Mlalahoi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2006
- 2,182
- 891
...endeleeni kuplay race victim,na wala sijabisha na ninajua racism is well & alive ila to cry baby racism kwenye race kama hii nafikiri ni ujinga wa hali ya juu,unafikiri Obama alivyoingia alikuwa hajui whats coming? tatizo ni pale watu kama nyie mnaanza kulalamika race foul bila evidence yeyote na ndio maana Obama haongelei race katika campaign zake ila ikitokea utasikia,mjomba huku hatukai kulalamika tuu kwa sababu tunafikiria this or that,ikija we'll confront it effectivelly ila sio kuanza kuplay race card victim kwenye campaign kubwa kama hii!
Hebu soma hapa then think again before you dismiss the race factor in American politics.Kwa vile sijui uko wapi,siwezi kukulaumu kwa kuwashangaa wanaodhani race inamkwaza Obama.Any sensitive Black person in the West anaweza kubaini kwamba racism ipo (kwa vile racists wapo) na itaendelea kuwepo.Kwanini Obama halalamiki kuhusu hilo?Well,ili ku-win hearts&minds of middle-of-the-road Whites,he must avoid ishu ya race.Mind you,Blacks ni percentage ndogo tu ya wapiga kura...
Nakubaliana nawe kwamba suala sio kulalamika tu,inabidi ku-confront...je wewe ungekuwa mgombea mweusi katika sehemu ambayo ni predominantly White how would have confronted racist voters?