kim atasema badae kwanini aliziacha ila yeye alishaweka wazi hatakuwa wa kwaza kurusha ata jiwe !
kwa hiyo zile za kuzamisha Japan baharini zilikua kiki za Mr.pig?!Na unadhan Russia yupo tayari kuangamiza raia wake eti kisa North Korea?!Kama north Korea atasimama mwenyewe, haiwezi USA labda aungane na Russia
pale zitapita ICBMHivi hawa NK nao si wapitishe bomber zao kule Guam tuone
huyu mzee wenu wa kindergarten anacho kitafuta atakipata!!![]()
kwa hiyo zile za kuzamisha Japan baharini zilikua kiki za Mr.pig?!
Unamfahamu huyu jamaa???Subiri uone
unafikir trump ni obama?
He'll totally destroy ur fat pighuyu mzee wenu wa kindergarten anacho kitafuta atakipata!!
Marekani kwenye vita hawezi kusimama peke yake na akashinda na Marekani vita vya ardhini ni mbovu yupo vizuri angani.....Kama north Korea atasimama mwenyewe, haiwezi USA labda aungane na Russia
Unamfahamu huyu jamaa???![]()
Bush kaharibu sana lakini hajawahi kudhubutu kuisongelea N.Korea hujawahi kujiuliza ni kwanini??
Hii week haita isha N.Korea atatest bomu la nuclear la masafa marefu..... Na huu ndiyo mda wa kurusha kombora kisiwa cha Guam, halafu tuone Trump ata react vipi....
Trump anacho ofia ni jeshi lake limejaa mashoga wakienda vitani hawata rudi wataolewa na wanaume wa N.Korea....
Russia lazma umpe sapot NkNa unadhan Russia yupo tayari kuangamiza raia wake eti kisa North Korea?!
Kwa kupasulia matofali kifuanInaonesha hata siku ikinuka tz na usa wengi watasema tz itashinda
Sasa kakosa sehemu zakupitisha hiyo mindege yake adi akapitishe huko north korea!?
huyu mzee wenu niaje aje!!
![]()
![]()
![]()
![]()
fundi mbona unaanza kuweweseka mapema hivi wakati movie ndo kwanza inaaanza