B47 GN9
Member
- Feb 4, 2022
- 75
- 131
mkuu unapo sema mauzo T 100 zote Mrusi katia mfukoni kwahiyo hakuna garama za uendeshaji ?halafu ikiwa tutaamini kila kitu kinacho zungumzwa na vyombo vya habari vya magharibi kuwa zote ni propaganda basi Mrus angerikuwa amesha kamilisha lengo na kumaliza vita sasa unapo ona muda unazikwenda na Putin bado hajatimiza lengo anaendelea na vita maana yake yanayo ongelewa si yote ni propaganda na unapo sema Putin alisha piga hesabu na alisha fanya uchunguzi kwenye uchunguzi kuna wakati unaweza kuwa umechunguza vibaya na mahesabu umepiga vibaya ndio kushindwa kunakuja hapo tambua wakati Putin anafanya uchunguzi na mahesabu yake na wenzie nao walikuwa wakiendesha uchunguzi na mahesabu vile vile kwahiyo atakae shindwa vita ndie alie fanya uchunguzi vibaya kwa mtazamo wangu bila kuegemea upande Putin amechemka kias flani na nahis alifikir itakuwa rahis kama alivyo ichukua Cremia na ni bora amalize vita mapema kuliko ikafika wakati mashambulizi na mapigano yakaanza kufanyikia na ndani ya Urus