Urusi: Ndege iliyoanguka Misri ililipuliwa

Urusi: Ndege iliyoanguka Misri ililipuliwa

Tunaambiwagwa russia ni hatari sana kijeshi, vp tena ndege zao zinalipuliwa? Na sasa russia yuko vitani na IS lakini IS bado ipo

Iliyoangushwa ni ndege ya kiraia na sio ya kijeshi,kuna tofauti kubwa kati yao
 
Sasa kwa nini mwanzoni walikataa?

Manake waliambiwa na Marekani hiyo ndege ilidondoshwa na bomu wao wakajifanya wajuaji.

Mwishowe wameisoma namba na kukubali.

USA baby:usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2:

Walikataa kwa kuwa walitaka kujiridhisha kiuchunguzi kuwa hakukuwa na sababu nyingine zaidi ya bomu
 
Toka sku ya kwanza US na Uk walishasema ile ndege ilidunguliwa na magaidi,urusi wakakataa...sasa wamejionea wenyewe
Mmi nlishasema middle east kuingia ni lazima ukubali madhara kama haya...Putin kama ana intel ya kutosha ataweza kuwapata but sidha kama anayo

Intel ya kutosha anayo.subiri sasa ameagiza madege aina ta Tu-95 na Tu-160 yatoke Urusi yakatoe kichapo kisha yarudi daily.. Pia amesogeza helikopta za kijeshi ndani zaidi ya latakia. Kwa sasa anasafirisha majeshi ya hizbulla.. Wa iran na wasyria Wakristo kwenda mstari wa mbele kutumia helikopta hizi.. Ngoja tuone
 
Siku zote nasema Suruhisho si makombora ya angani,mataifa yote makubwa yakiungana us,china,uk,france,russia italy nk wakipeleka majeshi yao ardhini na angani is wataisoma namba

Haya mataifa hayawezi kuungana kwa kuwa wa magharibi na Saudia na katari na Uturuki wanataka assad atoke hivyo wanawapa silaha waasi wakati warusi na Iran na izbulla wanampa sapoti assad
 
Ninacho kiona Ni mataifa makubwa kuonyeshana nani zaidi huku Syria ikigeuka uwanja wa kupigania vita
 
Nini hapo kitakuwa kinaendelea? Je western countries ndio waliopanga tukio na kuangamiza abiria wote ili kumuonya Putin aachane na agenda yake kumsupport Asaad? Je inawezekana west walifadhili mpango huu kuikomesha serikali ya Moscow?

Hao terrorists wanaodhaniwa kufanisha tukio hili waliwezaje kupenyeza bomu ndani ya ndege wakati ulinzi mkali ulikuwepo?

Ngoja tuone hii game inavyoenda.

Duuuuh wa tz kwa siasa za kuftinisha noma..
Mrusi mwenyewe kajiridhisha kuwa ni IS ila mtz hapa anaona sio IS ni European Union na US..
Jamaa una inteligensia ya hatari aisee
 
Duuuuh wa tz kwa siasa za kuftinisha noma..
Mrusi mwenyewe kajiridhisha kuwa ni IS ila mtz hapa anaona sio IS ni European Union na US..
Jamaa una inteligensia ya hatari aisee

Wabongo utawaweza humu...porojo na kudanganyana kama zile za kwenye uchaguzi wetu
 
Sasa kwa nini mwanzoni walikataa?

Manake waliambiwa na Marekani hiyo ndege ilidondoshwa na bomu wao wakajifanya wajuaji.

Mwishowe wameisoma namba na kukubali.

USA baby:usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2:
Putin bana, ovyo kabisa. US walimwambia ile ndege ilivyoruka tu, wao waka-intercept mawasiliano jamaa waki-brag kwamba something big is going to happen, vilevile satellite zao za kijeshi zikanasa mwanga mkali toka maeneo ya jangwa la Sinai; Putin akabisha. hatimae amekubali sio...Hahaaa!.
 
Iliyoangushwa ni ndege ya kiraia na sio ya kijeshi,kuna tofauti kubwa kati yao

Unajua maana ya intelejensia wewe? Au unafikir ndege za Mashirika ya US haziendi kule na IS hawatamani kuzidondosha!
 
sidhani kama ita-work. kumbuka kulikuwa na Al-Qaeda, sasa wapo Boko Haram, Al-Shabab. hujamalizana na hao wameibuka IS. who knows what follows next.

makundi yote ni kama vile yapo invisible na yana sympathizers wao kila pahala - wengine tunao ndani ya nyumba zetu na wengine tunalala nao vitandani mwetu kama wake au waume.

fight against terrorism should see beyond combative options. over the years, combativeness has done nothing but cause the innocent world play right into the terrorists' hands. terrorists have nothing to lose, while the world has - and the loss is always colossal!

there's no army - or super power for that matter - that can conquer over terrorism. none. zilch.

hivi kuna ubaya gani wa kukaa meza moja na hawa terrorists? mataifa mengi ya magharibi yanaamini katika Ukristo...kwa nini wasijifunze kutoka kwa yule mleta Ukristo mwenyewe (Yesu) ambaye alikula na kunywa katikati ya watesi wake? Yesu ambaye wafuasi wake walipomkata sikio mmoja wa watesi wake Yeye aliwakemea wafuasi na akamrudishia sikio mahali pake yule mtesi??

mataifa ya magharibi (na wafuasi wao) huwa wanasoma Biblia ipi??

Kwa jicho la tatu,hawa wazungu hawana dini.Huo ukristo ni kama pazia tu ya kufichia mambo yao maovu.
 
Kwan hiyo ndege imeripuliwa syria....na ilikuwa ndege ya jeshi?!!

Ebu rudia kusoma comment uliyoni quote mara ya kwanza afu rudi tena hapa
 
Duuuuh wa tz kwa siasa za kuftinisha noma..
Mrusi mwenyewe kajiridhisha kuwa ni IS ila mtz hapa anaona sio IS ni European Union na US..
Jamaa una inteligensia ya hatari aisee

Hahaha kuna vitu hata Mmarekani au Mrusi mwenyewe hawezi kuongea ila sio kwa Mtized asee
 
nilisema tangu awali kuwa USA ni wajanja sana. RUSSIA atakuja kujilaumu kwa kukurupuka. Ninachokiona mbele yangu VITA YA SYRIA, RUSSIA IPO SIKU ATAJIKUTA ANAPIGANA PEKE YAKE.

Si kweli. Hivi tunavyoongea mfaransa nae keshaingia anawatwanga IS
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom