Tutajie ni vita gani USA alipigana bila Allies?Walio nyuma ya kiduku wengi wanafiki kama yeye mwenyewe akishindwa kusimama basi atapata msaada akiwa ameshazidiwa Sana na msaada wa kinafiki tuache porojo Russia na China Iran Nani wamewai kumsaidia mwanzo mwisho hizo nchi ni wanifiki Sana Wana urafiki wa kinafiki kinafiki kiduku ajiimalishe yeye kama yeye sio hao wanafiki
Ukiona mwanamke anapita anatingisha chura ujue bado hajafanywa!Na ubabe wake bado tu anajipitisha pitisha kama mtoto wa kike. Kama ana nguvu si amchape tu tujue moja.
Marekani ni kama mbwa anayebweka bweka alafu hana madhara, yaaani anabweka tu kama jibwa koko!1US bombers have flown close to North Korea's east coast in a show of force, the Pentagon says.
The move is to demonstrate that President Donald Trump has a "range of military options to defeat any threat", spokeswoman Dana White said.
The US and North Korea have ramped up their rhetoric recently.
At the UN on Tuesday, Mr Trump said that he would "totally destroy" North Korea if the US was forced to defend itself or its allies.
North Korea Chemical weapons (Mwambie US arushe jiwe ndani ya NK na itaitwa vita kamili)
![]()
Umenikumbusha mbali sana B52 aisee hata north Korea hawawez hata kuiona ile kituNa hapo bado hatujampelekea B-2 a.k.a Popo na lile Baba lao B-52.
Russia walimdanganya Sadamu, kwamba wako nyumayake, Mwenzao akawashiwa moto bila wao kuonekana. Msisahau".Dont make noise improve your arguments
punguza kukariri unadhani ni mwarabu huyo
Russia na China wapo upande wa kiduku
Mkuu as we speak tayari silaha za kivita za russia zipo NK.Russia walimdanganya Sadamu, kwamba wako nyumayake, Mwenzao akawashiwa moto bila wao kuonekana. Msisahau".