Sasa naanza kuichukia Amerika!
Kuna mchezo marekani anaucheza!
Nahisi hata ile ndege iliyodunguliwa marekani anahusika!!
Mkuu kumbuka ndege za vita za Merikani na Uingereza zipo kwenye airbases za nchini Uturuki,mimi mpaka hivi sasa na amini kwamba marubani wa Uingereza au Merikani ndio walihusika kuangusha ndege ya Warusi.Sasa naanza kuichukia Amerika!
Kuna mchezo marekani anaucheza!
Nahisi hata ile ndege iliyodunguliwa marekani anahusika!!
Ilikuwa rahisi kuiangusha Sukhoi SU-24 kwa sababu ni bomber sio fighter aircraft, hivyo sio agile. Kwa nini MIG-29 tu zilivuka mpaka na hazikuguswa? hapo bado kuna MIG-31 na SU-34 ambazo ni advanced Fighter aircraft na manake ukiikosa inakuondoa. Pili ni mashambulizi ya Russia kwa jamii ya Turkmen iliyopo Syria ambayo inapata msaada wa Uturuki na waasi wengine. Tatu, kuna ndege ya kivita ya Uturuki, F-16 iliangushwa Syria mwaka jana na kombora la Mrusi, kwa hiyo hii ni kama kisasi. Kwa uturuki ndio ataumia zaidi sababu Warusi ndio watalii wengi zaidi wanaoenda uturuki, ana biashara nyingi na Russia ambazo zimesimamishwa, hatari imeongezeka kwa ndege za kivita za washirika baada ya Russia kuweka Naval Destroyer Bahari ya Mediterannia kulinda anga la Syria. Na Russians are trigger happy. Tusubiri tuone.
Mkuu kumbuka ndege za vita za Merikani na Uingereza zipo kwenye airbases za nchini Uturuki,mimi mpaka hivi sasa na amini kwamba marubani wa Uingereza au Merikani ndio walihusika kuangusha ndege ya Warusi.
Ilikuwa rahisi kuiangusha Sukhoi SU-24 kwa sababu ni bomber sio fighter aircraft, hivyo sio agile. Kwa nini MIG-29 tu zilivuka mpaka na hazikuguswa? hapo bado kuna MIG-31 na SU-34 ambazo ni advanced Fighter aircraft na manake ukiikosa inakuondoa. Pili ni mashambulizi ya Russia kwa jamii ya Turkmen iliyopo Syria ambayo inapata msaada wa Uturuki na waasi wengine. Tatu, kuna ndege ya kivita ya Uturuki, F-16 iliangushwa Syria mwaka jana na kombora la Mrusi, kwa hiyo hii ni kama kisasi. Kwa uturuki ndio ataumia zaidi sababu Warusi ndio watalii wengi zaidi wanaoenda uturuki, ana biashara nyingi na Russia ambazo zimesimamishwa, hatari imeongezeka kwa ndege za kivita za washirika baada ya Russia kuweka Naval Destroyer Bahari ya Mediterannia kulinda anga la Syria. Na Russians are trigger happy. Tusubiri tuone.