Urusi wazuiwa kutumia dola

Urusi wazuiwa kutumia dola

Usiingie mkataba wowote na nchi ya urusi uwe wa kibiashara ,ajira nk wa kulipwa dola utatapeliwa wamezuiwa kutumia dola

Atakulipeje amezuiliwa na kupigwa marufuku kutumia Dola,Euro,Pound na Japanese Yen kwenye vikwazo vya kimataifa alivyowekewa

Kwenye Swift kafungiwa na Benki zake zinapigwa pin.Akaunti zote za dola zimekuwa Frozen.

Kifupi usithubutu kuingia mkataba kuhusu fedha za kigeni za Dola,Euro,Pound au Japanese Yen

Usiseme hukuambiwa.Ukitapeliwa usije kupiga miyowe humu jami
Kwa hiyo wewe unadhani kwamba Warusi hawaku anticipate yote hayo?
 
Nchi zote hizo Korea, Iran na Cuba hakuna iliyozuiwa kutumia dola usifananishe ni vikwazo kawekewa urusi.Hao hawana

Raslimali tu hata Congo Afrika nzima anaongoza kwa Raslimali lakini Lofa.Raslimali mbele ya vikwazo vya soko ni kitu gani .Russia inakuwa sawa tu na Kongo

Kusema mrusi ana silaha nyingi silaha zipo hiyo.mogobore inayoitwa vifaru vya kirusi inayobomolewa na kuteketezwa kila siku na Jeshi la Ukraine?
congo kapewa ofa na mrusi kuwa amruhusu aende pambana na yale makundi ya kigaidi... DRC wapo wana fikiria ofa hiyo... askari wa ukraine wakati wana ondoka kurejea kwao kupambania nchi yao walisindikizwa na zomea, matusi, mawe etc kutoka kwa raia wa DRC
 
Usiingie mkataba wowote na nchi ya urusi uwe wa kibiashara ,ajira nk wa kulipwa dola utatapeliwa wamezuiwa kutumia dola

Atakulipeje amezuiliwa na kupigwa marufuku kutumia Dola,Euro,Pound na Japanese Yen kwenye vikwazo vya kimataifa alivyowekewa

Kwenye Swift kafungiwa na Benki zake zinapigwa pin.Akaunti zote za dola zimekuwa Frozen.

Kifupi usithubutu kuingia mkataba kuhusu fedha za kigeni za Dola,Euro,Pound au Japanese Yen

Usiseme hukuambiwa.Ukitapeliwa usije kupiga miyowe humu jami
🤣🤣

Korea Kaskazini imepigwa pini kote ila bado ipo na inaunda tu zana kubwakubwa.....

Yaani mtu akupigishe magoti na kukufanya atakavyo kisa tu ya nguvu na utajiri wake...si ujuha ,uhobobo na usakala huo.....
 
Aisee!
Hivi unaijua vizuri Urusi?
Kuna nchi ndogo sana kwa Urusi Zina vikwazo toka mama Yako hajazaliwa lakini Zinaambo mazito kuliko nchi kadhaa za ulaya.
Unaijua Cuba?
Unaijua Iran?
Na unaijua Korea Kaskazini?
Hizi ni nchi ndogo sana kwa Urusi.
Sasa Urusi ndo nchi inayoongoza duniani kwa eneo kubwa,
Inaongiza Dunia kwa rasilimali,
Inaongiza Dunia kwa silaha,
Ina viwanda vya kila kitu,
Ina technolojia kubwa sana tu,
Ina wasomi wengi,
Ina wanasayansi wengi TU
Ina Fanya tafiti za Kila aina,
Ndio iliwafundisha akina USA kwenda huko anga za juu kabisa..

Ndi imewakaribisha USA na maswahiba wake kwenye ISS.
Mambo ni mengi mda mchache.
Huyo ndio wale ambao wazee wa CNN ,MSNBC ,SKY NEWS ,FOX NEWS wanavimbisha matumbo huko ughaibuni kwa kazi njema ya kuzidi "kuwateka kifikra" kila uchao.....
 
Nchi zote hizo Korea, Iran na Cuba hakuna iliyozuiwa kutumia dola usifananishe ni vikwazo kawekewa urusi.Hao hawana

Raslimali tu hata Congo Afrika nzima anaongoza kwa Raslimali lakini Lofa.Raslimali mbele ya vikwazo vya soko ni kitu gani .Russia inakuwa sawa tu na Kongo

Kusema mrusi ana silaha nyingi silaha zipo hiyo.mogobore inayoitwa vifaru vya kirusi inayobomolewa na kuteketezwa kila siku na Jeshi la Ukraine?
IMG-20220224-WA0016.jpg
 
🤣🤣

Korea Kaskazini imepigwa pini kote ila bado ipo na inaunda tu zana kubwakubwa.....

Yaani mtu akupigishe magoti na kukufanya atakavyo kisa tu ya nguvu na utajiri wake...si ujuha ,uhobobo na usakala huo.....
Korea kaskazini bajeti yote sehemu kubwa inaishia jeshini na kwenye. Maonyesho ya kijeshi

Wananchi wana maisha magumu mno

Hata ukienda kutalii ni guided tour unaonyeshwa sehemu zile tu wanataka wao
Zinazoonyesha good image ya korea

Hata picha ni guided huwezi mpiga picha hovyo hovyo .Unaambiwa piga hapa na wanakagua ulichopiga
 
congo kapewa ofa na mrusi kuwa amruhusu aende pambana na yale makundi ya kigaidi... DRC wapo wana fikiria ofa hiyo... askari wa ukraine wakati wana ondoka kurejea kwao kupambania nchi yao walisindikizwa na zomea, matusi, mawe etc kutoka kwa raia wa DRC
Bora wange baki Congo huko wana angamia angalia walivyo angamizwa hapa walidhani kifaru ni cha kwao kumbe ni cha Urusi kika wamaliza kizembe!
 

Attachments

  • VID_20220411_072915_988.mp4
    3.5 MB
Kwa hiyo wewe unadhani kwamba Warusi hawaku anticipate yote hayo?
Hawa ku anticipate kabisa.Walizoea kuvamia nchi kuteka majimbo na hakuna yeyote alichukuwa hatua kama hizo.Putin alitamba hadi kwenye hotuba yake alipoulizwa hilo akasema wameshafanya hivyo maeneo mengi na hakuna mtu aliwafanya chochote
 
Nina shemeji yangu Mrussia kwa mdogo wangu,
Yuko bongo mpaka leo,ilikuwa arudi Russia toka Feb
Ila ndo hivyo,Account zote zimefungwa,imebidi a extend Visa kuendelea kubaki hapa,kifupi hizi sanctions zinawaathiri raia wa kawaida
Mh wamefunga account ya mtu binafsi kwa sababu ya tu ya kuwa raia wa Russia?
 
Aisee!
Hivi unaijua vizuri Urusi?
Kuna nchi ndogo sana kwa Urusi Zina vikwazo toka mama Yako hajazaliwa lakini Zinaambo mazito kuliko nchi kadhaa za ulaya.
Unaijua Cuba?
Unaijua Iran?
Na unaijua Korea Kaskazini?
Hizi ni nchi ndogo sana kwa Urusi.
Sasa Urusi ndo nchi inayoongoza duniani kwa eneo kubwa,
Inaongiza Dunia kwa rasilimali,
Inaongiza Dunia kwa silaha,
Ina viwanda vya kila kitu,
Ina technolojia kubwa sana tu,
Ina wasomi wengi,
Ina wanasayansi wengi TU
Ina Fanya tafiti za Kila aina,
Ndio iliwafundisha akina USA kwenda huko anga za juu kabisa..

Ndi imewakaribisha USA na maswahiba wake kwenye ISS.
Mambo ni mengi mda mchache.
Ahahaaaah!
Umetumia nguvu kubwa sana mkongwe, kuna wakati watu wa aina hii unawapa "like" tu, then unaendeleaje na mambo mengine.
 
Korea kaskazini bajeti yote sehemu kubwa inaishia jeshini na kwenye. Maonyesho ya kijeshi

Wananchi wana maisha magumu mno

Hata ukienda kutalii ni guided tour unaonyeshwa sehemu zile tu wanataka wao
Zinazoonyesha good image ya korea

Hata picha ni guided huwezi mpiga picha hovyo hovyo .Unaambiwa piga hapa na wanakagua ulichopiga
Kwani kuna nchi utatembelea kiutalii na utaachwa ujiendee popote tu ?!!!

Huku kwetu Afrika tu kuna maeneo ya MIZIMU hawaendi watalii.....kwanini isiwe huko NK na kwengineko?!!!!

Nikienda mizimuni nitakualika twende wote tupige tripu halafu utasikia mwenyewe kama kuna wasiohitajika hufika huko 🤣🤣

Hao wananchi wa NK walikuomba mikate baada ya kuyaona maisha yao magumu ?!!!
 
Aisee!
Hivi unaijua vizuri Urusi?
Kuna nchi ndogo sana kwa Urusi Zina vikwazo toka mama Yako hajazaliwa lakini Zinaambo mazito kuliko nchi kadhaa za ulaya.
Unaijua Cuba?
Unaijua Iran?
Na unaijua Korea Kaskazini?
Hizi ni nchi ndogo sana kwa Urusi.
Sasa Urusi ndo nchi inayoongoza duniani kwa eneo kubwa,
Inaongiza Dunia kwa rasilimali,
Inaongiza Dunia kwa silaha,
Ina viwanda vya kila kitu,
Ina technolojia kubwa sana tu,
Ina wasomi wengi,
Ina wanasayansi wengi TU
Ina Fanya tafiti za Kila aina,
Ndio iliwafundisha akina USA kwenda huko anga za juu kabisa..

Ndi imewakaribisha USA na maswahiba wake kwenye ISS.
Mambo ni mengi mda mchache.
karibia Ukraine ina kwenda kukosa eneo la bahari wana kuwa tu kama Uganda! watu sijui wana ichukulia Urusi kama nchi gani sijui! wata fanya biashara kama kawaida na hakuna ata kaye zuia meli zao ebow

20220411_112337.jpg
 
Hiyo nikuanzia lini? Maana nimepokea USD kutoka Russia ijumaa iliyopita.
 
Back
Top Bottom