulia maneno yake ya sasa
 
Si niliwaambia nyinyi...Obama ukimwondolea teleprompter...halafu umwache aongee au atoe spichi bila kusoma ataboronga. Alhamisi iliyopita kaboronga kishenzi alipokuwa Virginia.....eti anaanza kuzungumzia mambo ya asthma na "inhalater"..."inhalater" ndio nini? Kwani mtu ukiwa na asthma wanatumia "inhalater" kukutibu?
 

Yaani is this the max you could find? I think that currently McCain has a HUGE image problem:
Mke wake wa kwanza ameanza kuongea... McCain threw her under the bus and was cheating on her - so Character ISSUE
Then Hagee has now come out and declared that McCain has thrown him under the bus - McFLIPFLOPPER

And then conservative columnist Bil Kristol just expressed publicly his disappointed with the inability of McCain to define himself and the poor job he did in front of the green wall! Yaani communication challenged

Sasa wewe baki kujaribu kumkosoa Barack over one word (medical word) alafu ignore the dire signs.
Oh! Na pia nilikuwa nataka kukuambia hata Laura Bush amemtetea Michelle Obama about her statement that was deemed unpatriotic by the right wing, so reconciliation with moderate conservatives even the First Lady:
Siku njema na Babu yako mbagaizaji!
 
Wewe na huyo Obama mmelosti!! Yaani unaleta mambo ya infidelity hapa? Wachovu kweli nyinyi.....

Huyo Obama mnaemsifia kama hotuba zake hazijaandikwa hajui hata aongee nini. Mnapata orgasm pale anaposoma kwenye teleprompter.....Huyo huyo Laura kamtetea Mama pia na atamtetes Cindy (the cutest first lady) mkishaanza kumshambulia mama wa watu. Oh by the way senatorial candidate (MN) Al Franken anadaiwa kodi.....kwikwikwiii....and guess what party is he.....
 
Ngabu boy is sooooo dumb and your babu is sooo weak than Hillary...anachotegemea ni ill informed/stupid/racist voters like Nyani...no chance hes goin to win Nov.
 
Ngabu boy is sooooo dumb and your babu is sooo weak than Hillary...anachotegemea ni ill informed/stupid/racist voters like Nyani...no chance hes goin to win Nov.

Hebu nitafisirie ulichosema hapo....
 

............kaaaaazi kweli kweli!!! NN hivi hiyo in blue inaitwaje?? kwenye 1-10 ya factometer unaweza kuiweka wapi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…