Aliyerekodi alijuaje kama kuna tukio linakuja kutokea? Maana ni kama alikuwa anasubiria kurekodi hilo tukioBora wange baki Congo huko wana angamia angalia walivyo angamizwa hapa walidhani kifaru ni cha kwao kumbe ni cha Urusi kika wamaliza kizembe!
Aliyerekodi alijuaje kama kuna tukio linakuja kutokea? Maana ni kama alikuwa anasubiria kurekodi hilo tukioBora wange baki Congo huko wana angamia angalia walivyo angamizwa hapa walidhani kifaru ni cha kwao kumbe ni cha Urusi kika wamaliza kizembe!
Kwa pin alizopigwa urusi safari hii hachomoki.Aisee!
Hivi unaijua vizuri Urusi?
Kuna nchi ndogo sana kwa Urusi Zina vikwazo toka mama Yako hajazaliwa lakini Zinaambo mazito kuliko nchi kadhaa za ulaya.
Unaijua Cuba?
Unaijua Iran?
Na unaijua Korea Kaskazini?
Hizi ni nchi ndogo sana kwa Urusi.
Sasa Urusi ndo nchi inayoongoza duniani kwa eneo kubwa,
Inaongiza Dunia kwa rasilimali,
Inaongiza Dunia kwa silaha,
Ina viwanda vya kila kitu,
Ina technolojia kubwa sana tu,
Ina wasomi wengi,
Ina wanasayansi wengi TU
Ina Fanya tafiti za Kila aina,
Ndio iliwafundisha akina USA kwenda huko anga za juu kabisa..
Ndi imewakaribisha USA na maswahiba wake kwenye ISS.
Mambo ni mengi mda mchache.
Ahaa kumbe wanatumia kimagendo?? Nenda ma pesa yako ya dollar korea kaskazini tuone utapata bidhaa gani. Msikariri...Wew ndo una akili Sasa ...hao North Korea..wanatumia Us dollars vizur tu..,
Na mpka walipata skendo, ya kuwa na kikundi chin ya mwamvuli wa serikali yao....kilichohuska na uchakataj wa dollar fek,...
yupo igurusi ya mbeya sehem gan si atumie kwacha ya malawiNina shemeji yangu Mrussia kwa mdogo wangu,
Yuko bongo mpaka leo,ilikuwa arudi Russia toka Feb
Ila ndo hivyo,Account zote zimefungwa,imebidi a extend Visa kuendelea kubaki hapa,kifupi hizi sanctions zinawaathiri raia wa kawaida
Mh wamefunga account ya mtu binafsi kwa sababu ya tu ya kuwa raia wa Russia?
Sheikh yuko kitunda anakula mayai ya wakuryayupo igurusi ya mbeya sehem gan si atumie kwacha ya malawi
endelea kuota kama, hujui urusi sio zimbabwe.na vikwazo sio mara ya kanza kupigwa ni muendelezo.ni vile kisicho kuua kinkukomaza kiaskari refer cuba,iran ,venezuela US ni hatari kwa usalama wa dunia kama ukichekea ata papasa mpaka makagaleKwa pin alizopigwa urusi safari hii hachomoki.
Mpuuzi mmoja , hebu tuonyeshe uthibitisho hapaHiyo nikuanzia lini? Maana nimepokea USD kutoka Russia ijumaa iliyopita.
Tunaposema Marekani na iheshimiwe muwe mnaelewaDuh...kwa kweli wewe unateseka Sana....Ni kitu ambacho hakiwezekani...ila Russia inaweza kufanya hivyo Kama njia ya kuidhoofisha dola...
Hahaaa eti anasema North Korea hawatumii dollar , huyu mwehuWew ndo una akili Sasa ...hao North Korea..wanatumia Us dollars vizur tu..,
Na mpka walipata skendo, ya kuwa na kikundi chin ya mwamvuli wa serikali yao....kilichohuska na uchakataj wa dollar fek,...
Marekani iheshimiweNorth Korea wanatumia dollar?? Una akili timamu? North korea hawanunui kitu chochote kwa dollar yapata miaka 30 saizi.
UnaotaNdio maana bidhaa zao wameamua kuuza kwa rubble. Sioni shida hapo.
Anayehitaji bidhaa russia atafute rubble. Hii pesa ya kirusi inakuja kupata nguvu sana hapo mbeleni.
Yaani we jamaa ni zero brain kabisa. Kila mtu anajua kuwa dolla Euro na pound ndio pesa zinazotumika kibiashara worldwide.Wewe ni mwehu View attachment 2184290
Alijuwa wenzake wameteka!Aliyerekodi alijuaje kama kuna tukio linakuja kutokea? Maana ni kama alikuwa anasubiria kurekodi hilo tukio
Achana nao mkuu.Tunaposema Marekani na iheshimiwe muwe mnaelewa View attachment 2184283
Hiyo ruble ya russia ni takataka tu, hapo haipo kabisa yaani.Tunaposema Marekani na iheshimiwe muwe mnaelewa View attachment 2184283
Punguza kahawaHiyo nikuanzia lini? Maana nimepokea USD kutoka Russia ijumaa iliyopita.
Nikudanganye nifaidike nini Kiazi wewe.Punguza kahawa