US Ambassador to Libya has been killed

US Ambassador to Libya has been killed

Status
Not open for further replies.
Mkuu JMushi,

Huyu Sam Bacile inaelezwa kwamba ni "property developer" na hajawahi kutengeneza filamu zozote na iweje leo hii atengeneze filamu kwa haraka hivyo na kufanya "timing" kuitoa wakati huu wa kampeni?

Inabidi tufikirie maana "foreign policy" ya USA siku zote imekuwa ni kusaidia kutingisha tawala za maeneo mengi ya mashariki ya kati ingawa kwa mahesabu makali sana.

Obama amepunguza majeshi nchini Iraq kiasi cha kuiacha nchi hiyo kwenye wimbi kubwa la vurugu za hapa na pale. Pia kuna mpango kwamba ifikapo mwaka 2013 majeshi yote yatakuwa yameondoka nchini Afghanstan.

Lakini Juzi kule Cairo Ubalozi wa US ulitoa taarifa kushutumu shambulio kwenye jengo la ubalozi huo kitendo ambacho kilipondwa na Romney kwa sababu ambazo bado sijazielewa.

Halafu Romney pia amesema kwamba "foreign policy" ya US ni "hit and miss" yaani akimaanisha kwamba kuna wakati inakuwa sawa na wakati inakosea malengo yake. Lakini juzi kwenye hotuba yake ya kupokea kupewa ugombea uraisi , Obama aligusia kwamba ni lazima US ijiondoe kwenye utegemezi wa mafuta kutoka nje akimaanisha mafuta kutoka mashariki ya kati, jambo linaokinzana na mawazo ya Republicans kwamba ni lazima ubeberu ukomae mizizi katika eneo hilo.

Wamarekani inabidi wafikirie upya hii foreign policy yao pamoja na uchumi wa ndani kwani ndivyo vitu vya msingi kabisa kuwaeleza wamarekani tofauti ya sera za Romney na zile za Obama.

Kwahio mimi nafikiri kwamba kwa sasa Obama atajaribu kuwatafuta waliohusika na mauaji ya Balozi Stevens maana ni tukio lililokuja bila kutarajiwa. Na wakipatikana watafikishwa kwenye vyombo vya sheria na wamarekani watataarifiwa na Obama kupata sifa kama alivyofanya kwa Osama BIn Laden, na hayo yote yatafanyika kabla ya uchaguzi mwezi November.
 
Mitt Romney is a disaster when it comes to foreign policy, GOP establishment wanajuta kuwaachia watu wenye pesa kumfanya huyu bwana afike mpaka hapo alipo. Hebu angalia hapa jinsi walivyomuacha kwenye mataa.


[TD="colspan: 2"] [/TD]

[TD="colspan: 2"] Hill GOP leaves Romney out on limb on Libya
By: Scott Wong
September 12, 2012 10:56 AM EDT
[/TD]

[TD="class: story, colspan: 2"] Senior Republicans on Capitol Hill are leaving GOP presidential nominee Mitt Romney out on a limb after he criticized President Barack Obama's "disgraceful" handling of the assault on the U.S. embassy in Libya, which led to the death of U.S. ambassador Chris Stevens.
Indiana Sen. Dick Lugar, the top Republican on the Foreign Relations Committee who personally knew Stevens, refused to assign any blame to the Obama administration.​
"My heart is with Mr. Stevens, my former staff member, my friend," Lugar told POLITICO on Wednesday. As a Pearson Fellow to the Senate Foreign Relations Committee, Stevens served as a staffer for Lugar in 2006. Lugar helped shepherd Stevens's nomination as ambassador through his panel earlier this year.​
"I'm not going to make any comment about the political. None," the senator added.​
While Romney was very critical of Obama in a morning statement on the Libya attacks, senior Republicans across the board avoided criticizing the administration shortly after Stevens' death was announced.​
Obama didn't even get a mention in most GOP press statements blasted Wednesday morning.​
"We mourn for the families of our countrymen in Benghazi, and condemn this horrific attack," House Speaker John Boehner said in a statement Wednesday.​
"Eleven years after September 11, this is a jolting reminder that freedom remains under siege by forces around the globe who relish violence over free expression, and terror over democracy - and that America and free people everywhere must remain vigilant in defense of our liberties."​
Majority Leader Eric Cantor and Senate Minority Leader Mitch McConnell also declined to invoke Obama, signaling that for a second day in a row this was a time for Americans to come together and put election-year politics on hold. On Tuesday, Republicans and Democrats gathered on the steps of the Capitol to mark the 11th anniversary of the Sept. 11 terrorist attacks.​
"Our thoughts and sympathy today are with the families of these brave Americans," McConnell, a Kentucky Republican, said on the Senate floor. "These attacks remind us of the sacrifices made on a daily basis by foreign service officers, diplomatic security personnel, and our Marine Security Guards."​
Three of the most important voices on foreign policy - Sens. John McCain (R-Ariz.), Lindsey Graham (R-S.C.) and Joe Lieberman (I-Conn.) - said they were "anguished and outraged" by the deaths of American diplomats, and considered Stevens a "friend." But they, too, didn't see fit to criticize the president the way Romney did.​
"In the midst of last year's uprising in Libya, Chris traveled at great personal risk to Benghazi to represent the country he loved as the U.S. envoy to the Libyan opposition," the senators said in a joint statement.​
"He advanced American interests and values in Libya and stood with the Libyan people throughout their struggle for freedom and during the challenging times that followed. His death at the hands of extremists is a tragic and awful loss for the people of both the United States and Libya.​
The senators urged that the attackers swiftly be brought to justice and that the U.S. government ensures that diplomats around the world are protected. The attacks are a reminder that the Arab Spring, the "dream for democracy and freedom can still be hijacked by small groups of violent extremists who are eager to kill to advance their evil ideology."​
Stevens and three of his staff were killed an attack on the U.S. consulate in the eastern Libyan city of Benghazi after riots broke out over a film that ridiculed Islam's Prophet Muhammad, The Associated Press reported.​
In a statement late Tuesday night, Romney called Obama's early response to the attacks on the consulate in Benghazi and embassy in Cairo weak and "disgraceful." Romney was referring to a statement issued by the U.S. Embassy in Cairo, condemning "the continuing efforts by misguided individuals to hurt the religious feelings of Muslims" - a statement the Obama administration later said hadn't been cleared by Washington.

On Wednesday morning, Romney stood by his earlier criticism, saying the Obama administration was wrong to sympathize with protesters who had breached U.S. facilities instead of condemning their actions.
"[T]he statement that came from the [embassy] was a statement which is akin to apology. And I think it was a severe miscalculation," Romney said at a news conference in Florida.​
Romney did get backing from some conservatives on the Hill.​
Sen. Jim Inhofe (R-Okla.), a member of the Foreign Relations panel, echoed Romney's apology line: "President Obama's failure to lead and his failed foreign policy of appeasement and apology."​
So did Rep. Jeff Landry of Louisiana.​
"When someone comes into a United States Embassy, that is our sovereign soil of this country," Landry told POLITICO. "And To allow someone to come over that wall and take our flag, desecrate our flag and the response is to apologize."​
Rep. Raul Labrador (R-Idaho) also panned Obama for his "apology" tour. "It has been his policy from the beginning to go around apologizing for America. …" he said, "and I'm glad that Romney stood and said it was wrong for the embassy to put out that statement."​
But even Romney's running mate, Rep. Paul Ryan, didn't directly criticize the president. "This is a time for healing," he said at a campaign event in his home state of Wisconsin.​
Sen. Marco Rubio (R-Fla.), a Romney supporter who serves on the Foreign Relations Committee, had been a frequent critic of Obama's handling of last year's uprising in Libya. But he focused his comments on the sacrifice of Stevens, whom he met during his Senate confirmation hearing in March and again during a trip to Libya.​
Stevens, a career diplomat, was confirmed as ambassador on a voice vote by the Senate on March 29.​
"He was an exemplary diplomat and his embassy staff could not have been more helpful and knowledgeable during my visit.," Rubio said in a statement. "My prayers are with the families and loved ones of these courageous diplomats who were working to help the Libyan people rise from the ashes of [Qadhafi's] rule."​
Kate Nocera contributed to this report.
[/TD]

[TD="colspan: 2"] © 2012 POLITICO LLC[/TD]

Bwa ha ha ha ha...Politico.....a left leaning outfit.

Unachekesha.
 
Haya maAmerica yafe tu yameua watu wengi sana... Yafe TU...
 
Bwa ha ha ha ha...Politico.....a left leaning outfit.

Unachekesha.
Haya basi ngoja nikutafutie ya Peggy Noonan. Sasa nae sijui utasemaje, huyu alikuwa speech write wa Reegan!.

[h=1]Noonan: Romney not helping himself.[/h]


The Wall Street Journal's Peggy Noonan is criticizing Mitt Romney's response to the death of a U.S. diplomat in Libya, telling Fox News today she doesn't feel that the Republican presidential nominee "has been doing himself any favors" in the past few hours.
"I was thinking as he spoke, I think I belong to the old school of thinking that in times of great drama and heightened crisis, and in times when something violent has happened to your people, I always think discretion is the better way to go," Noonan said. "When you step forward in the midst of a political environment and start giving statements on something dramatic and violent that has happened, you're always leaving yourself open to accusations that you are trying to exploit things politically."
In a statement last night, Romney slammed the Obama administration for sympathizing "with those who waged the attacks" rather than condemning the attacks outright. Romney doubled-down on that attack today during a press conference, telling reporters the statement was "akin to apology" and that it was "disgraceful to apologize for American values."
But Romney's effort to politicize the violence in Libya was met with blowback not just from the Obama administration but from the media. "[Romney's] doubling down on criticism... is likely to be seen as one of the most craven and ill-advised tactical moves in this entire campaign," Time magazine's Mark Halperin wrote on his blog.
(PHOTOS: Anti-U.S. attacks in Cairo, Libya)
Noonan's criticism delivers a harder blow, however, coming as it does from high within the ranks of the conservative establishment. Indeed, it is just the latest in a string of criticisms Romney has faced from the right's most influential media outlets in recent days, including The Wall Street Journal editorial page and the Weekly Standard.
"I don't feel that Mr. Romney has been doing himself any favors, say in the past few hours, perhaps since last night," Noonan told Fox News. "Sometimes when really bad things happen, when hot things happen, cool words or no words is the way to go."
 
Haya basi ngoja nikutafutie ya Peggy Noonan. Sasa nae sijui utasemaje, huyu alikuwa speech write wa Reegan!.

Noonan: Romney not helping himself.




The Wall Street Journal's Peggy Noonan is criticizing Mitt Romney's response to the death of a U.S. diplomat in Libya, telling Fox News today she doesn't feel that the Republican presidential nominee "has been doing himself any favors" in the past few hours.
"I was thinking as he spoke, I think I belong to the old school of thinking that in times of great drama and heightened crisis, and in times when something violent has happened to your people, I always think discretion is the better way to go," Noonan said. "When you step forward in the midst of a political environment and start giving statements on something dramatic and violent that has happened, you're always leaving yourself open to accusations that you are trying to exploit things politically."
In a statement last night, Romney slammed the Obama administration for sympathizing "with those who waged the attacks" rather than condemning the attacks outright. Romney doubled-down on that attack today during a press conference, telling reporters the statement was "akin to apology" and that it was "disgraceful to apologize for American values."
But Romney's effort to politicize the violence in Libya was met with blowback not just from the Obama administration but from the media. "[Romney's] doubling down on criticism... is likely to be seen as one of the most craven and ill-advised tactical moves in this entire campaign," Time magazine's Mark Halperin wrote on his blog.
(PHOTOS: Anti-U.S. attacks in Cairo, Libya)
Noonan's criticism delivers a harder blow, however, coming as it does from high within the ranks of the conservative establishment. Indeed, it is just the latest in a string of criticisms Romney has faced from the right's most influential media outlets in recent days, including The Wall Street Journal editorial page and the Weekly Standard.
"I don't feel that Mr. Romney has been doing himself any favors, say in the past few hours, perhaps since last night," Noonan told Fox News. "Sometimes when really bad things happen, when hot things happen, cool words or no words is the way to go."

Huyo ni RINO.

Hebu nitafutie alichosema Laura Ingraham au Eric Erickson wa redstate.com
 
Flames devouring the U.S. consulate in Benghazi





Moto ulioangamiza ubalozi wa Marekani katikati ya Mji wa Benghazi nchini Libya.
 
Last edited by a moderator:
Just yesterday I described for you how conventional wisdom is created. Reporters gather together and come up with it. Then they report it as news. One of the ways reporters do that is to work together to formulate questions between each other. They only have a limited amount of time and they all want a question that helps push the Gang of 500′s narrative. That leads to cross-network collaboration. They're all in it together.

Today, The Right School has exclusive audio of the Gang of 500 formulating their conventional wisdom with a question for MItt Romney. The narrative, pushed last night by the White House and rapidly picked up by reporters, is that Mitt Romney messed up with his statement. It was somehow inappropriate.


That's the conventional wisdom. LIsten now to the reporters trying to formulate a question together to play into the narrative they want.


I will stop here and point out that this is not intentionally liberal. It is just intentionally conventional wisdom development and group think. The problem is that the Gang of 500 - the group of reporters, analysts, and pundits who report on and formulate the conventional wisdom in Washington politics - leans left.


Another example of this is Michael Scherer at Time. It is lacking any mention of Barack Obama's inaction, mixed messages, and even his ridiculous hip-hop interview on 9/11.


Scherer is pushing the anti-Romney narrative the Gang of 500 has been formulating since getting marching orders from the White House talking points last night. And Scherer should be even more careful given his background. He's now a supposedly objective reporter, but he cut his teeth at the far left Mother Jones and also Salon.com. In this article from UC Santa Cruz you can get a sense of his background.


It's not just conservatives who think the media leans left and more and more this year the media is confirming every suspicion of most every American that they are as biased as conservatives have been saying all along.

Source
 
Ha ha ha...ngoja tusubiri Nov 06, ndio tutakata mzizi wa fitina. Nakuhimiza usiache kwenda kupiga kura!.
 
Mbona wao wanauwa watu hovyo, mbona wao wameshiriki kuua rais wa Libya, then wakafurahi sana.,
wewe acha kulilia jitu kama gadafi. hujui kuwa gadafi aliuwa sana raia wasio na hatika katika ndege ya Lockheed pale scotland? Hujui kuwa gadafi alituma magaidi kulipua ukumbi wa dico pale italia na kuuwa saskai wa marekani? sasa nani anuwa ovyo ovyo kama sio huyu mdini mwenzako?
 
You killed Ghadaf you are now paying the price...
 
Kwenye red nakubaliana na wewe kabisa, lakini ni vema uwashauri hata wale wasemao Yesu sio Mungu kwa kummithilisha na Isa bin Mariam kwamba hiyo ni kashfa kwa wakristo. Wakisema Isa bin Mariam sio mungu,hiyo ni fact na haina tabu yoyote kwa wakristo,lakini kumshusha hadhi Yesu wangu then utegemee mimi ni mstahi mtume wako ni ndoto ndugu yangu,binafsi sipendi kumdhihaki mtu kwa imani yake hata kama anaamini panya,lakini ukitempter na Yesu wangu nawe ujiandae nina temper na mungu wako pia.

HINI.. Labda niseme hivi kwamba ukristo na uisilamu ni dini zinazo lingana kwa kiasi fulani lakini ktk imani tofauti.Nasema zinalingana kwasababu wakristo mnamkubali yesu-( amani iwe juu yake ) kama vile waisilamu tunavomkubali yesu-(amani iwe juu yake)Lakini tofauti yake inakuja kutokana na maandiko tofauti kutokana na utofauti wa hizi dini mbili.Sisi waisilamu tunamtambua yesu(amani iwe juu yake)na kumthamini na ametajwa mara 90 kama sikosei, katika kitabu kitukufu ambacho tunakifuata QUR-AN.Na imetuthibitishia kwamba ni mtume au mjumbe wa mwenyezimungu kama waliotajwa wengine David,Abraham,Moses (amani iwe juu yao)na wengine wengi ambao mnawatambua ktk bibilia.Kwa hivo tofauti inakuja pale nyinyi mnapomtambua Yesu ni mungu (amani iwe juu yake) wakati sisi waisilamu tunamtambua kama mtume wa mwenyezi mungu.Lakini vilevile kunatofauti kati yenu jinsi ya kumtambua yesu (amani iwe juu yake)katika madhehebu mengine na kumtambua kama mwana wa mungu badala ya mungu au mtume wa mungu.Sasa mimi naona hapa haina maana watu kuwa na jazba ila ni vizuri kuwepo na mihadhara ya kuelimishana kwa amani na kuendelea na maisha ya kuamini vile tunavoamini bila ya kukasirikiana wala kushutumiana.Na kikubwa ni kuvumiliana kutokana na imani kutofautiana.Kwasababu tukiangalia wapo wengine waliomkataa yesu(amani iwe juu yake)kabisa na mfano ni mayahudi na wao ndio walio sababisha kuuliwa kwake au wapo wasio amini kitu chochote.Lakini inatupasa kuishi kwa pamoja na kuheshimiana pamoja na kuvumiliana.Ikiwa utapita ktk mhadhara au msikiti na kukana kwamba yesu(amani iwe juu yake) sio mungu,basi nakuomba uvumilie kwasababu ndio imani yao inavotambua na sio kama wana dharau ukristo.
 
Wakulu,

Nimesoma maoni ya waliotangulia na wengi wanatoa mkono wa pongezi kwa kikundi cha watu wachache ambao waliamua kumuua balozi Chris Stevens.

Balozi huyo ameishi nchini Libya kwa kitambo kirefu aliifahamu nchi hiyo ndani nje na alikuwa na uelewa wa namna siasa jamii na uchumi wa nchi hiyo zinavyoendeshwa wakati wa utawala wa Gaddaffi na baada ya kuondolewa na kuuwawa kiongozi huyo.

Balozi Stevens inaelezwa alikwishatoka kwenye jengo akisaidiwa na jamaa wa "Marines" ila alipotoka na kujaribu kuingia kwenye gari ambalo lingemtorosha ndipo mhuni mmoja akamuua kummaliza kabisa kwa kurusha kombora na huo ndio ukawa mwisho wa maisha ya balozi Stevens.

Nafikiri ni tukio linalofanana na lile la kwenye filamu ya "Clear and Present Danger" ambapo Jack Ryan - mzee Harrison Ford aliponea chupuchupu kuuwawa na kikundi cha waasi mjini Bogota wakati msafara wao uliposhambuliwa.

Kwahio kitendo cha kwenda kushambulia jengo la ubalozi wa USA pale Benghazi baada ya kufanya shambulizi linalofanana na hilo mjini Cairo nchini Misri siku ya Jumanne, hakiwezi kuvumiliwa na itakuwa ni "good dog looking for bad dog and dog eat dog situation" kuwatafuta wale wote walohusika kufanya mauaji hayo.

Huyu jamaa Sam Bacile ambae ametunga filamu hii na kuipa jina la "Innocent Muslims" halafu baadae anasema kwamba "Uislam ni Sarakani", ni kitendo cha kulaaniwa vikali na kwa kuwa yeye ni Myahudi amejipalilia makaa na itabidi aendelee kujificha huko California maana hakuna atakaevumilia matusi yake.

Tusidanganyane wakulu, Marekani itawatafuta watu walohusika kwa udi na uvumba na Pentagon tayari wamekwishawatuma "Special Marines" kwenda Libya kufanya kazi.

Hiki si kitendo cha kukibeza na anapouwawa "diplomat" tena wa USA ni jambo linalohitaji angalizo, ingawa bado ni kitendo kinachowakumbusha wamarekani "Clear and Present Danger" popote walipo.
Mkuu Richard, pole sana!.
 
Nina wasi wasi na suala hili, hapa uwenda kitafutwa kisingizio cha kuanzisha vita dhidi ya Iran. Na mkakati huu uwenda umeandaliwa na Netanyahu ili kulazimisha nembo ya White house-Obama kubadili msimamo wake wakuiunga mkono Israel ili iharibu vinu vya nyuklia vya Iran.

Si mnawajua Wayahudi walivyo mabingwa wa kupaka matope, hasa mkirejea suala ground zero-WTC-9/11 hapo Marekani lilivyotumiwa kufanya uhalifu kwa mataifa mengine ?

Msishangae kusikia intelijensia za watu wa Magharibi zikiibuka na habari ya "Agents wa Iran walihusika kumuua Balozi wa USA".
 
nimependa hii comment -

you do porn on our name as MUSLIMS and we say nothing we just move on and laugh as you say..but insulting our dear massenger by making a film that makes him bad infront of other people..this thing will start a war..ALL MUSLIM PEOPLE LOVE HIM MORE THAN HIS OWN PARENTS..
you insult our dear massenger and religon..and we will simply burn everything..not only the embassies..




Kama ni propanga zao za uchaguzi! we don't care wameingia choo cha kike! ...
 
Mkuu Richard, pole sana!.

Mkuu, don't ever tell anyone how to think because its an insult.

In modern world people have different views and perceptions so be ready to accept that.

I've given my views on the incident and what I think is happening or will happen.
 
General Martin Dempsey, the chairman of the U.S. Joint Chiefs of Staff, called a Florida pastor on Wednesday and asked him to withdraw his support for a film whose portrayal of the Prophet Mohammad has been linked to violent protests - including one that ended with the death of America's envoy to Libya.

"In the brief call, Gen. Dempsey expressed his concerns over the nature of the film, the tensions it will inflame and the violence it will cause," Dempsey's spokesman, Colonel Dave Lapan, told Reuters.

link UPDATE 1-Top US military officer calls pastor over anti-Islam film | News by Country | Reuters
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom