Urusi kuweka defence missile nchini Syria

Urusi kuweka defence missile nchini Syria

Putin ni mwanaume wa kweli
Hebubpiga picha, Germany, Uk, Us, France, turkey, Nato..
Yeye yuko mwenyewe....na anawatoa ulimi
Mbona kapeleka wanajeshi na vifaa kama yuko mwenyewe tungemuona akishika bunduki na kulenga shabaha vitani:laugh::laugh::laugh:
 
hilo katazo la kutumia anga la Syria mlengwa ni Marekani na washirika wake...!!

Na Marekani ataendelea kupitisha madege yake halafu tuone huyo Putin atafanya nini. Alishindwa China South Sea ndio ataweza huyo muimba taarabu.
 
States ataendelea kuruka kama anavyotaka ndani ya Syria na hakuna chochote Russia atafanya

Kuna watu humu wana mahabaputin yaliyopitiliza,madege ya Marekani,Ufaransa na Uingereza yataendelea kuingia Syria tena kwa kutumia mpaka huo huo wa Uturuki kama yanaenda bafuni vile na huyo Putin hatafanya Kitu.
 
su-24 ni ground attack plane sio multrole au fighter ;kwamaana haiwezi air to air combart,ndo maana ilikua rahisi sana kuipiga

Hata muongee nini la muhimu na lililopo hapa ni kuwa ndege imeshushwa chini na Putin hana la kufanya. Hiyo ya kupeleka sijui Missile Shield ni mbwembwe na maneno ya kujifariji tuu na kama anaona vipi ahamishe uwanja aw mapambano uwe Moscow kabisa ili asipate gharama na shida ya kuhamisha kwenda Syria then tuone kitakachotokea.
 
Na Marekani ataendelea kupitisha madege yake halafu tuone huyo Putin atafanya nini. Alishindwa China South Sea ndio ataweza huyo muimba taarabu.

Kwa unataka kuniambia Urusi hawezi fanya lolote mbele ya hao wabavu wa dunia?? China na wengine wakiungana na Urusi hapatakalika!
 
Mbona kapeleka wanajeshi na vifaa kama yuko mwenyewe tungemuona akishika bunduki na kulenga shabaha vitani:laugh::laugh::laugh:

elewa kabla ya kujibu. Umeandika nn sasa hapo. Div5 hizi
 
Ilikuwa rahisi kuiangusha Sukhoi SU-24 kwa sababu ni bomber sio fighter aircraft, hivyo sio agile. Kwa nini MIG-29 tu zilivuka mpaka na hazikuguswa? hapo bado kuna MIG-31 na SU-34 ambazo ni advanced Fighter aircraft na manake ukiikosa inakuondoa. Pili ni mashambulizi ya Russia kwa jamii ya Turkmen iliyopo Syria ambayo inapata msaada wa Uturuki na waasi wengine. Tatu, kuna ndege ya kivita ya Uturuki, F-16 iliangushwa Syria mwaka jana na kombora la Mrusi, kwa hiyo hii ni kama kisasi. Kwa uturuki ndio ataumia zaidi sababu Warusi ndio watalii wengi zaidi wanaoenda uturuki, ana biashara nyingi na Russia ambazo zimesimamishwa, hatari imeongezeka kwa ndege za kivita za washirika baada ya Russia kuweka Naval Destroyer Bahari ya Mediterannia kulinda anga la Syria. Na Russians are trigger happy. Tusubiri tuone.
Sina rekodi ya MIGxx kuiangusha F16 kwenye dogfight....
 
Kwa unataka kuniambia Urusi hawezi fanya lolote mbele ya hao wabavu wa dunia?? China na wengine wakiungana na Urusi hapatakalika!

Angekuwa anaweza ungekuta sasa hivi ameshatupia angalau kombora moja Instabul au ameshaangusha ndege moja ya NATO zinazoshambulia Syria kila uchwao.
 
S-400.jpg
 
Kuna watu humu wana mahabaputin yaliyopitiliza,madege ya Marekani,Ufaransa na Uingereza yataendelea kuingia Syria tena kwa kutumia mpaka huo huo wa Uturuki kama yanaenda bafuni vile na huyo Putin hatafanya Kitu.

Sio mahaba.....la.....kisa ni kwamba...ulimwengu (the peace loving reasonable non-aggressive non resource thieving nations)umeichoka tabia hii chafu ya VITA,VIFO,UCHOCHEZI,WIZI WA MALI YA MATAIFA DHAIFU/MASIKINI PAMOJA NA UGAIDI.
Wengi wametamani sana usalama uwepo ili masikini watoto wa SYRIA,LYBIA,IRAQ,AFGHANISTAN,SOMLIA,SUDAN KUSINI etc etc wanaozama baharini,wanaokufa kila kukicha kisa machafuko,vita yanayochochewa na mataifa wababe kwa ajili ya manufaa yao wenyewe.
Yeyote atakayejitokeza kumaliza migogoro hata kama maslahi yake yanahusika kiaina ndiye anayetafutwa na masikini raia wa mataifa yanayokumbwa na migogoro.
Ni mda mrefu sasa tangu huu mgogoro uanze na mmarekani na wafuasi wake WAMESHINDWA KUONESHA NJIA YA AMANI....wameweza tu kuongeza mahangaiko,mateso na uchungu....basi ni bora hata huyo mrusi awaondoe wapiganaji wooooooooooooooote angalau hata serikali ile ya awali ingawa ya kiimla kiaina iweze kuleta afueni ili wasyria wabakie Syria.......baadae wamshurutishe kuitisha uchaguzi itakayo pelekea serikali ya MSETO.
KILA MTU LAZIMA APATE CHAKE........ASSAD PAMOJA NA WALE WAASI WA SYRIA WOTE WAWE SERIKALINI NI HAKI YA KILA MMOJA.
TABIA ZA KIIMLA ZA KUWAUA VIONGOZI AU WALE TUSIYOWAPENDA KWA VIGEZO VYA AJABU AJABU LAZIMA VIKOME (US,EU,Saudis,Qatara,NATO,ISIS)
Umoja wa mataifa imeshindwa kuwalinda wote(wasio na nguvu na wenye nguvu) na kupelekea mbabe kufanya vyake apendavyo bila aibu,huruma wala kuajibishwa.
Tumeona LIBYA,IRAQ,AFGHANISTAN na kadhalika matokeo ya maamuzi ya kiburi uliopitiliza.

WE ARE TIRED LET EVERYBODY GET OUT OF SYRIA.!!!....SYRIA IS A SOVEREIGN NATION!..SYRIA IACHIWE WASYRIA.
The authorities that were last elected should call for help from whom they please and the UN should facilitate election.
WENGINE WOTE NI MAGAIDA,WEZI,WAUAJI NA WAHUNI.
 
HAMNA CHA ISIS WALA NINI............ISIS NI US,UK,France,EU,Turkey,Israel,Saudi Arabia,Qatar/NATO etc etc
 
Team putin npo hapa na nnahasira wameibutua hvhv ndege yangu 😡
 
Mheshimiwa hii kitu ni habari nyingine kabisa wamarekani na mataifa ya ulaya wanajua siku Russia akipeleka S-500 hakuna ndege itakatiza Syria.

S-500 ni mtambo mpya wa kutungulia ndege surface to air missile system hii ni upgade ya S-300 na S-400.S-500 inauwezo wa kutungua makombora ya masafa marefu (intercontinental balistic missile) unaposema hayo ni mapambo tu nakushangaa labda unaongea jambo usilolijua.

Hayo ni mapambo na show off plus mbwembwe tuu.
 
Endeleni kushabikia putin, ila ugumu wa kuingua vitani na memba wa NATO anaujua... ila kwa kuwa syria ni uwanja wa majaribio ya silaha tutaona NATO watakuja na njia gani ya kudeal na s 300 ila so far Ziweza kupigwa na F 22, F35 na other stealth aircraft pamoja na various cruise missiles
 
Back
Top Bottom