Shaibu Hiwalisi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 603
- 582
Nilizani ya kuwa kazipeleka ndege zake ktk himaya ya wababe nkorea, kumbe ni karibu na mpaka wa NK. Kumbe USA ni tupu kabisa, alishaambiwaga ya kuwa andondoshe hata kokoto tu katika mchanga wa bw kim, hapo ndipo dunia itashuhudia nguvu halisia ya hermit empire
mnaanza kuogopa?!