US bombers fly close to North Korea

Uingereza, ufaransa na vibaraka wengine waliingilia kati upande wa US kumsaidia kumdhibiti china, maana mkubwa alikuwa anaaibishwa vibaya mno. China akaona hamna sababu ya kuendelea tena kuwaangamiza hao mashoga, kwakua eneo lote la north hermit empire ilikuwa ishakombolewa.
 

Saaante! [emoji106]

Asante mkuu. Ubarikiwe.

Nimependa hili jibu la kijuma pili jumapili! [emoji4]
 
Ungetafakari vizuri kule Sirya wala ungeandika tofauti
 
Kwanini alirudishwa nyuma na mchina?
 
kwani amekwambia makombora anayoyatengeneza ni msaada toka iran au china,yeye anakomaa kivyake
 
Haya bana siku akidondosha hata jiwe kwenye ardhi ya marekani au japan au south au guam ndio tutajua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…