US Ambassador to Libya has been killed

US Ambassador to Libya has been killed

Status
Not open for further replies.
Very right on this one.
Marekani imepata sababu ya kuhamia Libya sasa! Mpaka wamalizie kubomoa na kuanza kujenga uongo na ukweli kama Iraq watakuwa na mission accomplished!
Mama Clinton anazungumza sasa hivi anasema waliofanya hivyo vitendo lazima walipe,na wameshaanza mpango huo wa kuwasaka.Hao sana sana ndo wamewakaribisha wanajeshi wa marekani Libya.Kiukweli wamarekani lazima waende watahakikisha nao wanauwa na kukamata.Hao walibya wajinga sana.Haya ya kuuwawa kwa balozi na staffs wengineyasingetokea chini ya Gaddafi.They could've chose a different path to overthrow him.Wamarekani waliambiwa ni extremists wanamfanyia Gaddafi na kuchukuwa nchi, lakini kwasababu siyo wao walikuwa wanauwawa,basi wakafumbia macho!Hao waliouwa hao wamarekani wanne akiwemo balozi,nadhani hawajui kuwa wamefanya kitu ambacho marekani wanapenda,kwani wanapenda vita na pia sasa ndo watajikita huko vizuri zaidi kwa kigezo cha kulinda watu wake na interests zake.
 
The announcement comes a day after US Ambassador to Libya Chris Stevens was killed along with three consular staffers in a rocket attack outside the American Consulate in Benghazi. In response to the death, Washington is "deploying elite Marine counterterrorism teams to Libya," Foreign Policy reports

link kifokifokifohakinahuruma
 
The announcement comes a day after US Ambassador to Libya Chris Stevens was killed along with three consular staffers in a rocket attack outside the American Consulate in Benghazi. In response to the death, Washington is "deploying elite Marine counterterrorism teams to Libya," Foreign Policy reports

link kifokifokifohakinahuruma
They are in Libya to stay,they have been given a very good reason to stay...kosa kila kitu maishani lakini usiwe mjinga!
 
The announcement comes a day after US Ambassador to Libya Chris Stevens was killed along with three consular staffers in a rocket attack outside the American Consulate in Benghazi. In response to the death, Washington is "deploying elite Marine counterterrorism teams to Libya," Foreign Policy reports

link kifokifokifohakinahuruma

Hawa Wamarekani wapumbavu kabisa.

Na wataendelea kuchukiwa, kuchinjwa na kupewa vilema vya maisha kwa ajili ya kimbele front chao.

They deserve everything bad that comes their way.
 
We all knew that,,,this hell is coming....ok what next,boot on ground to the so called Free Syrian Army.. These nuts are not up for good,let them rot under hot sun over there.
 
this thread about US ambassador being killed

https://www.jamiiforums.com/international-forum/322456-us-ambassador-to-libya-has-been-killed-7.html

Its the catch of the day, a lesson to be learned, the love to be realised and ignorance to be unleashed... sadly i cant post, why??? it is closed, why?? some corrosive statements.. why?? people are opening up... why?? it is a sensitive issue, why??? someone big got killed

but why the thread is closed?? coz some people find some comments too advanced to comprehend

PALS, LETS CHANGE

WEKENI THREAD IWE WAZI JAMANI
 
but why the thread is closed?? coz some people find some comments too advanced to comprehend

PALS, LETS CHANGE

WEKENI THREAD IWE WAZI JAMANI

Wamekusikia kama waliifunga. Nilipojaribu,imefunguka.
 
Baada ya Jerusalem kutekwa mwaka 1967 na kupewa watoto wa Isaka, hakuna muarabu atakayeipenda Marekani kamwe! MUngu ibariki marekani na taifa teule la Israel!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom