Bila misaada nguruwe kama wewe utapata wapi makombo?kwan na wewe bado unalilia misaada
Nilipomwona yule mazee mkurugenzi wa TISS (External Operations) akiwa Moscow, mwezi April kwenye mkutano wa Afrika na Russia, nikafahamu kuna kitu pale.Msaada wa mrusi ni bunduki usitegemee eti atakusaidia kwenye elimu au afya.