sidhani kama ita-work. kumbuka kulikuwa na Al-Qaeda, sasa wapo Boko Haram, Al-Shabab. hujamalizana na hao wameibuka IS. who knows what follows next.
makundi yote ni kama vile yapo invisible na yana sympathizers wao kila pahala - wengine tunao ndani ya nyumba zetu na wengine tunalala nao vitandani mwetu kama wake au waume.
fight against terrorism should see beyond combative options. over the years, combativeness has done nothing but cause the innocent world play right into the terrorists' hands. terrorists have nothing to lose, while the world has - and the loss is always colossal!
there's no army - or super power for that matter - that can conquer over terrorism. none. zilch.
hivi kuna ubaya gani wa kukaa meza moja na hawa terrorists? mataifa mengi ya magharibi yanaamini katika Ukristo...kwa nini wasijifunze kutoka kwa yule mleta Ukristo mwenyewe (Yesu) ambaye alikula na kunywa katikati ya watesi wake? Yesu ambaye wafuasi wake walipomkata sikio mmoja wa watesi wake Yeye aliwakemea wafuasi na akamrudishia sikio mahali pake yule mtesi??
mataifa ya magharibi (na wafuasi wao) huwa wanasoma Biblia ipi??